Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EQUITY BANK; KUTANA NA BENKI INAYOTEMBEA!

Makala: Joseph Shaluwa MAMBO yanakwenda yakibadilika. Ubunifu kwenye biashara ni jambo lenye msingi sana katika nyakati hizi za soko la ushindani.  Hata hivyo, wataalam wa uchumi duniani wanashauri kuwa, wakati watu wa masoko wakibuni mambo muhimu ya kuboresha huduma zao wanapaswa kujali muda wa mteja ambao kwa hakika ndiyo chachu ya kupandisha uchumi. Zamani ilikuwa benki unakwenda na kitabu, unapanga foleni ndipo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Bank profit up by 231pc in one year : Equity CEO

Equity Bank’s net profit rose by 230.9 per cent during the year ending September 2015 as the financial entity steps up efforts to reach the unbanked segment of the population.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Equity benki yaja na ‘Eazzy 24/7’

KATIKA kupanua wigo wa kibiashara, Benki ya Equity Tanzania imezindua rasmi huduma ya benki kwa kutumia simu za mkononi ijulikanayo kama ‘Eazzy 24/7’. Eazzy 24/7 inayopatikana kupitia mitandao yote ya...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA EQUITY KUTOA MIKOPO YA MAJI KWA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI

Mkuu wa Mahusiano ya Biashara wa Benki ya Equity, Eric Shao (katikati) akimkabidhi hati za makubaliano Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Kashilimu Mayunga, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mzunguko wa Makole (Round About) na kuanzisha rasmi utaratibu wa kuwakopesha wananchi wanaohitaji huduma ya Maunganisho mapya ya Maji safi na Maji taka. Hafla hiyo ilifanyika katika mzunguko huo wa Makole jijini Dododma leo. Kulia ni Naibu Meya wa jiji...

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA YA KUUNGANA KWA BENKI YA NIC TANZANIA NA BENKI YA COMMECIAL BANK OF AFRICA TANZANIA

KUUNGANA KWA BENKI YA NIC TANZANIA NA BENKI YA COMMECIAL BANK OF AFRICA TANZANIA KUUNDA BENKI MPYA YA NCBA TANZANIA LIMITED KUANZIA TAREHE 8 MWEZI JULAI, 2020

Kibali cha kuungana kutoka kwa mamlaka husika tayari vimeshapokelewa

Benki ya NIC Bank Tanzania Limited (NIC) na benki ya Commercial Bank of Africa (Tanzania) Limited (CBA) imeshapokea vibali vyote kuungana na kuanza kutoa huduma kuanzia tarehe 8 mwezi Julai mwaka 2020 kama benki ya NCBA Bank Tanzania Limited.

Uunganaji utafanyika kwa...

 

9 years ago

Michuzi

Benki ya Afrika(BOA Bank) yapigia chapuo matumizi bora ya mikopo

Na Mwandishi wetu, BagamoyoWATANZANIA wametakiwa kujenga tabia ya kukopa na kurejesha kwa wakati mikopo katika taasisi za fedha kwani huo ni msingi muhimu wa kujipatia maendeleo kwa mtu binafsi na katika ngazi ya taasisi pia.
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Afrika, Bw. Mussa Mwachaga amesema mwishoni mwa juma wakati akikabidhi msaada wa Tsh. milioni 10 kwa shule ya Sekondari ya Baobab kuwa uaminifu katika kurejesha mikopo huleta maendeleo ya haraka kwa watu binafsi na taasisi mbalimbali.
“Hili...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AFARIJIKA NA HATUAZA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO KATIKA BENKI YA WALIMU (MWALIMU COMMERCIAL BANK)

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli ameeleza kufarijika kwake kutokana na changamoto zilizokuwa zikiihusu benki ya Walimu (Mwalimu Commercial Bank plc) sasa zimeanza kushughulikiwa.
Rais ametoa kauli hiyo Ijumaa Juni 5, 2020 wakati akihutubia mkutano mkuu wa uchaguzi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.“Najua chama hiki kina mali na rasilimali mbalimbali, lakini zote hizo ni mali za wanachama hivyo basi viongozi hawana budi kuhakikisha mali na rasilimali za...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya CBA (Commercial Bank of Africa (Tanzania) yatoa msaada wa Matanki ya Maji kwa Hospitali za Umma jijini Dar es salaam.

Benki ya Commercial Bank of Africa (CBA) Tanzania imetoa msaada wa matanki nane ya maji yasiyo na mkono kwa hospitali nne zilizochaguliwa jijini Dar es salaam kukabiliana na mahitaji yanayoongezeka ya kusafisha mikono ambayo ni hatua muhimu katika kupambana na COVID-19.

Akikabidhi mchango huo Afisa Mtendaji Mkuu wa CBA, Gift Shoko amesema msaada huo ni sehemu ya hatua zilizochukuliwa na CBA kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na kusambaa kwa COVID-19 nchini Tanzania.

"Commercial...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'

 Benki ya Exim Tanzania hii leo imetangaza washindi watano wa mwezi katika kampeni yake ya 'Chanja Kijanja na Exim Mastercard'. Kampeni hiyo inalenga kuhamasisha wateja wa benki ya Exim kutumia kadi zao za Mastercard katika manunuzi ya mtandaoni au kufanya malipo kupitia mashine za malipo (POS) katika maduka mbalimbali na maeneo mengine nchini.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza  wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani