FAMILIA: KADI YA BENKI YA MTIKILA IMEIBWA

Na Haruni Sanchawa KUFA kufaana? Tukio la ajali lililosababisha kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (pichani) limeendelea kuibua mazito baada ya familia ya marehemu huyo kubaini kuwa, kadi ya benki ya Mtikila haikuwepo kwenye mkoba wake....Soma===>http://bit.ly/1LlgUR7
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
BENKI YA NMB YAZINDUA RASMI FAMILIA YA KADI ZA BENKI “MASTERCARD DEBIT” ZINAZOKUBALIKA KIMATAIFA


10 years ago
Michuzi
BENKI YA WATU WA ZANZIBAR (PBZ) YAFUTARISHA WANA FAMILIA WA BENKI HIYO NA WATEJA WAKE





11 years ago
Vijimambo16 Oct
MAMALAMIKO KUHUSIANA NA CRDB KADI ZA BENKI
Timu ya Vijimambo leo tumepata email kutoka kwa mteja wa CRDB aliyejitambulisha kwa jina la Mtemi Ramadhani kuhusiana na kadi za ATM za CRDB kugoma kutoa fedha kwenye ATM za benki hiyo na hii ndio email ya mteja huyo alivyoiandika
"Ndugu zangu Mimi ni mdau mkubwa wa Blog yenu naomba kutoa kilipo changu Kuhusu Card za ATM za Benki ya CRDB.Nipo Uk mjini Birmingham na Leo ni Siku ya 16 nashindwa kutoa fedha kwa kutuma Card yangu.Nimemtuma mtoto ameenda Kijitonyama CRDB ulipo akaunti yangu bila...
"Ndugu zangu Mimi ni mdau mkubwa wa Blog yenu naomba kutoa kilipo changu Kuhusu Card za ATM za Benki ya CRDB.Nipo Uk mjini Birmingham na Leo ni Siku ya 16 nashindwa kutoa fedha kwa kutuma Card yangu.Nimemtuma mtoto ameenda Kijitonyama CRDB ulipo akaunti yangu bila...
10 years ago
MichuziBENKI YA BARCLAYS YAZINDUA KADI YA ATM DOLA
11 years ago
Michuzi.jpg)
kadi ya ushabiki ya benki ya posta ya mbeya city yazinduliwa leo
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
Benki ya Exim yatoa wito wateja kuchukua kadi mpya

Katika jitihada za kupambana na uhalifu wa kimtandao ili kuhakikisha upatikanaji wa huduma za kibenki katika mazingira salama zaidi, Benki ya Exim imetoa wito kwa wateja wake kuchukua kadi zao za ‘Faida chip and pin Debit Card’ zilizotambulishwa mapema mwezi Januari mwaka zilizochukua nafasi ya ‘Magnetic Stripe Faida Debit Card’.
Kadi za ‘Faida chip and pin Debit Card’ hutoa usalama wa hali ya juu kutokana na uwepo wa ‘embedded chip’ inayodadavua taarifa za mteja ikiwa na mfumo madhubuti wa...
10 years ago
Michuzi
Benki ya Exim yatambulisha Kadi ya Faida EMV kuwezesha miamala salama

11 years ago
Michuzi
benki ya posta YAZINDUA KADI ZA AKAUNTI KWA WANACHAMA NA MASHABIKI wa SIMBA NA YANGA


11 years ago
MichuziYOUNG AFRICANS NA BENKI YA CRDB WAINGIA MAKUBALIANO YA UTENGENEZAJI WA KADI ZA KISASA ZA UANACHAMA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania