FILIKUNJOMBE AENDELEA KUPIGA KAZI LUDEWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7hvg6-qTfxU/VVsfFUGOqSI/AAAAAAAHYRs/6jzFebuHnJE/s72-c/unnamedmmmm.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe akishirikiana na Wapigakura wake kushusha rola la Nyaya za umeme kwenye kijiji cha Luhana kata ya Luana wilayani Ludewa, jana Mei 18, 2015 kwa ajili ya mradi wa umeme vijijini ambapo kijiji hicho pia kinatarajiwa kupata umeme hivi karibuni.
Mbunge jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe akishirikiana na wapiga kura wake kushusha Transfoma kwa ajili ya kufungwa kwenye mradi wa umeme unaotekelezwa kwenye kijiji cha Luana wilayani Ludewa mkoani Njombe,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kZV0aqg0AdM/VVsJ48UKbtI/AAAAAAAC4rs/sNMLCE8dVoY/s72-c/2G2A0691.jpg)
MBUNGE FILIKUNJOMBE AKIPIGA KAZI LUDEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kZV0aqg0AdM/VVsJ48UKbtI/AAAAAAAC4rs/sNMLCE8dVoY/s640/2G2A0691.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pu1fV-ETjws/VVsJ4jGjZJI/AAAAAAAC4ro/P7G5wMTHbTQ/s640/2G2A0709.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bkn2GKf6ylE/VVsJ3Y-bV_I/AAAAAAAC4rg/W-7PN0kPeF4/s640/2G2A0748.jpg)
10 years ago
MichuziUTENDAJI KAZI WA FILIKUNJOMBE WAWAVUTIA WANANCHI WAKE LUDEWA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrKkh4fhpb2L-jRFRsfzly2aTMk6SgfyA2YyE7oLn1ioKbodLUpRdE2ITwu4vzZ-pkKeaksX82U-jwLQR-wH7laT/msiba.jpg?width=650)
MSIBA WA FILIKUNJOMBE, WENGI WAZIMIA LUDEWA
9 years ago
Bongo506 Nov
Masanja Mkandamizaji ajitosa kumrithi Filikunjombe Ludewa
![11950556_494360970724890_593438941_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11950556_494360970724890_593438941_n-300x194.jpg)
Mchekesha wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji amekuwa miongoni mwa wagombea sita waliojitokeza kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo la Ludewa, Njombe kwa tiketi ya CCM.
Uchaguzi katika jimbo la Ludewa uliahirishwa baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge na mgombea wa jimbo hilo, Deogratius Filikunjombe.
Mwingine aliyejitokeza kwenye kinyang’anyiro hicho ndani ya CCM ni mdogo wa marehemu, Philipo Filikunjombe.
Akizungumza na Mwananchi Digital, Katibu wa CCM wilaya ya Ludewa, Luciano...
9 years ago
TheCitizen19 Oct
Tears flow freely at Filikunjombe burial in Ludewa
9 years ago
Eatv![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-0/s130x130/10449466_1343764422304639_2677089235026161154_n.jpg?oh=0c6a49588b4f31dba6f47d306669bd4d&oe=568AA299&__gda__=1456597857_adc11ee2aeaa30c64b03d35caf373139)
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amefariki dunia
11 years ago
Dewji Blog14 Jun
Deo Filikunjombe andaa semina kwa viongozi wa CCM Wilaya ya Ludewa
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndugu Vuai Ali Vuai akifungua semina ya wenyeviti, Makatibu na Makatibu Wenezi wa CCM wilaya ya Ludewa inayohusu masuala ya kuimarisha Chama na Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika jimbo la Ludewa ambalo linaongozwa na Mbunge wake Machachali na makini Mh. Deo Filikumbjombe, Semina hiyo imeandaliwa na Mbunge wa jimbo hilo ambayo ilianza na ziara ya kimafunzo ya viongozi hao wa CCM wilaya ya Ludewa ambapo walianzia mjini Dodoma...
10 years ago
MichuziMWENYEKITI BAVICHA KIJIJI CHA LUANA AWATAKA LUDEWA KUTOMPOTEZA FILIKUNJOMBE.
11 years ago
Michuzi16 Jun
MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE NA WAGENI WAKE KUTOKA LUDEWA WAPAGAWISHWA NA MJOMBA BENDI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10