Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fiji 38-0 Micronesia,rekodi ya dunia ?

Timu ya taifa ya Micronesia ilichapwa 30-0 na Tahiti na kisha iliambulia mvua ya mabao 38 mikononi mwa Fiji katika mechi ya kufuzu kwa Olimpiki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya Rainer Zietlow wakaribia kuvunja rekodi ya dunia

Dereva kutoka  nchini Ujerumani Rainer Zietlow (katikati) akizungumza na wanahabari kuhusiana na rekodi yake ya kusafiri umbali mrefu Duniani mara baada ya kuwasili nchini Tanzania kwenye Ofisi za Alliance Autos, Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors,  Bw.Wayne McIntosh na kushoto ni Meneja Masoko wa CFAO Motors, Tharaia Ahmed.

Na Mwandishi Wetu

DEREVA raia wa Ujerumani Rainer Zietlof yuko mbioni kuvunja rekodi ya dunia ya kuendesha gari kwa kilometa 17,000 kutoka Ulaya...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Klose aweka rekodi mpya ya dunia

Mshambuliaji wa Ujerumani, Miroslav Klose ameweka rekodi mpya ya ufungaji katika Fainali za Kombe la Dunia kwa kufunga mabao 16, wakati timu yake ikiibuka na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Brazil katika mchezo wa nusu fainali juzi.

 

10 years ago

Michuzi

ZIETLOF AVUNJA REKODI NYINGINE YA DUNIA AKIWA TANZANIA



 Dereva Toka  Nchini Ujerumani Rainer Zietlof akiwa na Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh(wa pili toka kulia)wakipata picha ya pamoja na wanahabari Meneja Mkuu wa Alliance Autos Wayne Mcintosh(kushoto) Akipata picha na Dereva Toka  Nchini Ujerumani Rainer Zietlof

 Meneja Masoko wa Alliance Autos Tharaia Ahmed(kushoto)akipata picha na Dereva Rainer Zietlof


Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh akisoma cheti cha rekodi ya dunia alichopewa dereva toka...

 

9 years ago

Mtanzania

Mtanzania apania rekodi ya dunia kupanda Mlima Kilimanjaro

IMG_2171NA FESTO POLEA

MTANZANIA mzaliwa wa Mkoa wa Iringa, Julio Ludago, anatarajia kuvunja rekodi ya dunia ya kupanda na kushuka Mlima Kilimanjaro kwa kutumia muda mfupi zaidi bila kuwa na usaidizi wowote.

Mtanzania huyo anayefanya kazi katika kampuni ya kutembeza watalii ya Ahsante Tours, anataka kuvunja rekodi mbili kubwa zaidi zilizowekwa na Mswisi na Mtanzania, siku ya Septemba 27 mwaka huu, atakapopanda mlima huo.

Ecuadorian Karl Egloff kutoka Uswisi ndiye anayeshikilia rekodi ya kupanda na...

 

10 years ago

Vijimambo

HUYU NDIYO ANASHIKILIA REKODI YA DUNIA KUWA NA KOPE NDEFU



Valery Smagliy, 58, from Kiev, said his eyelashes grew to their astonishing length after he changed his diet and believes the key to their growth could be marketable. He has kept the amazing-looking lashes until now as he has enjoyed the attention they attract from women.

 

10 years ago

GPL

DEREVA ZIETLOF KUVUNJA REKODI 3 ZA DUNIA, KUCHANGIA VIJIJI TANZANIA, ZAMBIA

Rainer Zietlof akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani). …Akisisitiza jambo kuhusu safari yake. Dereva wa gari akionyesha sehemu ya ndani ya  nyuma ya gari hilo.…

 

10 years ago

GPL

ADRIANNE LEWIS; MWANADADA MWENYE ULIMI MREFU ANAYETAKA KUVUNJA REKODI YA DUNIA

Adrianne Lewis akipima ulimi wake wenye inchi nne. MWANADADA Adrianne Lewis mwenye umri wa miaka 18 kutoka Michigan anafukuzia rekodi ya dunia kwa kuwa mtu mwenye ulimi mrefu kuliko wote. Adrianne mwenye ulimi wa inchi nne anataka kuvunja rekodi inayoshikiliwa na Nick Stoeberl mwenye ulimi wa inchi 3.9. Dada huyo ana uwezo wa kugusa pua yake, kidevu chake, jicho na nyusi zake kwa kutumia ulimi huo. Adrianne ana chaneli yake...

 

5 years ago

Outbreak News Today

Fiji reports imported measles case from the Philippines

Fiji reports imported measles case from the Philippines  Outbreak News TodayMeasles Media Release no. 23 (19 February 2020) - Fiji  ReliefWebHealth Woman diagnosed with measles after arrival  FBC NewsFiji's Latest News and Sports website  FijivillageView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani