Familia za wafungwa wa ‘unga’ China zanena
Familia za baadhi ya wafungwa wa dawa za kulevya katika magereza ya China na Hong Kong zimepokea ujumbe wa ndugu zao kutoka magerezani na kueleza chuki yao dhidi ya wafanyabiashara waliowatumbukiza kwenye tatizo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Jan
FAMILIA ZA WAFUNGWA WA UNGA CHINA ZASEMA

Dar es Salaam. Familia za baadhi ya wafungwa wa dawa za kulevya katika magereza ya China na Hong Kong zimepokea ujumbe wa ndugu zao kutoka magerezani na kueleza chuki yao dhidi ya wafanyabiashara waliowatumbukiza kwenye tatizo...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Siku za ‘wauza unga’ China zahesabika
Siku za wasafirishaji na wauzaji wa dawa za kulevya kwenda China sasa zinahesabika baada ya Jeshi la Polisi na kitengo chake cha Dawa za Kulevya kubaini majina ya vigogo wanaofanya shughuli hiyo na kusema imeanza kuwashughulikia kimyakimya.
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Ujumbe wa simanzi wa wauza ‘unga’ China
Wanakuja kwa makundi. Wake kwa waume, vijana kwa wazee, wenye elimu na historia tofauti za kimaisha... lakini kilichowaleta China, Hong Kong na Macau ni kimoja tu; biashara ya dawa za kulevya.
11 years ago
Michuzi.bmp)
TAARIFA YA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUHUSU WAFUNGWA WA KITANZANIA NCHINI CHINA
.bmp)
10 years ago
GPL
11 years ago
Michuzi
Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)

10 years ago
Michuzi
WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii aliyekuwa Kahama.BUZWAGI imeanzisha mkakati wa kukuza na kuboresha hali ya utendaji kazi kwa wafanyakazi wake kwa kuanzisha utaratibu wa kuwakutanisha wafanyakazi wa mgodi huo na familia zao mara moja kwa mwaka katika siku maalumu ya familia ambayo hutoa fursa kwa familia za wafanyakazi wa mgodi huo kuweza kujionea namna ambavyo shughuli za uchimbaji wa madini hufanyika na hivyo kuwa mabalozi wazuri wa kampuni kwa ujumla.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: China yakerwa Trump kuita corona 'virusi vya China'
Rais wa Marekani Donald Trump ametumia neno hilo ingawa kumekuwa na wito wa kuepuka kunyanyapaa eneo au kundi fulani wakati huu wa maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
Free Press Journal18 Mar
Coronavirus Update from China: Collectivism plays indispensable role in China's COVID-19 fight
Coronavirus Update from China: Collectivism plays indispensable role in China's COVID-19 fight Free Press Journal
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-May-2025 in Tanzania