Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Morocco na Tunisia zafuzu kwa fainali za CHAN

Morocco walicharaza Libya 4-0 Alhamisi katika kanda ya Kaskazini ya kufuzu kwa fainali za CHAN ambazo zitachezewa nchini Rwanda mwaka ujao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

Morocco & Tunisia reach CHAN finals

Morocco beat Libya 4-0 in Thursday's Northern Zone 2016 CHAN qualifier to send themselves and Tunisia through to the finals.

 

10 years ago

BBCSwahili

Fainali za Caf 2015: Timu 15 zafuzu

Nchi za Afrika Mashariki zimekosa uwakilishi katika fainali za Caf za 2015 baada ya Uganda kutolewa katika makundi

 

10 years ago

BBC

Tunisia and Morocco look to the future

Tunisia and Morocco's differences with the Confederation of African Football (Caf) are in the past, both North African nations say.

 

11 years ago

Mwananchi

Burundi yachungulia hatua ya robo fainali CHAN

Bao la dakika za majeruhi la nyota Selemani Ndikumana lilitosha kuipa Burundi ushindi mbele ya Mauritania baada ya kuwachapa mabao 3-2 kwenye mchezo wa Kundi B wa michuano ya ubingwa wa Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (Chan) uliofanyika juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa Peter Mokaba, Afrika Kusini.

 

10 years ago

GPL

DRC, TUNISIA ZATINGA ROBO FAINALI AFCON 2015

Zambia wakikwaana na Cape Verde leo. TIMU za Tunisia na DR Congo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali Afcon 2015 kutoka Kundi B huku Cape Verde na Zambia zikiaga mashindano hayo yanayoendelea huko Equitorial Guinea. DRC wakimenyana na Tunisia. Timu hizo zimetinga hatua hiyo baada ya kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wao wa mwisho uliopigwa leo huku Zambia na Cape Verde wakitoka suluhu na kuondolewa. Zambia na… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Cosafa itaijenga Stars kwa CHAN, AFCON

Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania , Mart Nooij amesema michuano kombe la COSAFA itakayofanyika nchini Afrika Kusini Mei 17.

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA

Jackie Chan akiwa katika pozi na mwanaye Jaycee Chan (kulia). MTOTO wa staa wa filamu nchini Marekani, Jackie Chan, Jaycee Chan (32), ameshtakiwa kwa kosa la kuwakingia kifua watumia madawa ya kulevya nchini China. Jaycee Chan.…

 

10 years ago

Mwananchi

Timu kumi zafuzu Afrika

Afrika Kusini ni miongoni mwa nchi sita zilizofuzu katika michezo ya juzi kwa ajili ya kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2015) na hivyo kufikisha idadi ya nchi 10 ambazo tayari zimefuzu kabla ya mechi za mwisho zitakazochezwa keshokutwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya,Namibia zafuzu,Tanzania chini

Michuano ya Afrika ya kriketi ya Daraja la 1( T20) imemalizika nchini Afrika ya Kusini Namibia na Kenya zikifuzu kucheza .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani