Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fahamu athari za uvuvi wa mabomu

TANZANIA  inasifika duniani kwa mazingira yake ya bahari ambayo imeiweka kwenye ramani miongoni mwa nchi maarufu. ”Uvuvi  wa mabomu unaharibu mazingira ya chini ya bahari ambayo huwezesha samaki kuzaana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Athari za uvuvi wa mabomu Tanzania

Mtindo wa kuvua Samaki kwa mabomu Tanzania unavyotatiza utulivu wa bahari. Na Gladys Njoroge

 

10 years ago

Mwananchi

Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa

Uvuvi usiokuwa endelevu unafanyika katika Ziwa Nyasa na kusababisha samaki adimu waliokuwapo kuendelea kutoweka mwaka hadi mwaka.

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ULEGA AWATAKA MAAFISA UVUVI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA SEKTA YA UVUVI



 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (kulia) akisikiliza hoja na malalamiko kutoka kwa mmoja wadau wa sekta ya uvuvi katika Kijiji cha Kigombe Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga.Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe. Jumaa Aweso ( wa kwanza kutoka kulia) akifuatiwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega wakikagua punda...

 

9 years ago

Bongo5

Nilifanya kazi mpaka nikapoteza fahamu–Nisher

nisher location

Muongozaji wa video, Nisher ameeleza jinsi alivyofanya kazi kupita kiasi ndani ya mwaka 2013/2014 hali iliyomsababisha kupoteza fahamu na kukimbizwa hospitali.

nisher location

Nisher ambaye kwa sasa yupo mapumziko, amekiambia kipindi cha Mkasi cha EATV kuwa, hali hiyo ilisababisha familia yake imshauri apumzike.

“Nilikuwa nafanya kazi sana kuanzia mwaka 2012, 2013 mpaka 2014 mpaka kuna kipindi nilizimia nikiwa naedit video. Nikaanguka chini next time naamka nakuta nipo hospitali nimetundukiwa drip naambiwa...

 

11 years ago

Habarileo

Maofisa uvuvi watimuliwa

MAOFISA uvuvi watatu wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza, wamefukuzwa kazi kwa madai ya kughushi vitabu vya leseni na kujipatia fedha kinyume cha sheria.

 

10 years ago

Habarileo

Migogoro ya uvuvi yapungua

WIZARA ya Mifugo na Uvuvi imesema kwamba migogoro ya uvuvi Unguja na Pemba iliyochangiwa na kuwepo kwa uvuvi haramu katika maeneo ya mwambao wa pwani, sasa imepungua.

 

11 years ago

Habarileo

Zana haramu za uvuvi zateketezwa

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani Kagera.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uvuvi wamuangamiza samaki mkubwa

Samaki aliye na urefu wa mita tatu aliyekuwa maarufu katika mto Amazon amevuliwa hadi ameangamia

 

11 years ago

Habarileo

Ukerewe kukabiliana na uvuvi haramu

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza limetangaza kuwa tatizo la uvuvi haramu, hasa wa kutumia sumu ni janga, hivyo kupitisha azimio la kulikabili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani