Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fainali za Caf 2015: Timu 15 zafuzu

Nchi za Afrika Mashariki zimekosa uwakilishi katika fainali za Caf za 2015 baada ya Uganda kutolewa katika makundi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Timu kumi zafuzu Afrika

Afrika Kusini ni miongoni mwa nchi sita zilizofuzu katika michezo ya juzi kwa ajili ya kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2015) na hivyo kufikisha idadi ya nchi 10 ambazo tayari zimefuzu kabla ya mechi za mwisho zitakazochezwa keshokutwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Morocco na Tunisia zafuzu kwa fainali za CHAN

Morocco walicharaza Libya 4-0 Alhamisi katika kanda ya Kaskazini ya kufuzu kwa fainali za CHAN ambazo zitachezewa nchini Rwanda mwaka ujao.

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI

Mkuu  wa  wilaya ya Mufindi Mboni Mhita katikati  akiwa katika picha ya pamoja na   mabingwa wa mashindano ya  kombe la Muungano Mufindi timu ya Mucoba Fc ,wa kwanza kulia ni mratibu wa mashindano hayo aliyestaafu rasmi Daud Yassin na mdau mkubwa wa  soka mkoa wa Iringa Feisal AsasMkuu wa wilaya ya  Mufindi Mboni Mhita  akikabidhi kombe kwa mabingwa  timu ya MUcoba FC

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE LUCY OWENYA AKABIDHI JEZI KWA TIMU ZILIZOFUZU ROBO FAINALI YA LUCY OWENYA CUP 2015

Dkt Fidelis Owenya akikabidhi jezi kwa vilabu nane vilivyo fuzu kucheza hatua ya robo fainali katika mashindano ya kombe la Mbunge lijulikanalo kama Lucy Owenya Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini.Baadhi ya iongozi wa timu zilizofuzu hatua ya robo fainali wakifunga jezi zao mara baada ya kukabidhiwa kwa ajili ya hatua ya robo fainali. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

CAF YAIPA TANZANIA UENYEJI FAINALI ZA U17


Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika -CAF leo hii limeipa Tanzania uenyeji wa fainali za michuano ya Afrika ya vijana umri chini ya miaka 17 mwaka 2019.
Uenyeji huu ni hatua muhimu sana kwa Tanzania katika kukuza soka la vijana na kwa hatua hii Tanzania itacheza moja kwa moja fainali hizi. 
Katika kuandaa kikosi bora cha kushiriki fainali hizi Tanzania, mwezi Juni mwaka huu TFF itaandaa mashindano ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 13 na wachezaji bora wa mashindano haya...

 

11 years ago

Mwananchi

CAF yaipa Yanga timu laini

Yanga imepangwa na timu laini ya Komorozine ya Comorro katika mechi za raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, wakati Azam imepangiwa Ferroviario Da Beira ya Msumbiji kwenye Kombe la Shirikisho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu 4 zatinga nusu fainali,Ulaya

Timu nne zimetinga hatua ya nusu fainali katika ligi ya mabingwa barani Ulaya iliyokamilika hapo jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Kambi za timu 32 Fainali za Kombe la Dunia 2014 Brazil

Kila zinapofanyika fainali za Kombe la Dunia, timu zinazoshiriki fainali hizo hupewa nafasi ya kuchagua hoteli na viwanja vya mazoezi vinavyokuwa vimeandaliwa kwa ajili ya kuweka kambi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Droo ya CAF 2015

Mataifa ya Afrika Mashariki kushiriki mchujo kabla ya kufuzu kwa Afcon 2015 Morrocco

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani