Fahamu athari za uvuvi wa mabomu
TANZANIA inasifika duniani kwa mazingira yake ya bahari ambayo imeiweka kwenye ramani miongoni mwa nchi maarufu. ”Uvuvi wa mabomu unaharibu mazingira ya chini ya bahari ambayo huwezesha samaki kuzaana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Athari za uvuvi wa mabomu Tanzania
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6p9VYUh4v3k/XlDq1Ua71gI/AAAAAAALezE/cXIO1UF_YGcew-JChxGT3Iy2wxThsb8GACLcBGAsYHQ/s72-c/AA-7-1024x576.jpg)
NAIBU WAZIRI ULEGA AWATAKA MAAFISA UVUVI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA SEKTA YA UVUVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-6p9VYUh4v3k/XlDq1Ua71gI/AAAAAAALezE/cXIO1UF_YGcew-JChxGT3Iy2wxThsb8GACLcBGAsYHQ/s640/AA-7-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/AA-8-1024x576.jpg)
9 years ago
Bongo505 Jan
Nilifanya kazi mpaka nikapoteza fahamu–Nisher
![nisher location](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nisher-location-300x194.jpg)
Muongozaji wa video, Nisher ameeleza jinsi alivyofanya kazi kupita kiasi ndani ya mwaka 2013/2014 hali iliyomsababisha kupoteza fahamu na kukimbizwa hospitali.
Nisher ambaye kwa sasa yupo mapumziko, amekiambia kipindi cha Mkasi cha EATV kuwa, hali hiyo ilisababisha familia yake imshauri apumzike.
“Nilikuwa nafanya kazi sana kuanzia mwaka 2012, 2013 mpaka 2014 mpaka kuna kipindi nilizimia nikiwa naedit video. Nikaanguka chini next time naamka nakuta nipo hospitali nimetundukiwa drip naambiwa...
11 years ago
Habarileo08 Aug
Maofisa uvuvi watimuliwa
MAOFISA uvuvi watatu wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza, wamefukuzwa kazi kwa madai ya kughushi vitabu vya leseni na kujipatia fedha kinyume cha sheria.
10 years ago
Habarileo13 Jun
Migogoro ya uvuvi yapungua
WIZARA ya Mifugo na Uvuvi imesema kwamba migogoro ya uvuvi Unguja na Pemba iliyochangiwa na kuwepo kwa uvuvi haramu katika maeneo ya mwambao wa pwani, sasa imepungua.
11 years ago
Habarileo04 May
Zana haramu za uvuvi zateketezwa
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani Kagera.
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
Uvuvi wamuangamiza samaki mkubwa
11 years ago
Habarileo09 Aug
Ukerewe kukabiliana na uvuvi haramu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza limetangaza kuwa tatizo la uvuvi haramu, hasa wa kutumia sumu ni janga, hivyo kupitisha azimio la kulikabili.