Fastjet watumia Kiswahili kwenye mtandao
KAMPUNI ya Ndege ya Fastjet, imezindua matumizi ya lugha ya Kiswahili katika mtandao wake na hivyo kuufanya kuwa wa aina yake miongoni mwa mashirika ya ndege barani Afrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Dec
Mtandao wa Marekani waisifia cover ya Kiswahili ya ‘Hello’ iliyoimbwa na MKenya, Dela
![Dela-Maranga](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Dela-Maranga-300x194.jpg)
Dela ni muimbaji kutoka Kenya aliyeingia kwenye orodha ya wasanii wengi duniani waliofanya cover ya hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele-Hello, lakini yeye akiwa ameifanya kwa lugha ya Kiswahili.
Cover hiyo ya Kiswahili imesifiwa na watu wengi ikiwa ni pamoja na mtandao mkubwa wa Marekani, Perez Hilton waliodiriki kusema kuwa ni kali kuliko original version ya Adele.
This is INCREDIBLE! RT @Adele's #Hello in Swahili might be the best cover yet. Listen HERE! https://t.co/qWiE83UNcv...
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Fastjet kwenye maadimisho ya miaka 70 ya kimataifa ya safari za anga duniani
Ofisa Habari na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro, (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dr.Shaaban Mwinjaka katika maadhimisho ya miaka 70 ya Kimataifa ya safari za Anga Duniani yaliyoanza jana mpaka Desemba 5 mwaka huu katika Viwanja vya Makao Makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCCA) Dar es Salaam, kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya TCCA, na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Charles Chacha.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dr. Shaaban Mwinjaka (wapili...
10 years ago
Dewji Blog06 May
NSSF waitandika Fastjet 5-4 kwenye mashindano ya Clouds Sports Extra Bonanza
![SITA - KOCHA](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/SITA-KOCHA.jpg)
![TANO - WARM UP2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/TANO-WARM-UP2.jpg)
9 years ago
Bongo522 Oct
Fastjet kuibukia kwenye soko la Kenya hivi karibuni baada ya kupata leseni
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani!
Ujio wa Adele kwenye headlines za muziki umekuwa moja ya matukio makubwa kwenye kurasa za burudani kwa mwaka huu wa 2015. Baada ya ukimya wa miaka minne, Adele alirudi kuchukua nafasi yake kwenye chati za muziki na ujio wa single yake ya kwanza ‘Hello’, single inayopatikana kwenye album yake mpya, 25. Toka kipindi hicho, wimbo […]
The post Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani! appeared first on...
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Kleyah: Lugha ya Kiswahili inavutia kwenye muziki
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MKALI wa wimbo wa ‘Msobe Msobe’, Claire Pamela Kamahoro ‘Kleyah’ ameweka wazi kwamba wasanii wa Tanzania wana nafasi kubwa ya kupata mafanikio kimataifa kwa kuwa lugha ya Kiswahili wanayoitumia katika nyimbo zao inapendwa na watu wa mataifa mbalimbali.
Msanii huyo katika wimbo huo aliomshirikisha mkali wa sauti, mpigaji vyombo mbalimbali vya muziki nchini na mmiliki wa studio ya High Table Sound, Barnaba Elias ‘Barnaba Boy’, umezua mengi huku wengi wakimfananisha na...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Makosa katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Msako kwenye mtandao wa Instagram
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Udhaifu wa Kiswahili ulivyojikita kwenye vyombo vya habari