Morocco na Tunisia zafuzu kwa fainali za CHAN
Morocco walicharaza Libya 4-0 Alhamisi katika kanda ya Kaskazini ya kufuzu kwa fainali za CHAN ambazo zitachezewa nchini Rwanda mwaka ujao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCMorocco & Tunisia reach CHAN finals
Morocco beat Libya 4-0 in Thursday's Northern Zone 2016 CHAN qualifier to send themselves and Tunisia through to the finals.
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Fainali za Caf 2015: Timu 15 zafuzu
Nchi za Afrika Mashariki zimekosa uwakilishi katika fainali za Caf za 2015 baada ya Uganda kutolewa katika makundi
10 years ago
BBCTunisia and Morocco look to the future
Tunisia and Morocco's differences with the Confederation of African Football (Caf) are in the past, both North African nations say.
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Burundi yachungulia hatua ya robo fainali CHAN
Bao la dakika za majeruhi la nyota Selemani Ndikumana lilitosha kuipa Burundi ushindi mbele ya Mauritania baada ya kuwachapa mabao 3-2 kwenye mchezo wa Kundi B wa michuano ya ubingwa wa Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (Chan) uliofanyika juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa Peter Mokaba, Afrika Kusini.
10 years ago
GPLDRC, TUNISIA ZATINGA ROBO FAINALI AFCON 2015
Zambia wakikwaana na Cape Verde leo. TIMU za Tunisia na DR Congo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali Afcon 2015 kutoka Kundi B huku Cape Verde na Zambia zikiaga mashindano hayo yanayoendelea huko Equitorial Guinea. DRC wakimenyana na Tunisia. Timu hizo zimetinga hatua hiyo baada ya kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wao wa mwisho uliopigwa leo huku Zambia na Cape Verde wakitoka suluhu na kuondolewa. Zambia na… ...
10 years ago
BBCSwahili05 May
Cosafa itaijenga Stars kwa CHAN, AFCON
Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania , Mart Nooij amesema michuano kombe la COSAFA itakayofanyika nchini Afrika Kusini Mei 17.
10 years ago
GPLMTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA
Jackie Chan akiwa katika pozi na mwanaye Jaycee Chan (kulia). MTOTO wa staa wa filamu nchini Marekani, Jackie Chan, Jaycee Chan (32), ameshtakiwa kwa kosa la kuwakingia kifua watumia madawa ya kulevya nchini China. Jaycee Chan.…
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Timu kumi zafuzu Afrika
Afrika Kusini ni miongoni mwa nchi sita zilizofuzu katika michezo ya juzi kwa ajili ya kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2015) na hivyo kufikisha idadi ya nchi 10 ambazo tayari zimefuzu kabla ya mechi za mwisho zitakazochezwa keshokutwa.
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Kenya,Namibia zafuzu,Tanzania chini
Michuano ya Afrika ya kriketi ya Daraja la 1( T20) imemalizika nchini Afrika ya Kusini Namibia na Kenya zikifuzu kucheza .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania