Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASHABIKI WANGU NJOONI TUFURAHI NA KUCHEZA PAMOJA KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI- JB

Staa wa filamu za Kibongo, Jacob Steven 'JB' anawakaribisha mashabiki wake wote kuhudhuria kwa wingi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini ambapo amejigamba kumgalagaza staa mwenzake Issa Mussa 'Cloud 112' katika upande wa 'boxing'. Katika mechi kati ya Bongo Muvi na Bongo Fleva, staa huyo amesema amepangwa kuongoza safu ya ushambuliaji akicheza namba 9! ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MENINNAH: NJOONI TUFURAHI PAMOJA NDANI YA TAMASHA LA MATUMAINI

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Meninnah naye ni miongoni mwa mastaa watakaotoa burudani katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014. Staa huyo anawaalika watu wote kuhudhuria kwa wingi katika tamasha hilo litakalofanyika Agosti 8, 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar ili waweze kufurahi pamoja naye.

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 KATIKA PICHA


Find more photos like this on Global…

 

11 years ago

GPL

VIDEO: YALIYOJIRI KATIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2013

Haya ndiyo yaliyojiri katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013 lililofanyika Julai 7, 2013 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mwaka huu tamasha hilo kubwa litafanyika Agosti 8, 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa ambapo wasanii kibao watakuwepo kukupa burudani bab kubwa!

 

11 years ago

GPL

IVO MAPUNDA: WATANZANIA NJOONI TUONYESHE MATUMAINI KWA TAIFA LETU

Kipa namba moja wa Simba SC, Ivo Mapunda awakaribisha Watanzania katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar kuonyesha matumaini yao kwa Tanzania.

 

11 years ago

GPL

YANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014

Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa…

 

10 years ago

BBCSwahili

Entente Setif kucheza bila Mashabiki

CAF yapiga marufuku mashabiki wa klabu ya Algeria Entente Setif kufuatia utovu wa nidhamu wa mashabiki wake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani