FA haruhusiwa na COSOTA kufanya ‘sampling’ wimbo uliotoka mwaka 1717
Rapa Mwana FA amesema ameruhusiwa na Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kufanya ‘sampling’ wimbo wa msanii wa zamani uliotoka 1717, baada ya kuambiwa wimbo ukishazidi miaka 50 toka utoke unaruhusiwa kusumple kisheria.
Akizungumza na 255 ndani ya kipindi cha XXL ya Clouds Fm, FA alisema alikwenda COSOTA ili kutaka kulipia kazi hiyo ili awe huru kukitumia katika kazi yake.
“Sikutaka kumwibia mtu, so nikaipeleka pale nikamwambia hii ngoma nimesumple nataka kuilipia kwa sababu COSOTA...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo504 Aug
Video Snippet: Nicki Minaj aonjesha kipande cha video ya wimbo wake mpya ‘Anaconda’ uliotoka rasmi leo
9 years ago
Bongo522 Dec
COSOTA yataja kiasi atakacholipwa msanii kwa kila wimbo au video itakayochezwa kwenye Redio au TV
![majani](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/majani-300x194.jpg)
Miongoni mwa maswali mengi ambayo yanaendelea kuulizwa kuhusiana na utaratibu mpya wa vyombo vya habari kuanza kuwalipa wasanii kwa kucheza nyimbo zao kuanzia mwakani, ni pamoja na kiasi gani msanii atakuwa analipwa.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama cha Hakimiliki Tanzania (Cosota), Doreen Sinare alisema kuwa wanamuziki, watunzi na maproducer watalipwa asilimia 60 kwa kila wimbo au video itakayochezwa katika redio na televisheni yoyote ndani na nje ya nchi kwa kutumia vifaa bora vilivyowekwa na...
11 years ago
Bongo523 Jul
Roma atimiza ahadi ya kufanya wimbo Sharobaro Rec, wimbo unaitwa ‘Maumivu’
10 years ago
Bongo503 Nov
Kala Jeremiah: Wimbo nitakaofungia mwaka ndio wimbo wangu wa kwanza mtu akisikiliza analia
10 years ago
Bongo520 Aug
Alikiba azungumzia uwezekano wa kufanya wimbo na Diamond Platnumz
9 years ago
Bongo527 Oct
Kanye West kufanya wimbo wa pamoja na mkewe Kim Kardashian?
9 years ago
Bongo528 Sep
Hii ndio sababu ya Christian Bella kusita kufanya wimbo na Diamond
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7hRyefEXhvs/default.jpg)
10 years ago
Bongo516 Oct
Picha: Akothee (Kenya) apanga kufanya remix na Black Coffee na kurekodi wimbo na Mafikizolo