Fainali za Caf 2015: Timu 15 zafuzu
Nchi za Afrika Mashariki zimekosa uwakilishi katika fainali za Caf za 2015 baada ya Uganda kutolewa katika makundi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Timu kumi zafuzu Afrika
Afrika Kusini ni miongoni mwa nchi sita zilizofuzu katika michezo ya juzi kwa ajili ya kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2015) na hivyo kufikisha idadi ya nchi 10 ambazo tayari zimefuzu kabla ya mechi za mwisho zitakazochezwa keshokutwa.
9 years ago
BBCSwahili24 Oct
Morocco na Tunisia zafuzu kwa fainali za CHAN
Morocco walicharaza Libya 4-0 Alhamisi katika kanda ya Kaskazini ya kufuzu kwa fainali za CHAN ambazo zitachezewa nchini Rwanda mwaka ujao.
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NJ-eRUdpatM/VWgCPDIevfI/AAAAAAAAQG0/tR6tt7uJPj0/s72-c/E86A8695%2B%2528800x533%2529.jpg)
MBUNGE LUCY OWENYA AKABIDHI JEZI KWA TIMU ZILIZOFUZU ROBO FAINALI YA LUCY OWENYA CUP 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-NJ-eRUdpatM/VWgCPDIevfI/AAAAAAAAQG0/tR6tt7uJPj0/s640/E86A8695%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ip9AA1RhbLY/VWgCcJ3CJGI/AAAAAAAAQHc/3NNnOvdOy4U/s640/E86A8708%2B%2528800x533%2529.jpg)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UINCzroZiAs/VWV398DxbHI/AAAAAAAHaDc/Qv--SZeJt4s/s72-c/index.jpg)
CAF YAIPA TANZANIA UENYEJI FAINALI ZA U17
![](http://3.bp.blogspot.com/-UINCzroZiAs/VWV398DxbHI/AAAAAAAHaDc/Qv--SZeJt4s/s1600/index.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika -CAF leo hii limeipa Tanzania uenyeji wa fainali za michuano ya Afrika ya vijana umri chini ya miaka 17 mwaka 2019.
Uenyeji huu ni hatua muhimu sana kwa Tanzania katika kukuza soka la vijana na kwa hatua hii Tanzania itacheza moja kwa moja fainali hizi.
Katika kuandaa kikosi bora cha kushiriki fainali hizi Tanzania, mwezi Juni mwaka huu TFF itaandaa mashindano ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 13 na wachezaji bora wa mashindano haya...
11 years ago
Mwananchi17 Dec
CAF yaipa Yanga timu laini
Yanga imepangwa na timu laini ya Komorozine ya Comorro katika mechi za raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, wakati Azam imepangiwa Ferroviario Da Beira ya Msumbiji kwenye Kombe la Shirikisho.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Timu 4 zatinga nusu fainali,Ulaya
Timu nne zimetinga hatua ya nusu fainali katika ligi ya mabingwa barani Ulaya iliyokamilika hapo jana.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Kambi za timu 32 Fainali za Kombe la Dunia 2014 Brazil
Kila zinapofanyika fainali za Kombe la Dunia, timu zinazoshiriki fainali hizo hupewa nafasi ya kuchagua hoteli na viwanja vya mazoezi vinavyokuwa vimeandaliwa kwa ajili ya kuweka kambi.
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Droo ya CAF 2015
Mataifa ya Afrika Mashariki kushiriki mchujo kabla ya kufuzu kwa Afcon 2015 Morrocco
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania