Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fifa yakutana na wadhamini wake

Shirikisho la kandanda duniani Fifa, limekutana na baadhi ya wadhamini wake wakubwa kujadili uchunguzi wa maswala ya rushwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Benki ya FNB yakutana na wateja wake wa Tanzania

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB,Dave Aitken akizungumza na wateja wa benki hiyo wakati wa mkutano kati ya wateja na benki hiyo kujadili kuhusiana na mwelekeo wa uchumi wa kimataifa wa hapa nchini. Baadhi ya washiriki wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yakitolewa na mtoa mada katika mjadala huo. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB Dave Aitken (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Nakuroei Investement Company LTD, Engineer Samwel Mollel. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB...

 

10 years ago

Vijimambo

VIJIMAMBO YAKUTANA NA WADAU WAKE DALLAS, TEXAS

 Kutoka kushoto ni Tom, Wolfgang, Kichai na Dj Luke wakiwa Afrika Fusion wakipata menyu ni kilaji kwenye July 4th weekend jijini Dallas, Texas. Ben Kazora akiwa na Dj Luke wakipata picha ya pamoja. Wadau wa Dallas wakiwa kwenye nyama choma kama walivyokutwa na camera ya Vijimambo ambayo wiki hii ipo Dallas, Texas. Mdau wa Vijimambo akipata picha ya kumbukumbu
 Wadau wakiwa Africa Fusion wakipata ukodak ndani ya mgahawa huo.. Mdau kutoka California aakipata picha ya upendeleo. Wadau wa Dallas...

 

11 years ago

Michuzi

MultChoice Africa yakutana na wadau wake nchini Mauritius

Mtendaji Mkuu wa MultChoice Afrika,Nico Meyer akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya ufunguzi wa Mult Choice Africa Extravaganza uliofanyika leo kwenye Ufukwe wa Hoteli ya Trou Aux Biches,Morisi ndani ya Kisiwa cha Mauritius.Hafla hiyo imekusanya wadau mbali mbali wa MultChoice barani Afrika,ambapo Kampini hiyo itakuwa ikinyesha mambo mbali mbali wanayojihusisha nayo kwenye vipindi mbali mbali vya Televisheni zao za DStV na GoTV.Picha zote na Othman Michuzi. Meneja wa MultChoice kwa...

 

10 years ago

Michuzi

RwandAir yakutana na wadau wake katika chakula cha jioni jijini Dar

Wafanyakazi wa Rwandair wakipozi katika picha ya pamoja na zawadi zao, kushoto ni Lucy Ismail RwandAir country manager, Gladys Buhama na Hamida Hamza Reservation staff na kulia ni Eugene Mugisha Airport Station ManagerRwandAir Tanzania Country Manager, Lucy Ismail akifungua sherehe kwa kukaribisha wageni waalikwa na kutambulisha baadhi ya staff,kulia ni Roshni,Lucy, Mayyada,Gladys na mwisho kushoto ni Naina.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA RUFANI YAKUTANA NA WADAU WAKE KUTOA MAONI JUU YA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI

 Baadhi ya Wadau wa Mahakama kutoka Magereza,Ofisi ya DPP, Polisi  wakiwa katika Mkutano wa Majaji wa Mahakama ya Rufani unaolenga katika kupata maoni ya wadau juu ya njia zitakazowezesha kusaidia kumaliza mashauri/rufani zinazoletwa Mahakama ya Rufani kwa wakati.Baadhi ya Wahe. Majaji, Maafisa wa Mahakama pamoja na Wadau wa Mahakama wakiwa katika Mkutano katika majadiliano juu ya Maboresho ya umalizaji wa Mahakama katika ngazi ya Mahakama ya Rufani (T) Kwa muda mrefu Mahakama ya Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

Profesa Mark Mwandosya ashukuru wadhamini wake na wananchi wote

Profesa Mark Mwandosya na mkewe mama
 Lucy Mwandosya wakiwa mijini Dodoma leoKatika nyakati mbalimbali mataifa, na binadamu pia hupita katika vipindi vya majaribu (testing times). Majaribu hayo ni njia moja ambayo naamini Mwenyezi Mungu, muweza wa yote, humuimarisha mtu na huimarisha Taifa iwapo tunaweza kuyamudu. Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish

Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish  GIVEMESPORTFnatic Tekkz explains why “no one” is enjoying FIFA 20  DexertoWorld's Best FIFA Player Says 'No-One Enjoys Playing FIFA 20' In Brutally Honest Interview  SPORTbibleView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani