UTENDAJI KAZI WA FILIKUNJOMBE WAWAVUTIA WANANCHI WAKE LUDEWA
Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe akishirikiana,viongozi wa CCM , wananchi na mafundi wa mradi wa umeme kubeba nguzo za umeme katika kitongoji cha Ngalawale Ludewa kijijini kama sehemu ya kuhamasisha wananchi kushiriki maendeleo.
mbunge Filikunjombe akiwa chini ya shimo akishiriki kuchimba shimo la nguzo ya umeme kitongoji cha ngalawale kijiji cha ludewa wengine ni diwani wa kata ya Ludewa MONICA MCHILO ,katibu mwenezi wa ccm mkoa wa Njombe Honoratus Mgaya na katibu mwenezi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7hvg6-qTfxU/VVsfFUGOqSI/AAAAAAAHYRs/6jzFebuHnJE/s72-c/unnamedmmmm.jpg)
FILIKUNJOMBE AENDELEA KUPIGA KAZI LUDEWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7hvg6-qTfxU/VVsfFUGOqSI/AAAAAAAHYRs/6jzFebuHnJE/s640/unnamedmmmm.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UUraroeE7Es/VVsfFZPWXXI/AAAAAAAHYRk/ovUDr3VSeQw/s1600/unnamedmmm.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YSD5vJLvx4Q/VVsfFv78rHI/AAAAAAAHYRo/Z1llr-YlYHc/s640/unnamedmm.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kZV0aqg0AdM/VVsJ48UKbtI/AAAAAAAC4rs/sNMLCE8dVoY/s72-c/2G2A0691.jpg)
MBUNGE FILIKUNJOMBE AKIPIGA KAZI LUDEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kZV0aqg0AdM/VVsJ48UKbtI/AAAAAAAC4rs/sNMLCE8dVoY/s640/2G2A0691.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pu1fV-ETjws/VVsJ4jGjZJI/AAAAAAAC4ro/P7G5wMTHbTQ/s640/2G2A0709.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bkn2GKf6ylE/VVsJ3Y-bV_I/AAAAAAAC4rg/W-7PN0kPeF4/s640/2G2A0748.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Wananchi Ludewa wamzomea mgombea ubunge aokolewa kupigwa kisa uongo kumtukana Filikunjombe
11 years ago
Michuzi16 Jun
MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE NA WAGENI WAKE KUTOKA LUDEWA WAPAGAWISHWA NA MJOMBA BENDI
5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO ATANGULIZA MSAMAHA WAKATI AKIMIMINIA SIFA RAIS DKT.JOHN MAGUFULI KWA UTENDAJI KAZI WAKE
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ameomba msamaha ili kutoa ushuhuda ushuhuda wake kuhusu Rais Dk.John Magufuli ambapo amesema Baba huyu(Dk.Magufuli) ni kiongozi mwenye maono na uwezo mkubwa.
Aidha, ana kipaji cha hali ya juu cha kufanya yasiyowezekana na ni kiongozi ambaye anafahamu vema kuwa ili nchi ifanikiwe kuleta mabadiliko chanya ni lazima kuvunja kabisa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrKkh4fhpb2L-jRFRsfzly2aTMk6SgfyA2YyE7oLn1ioKbodLUpRdE2ITwu4vzZ-pkKeaksX82U-jwLQR-wH7laT/msiba.jpg?width=650)
MSIBA WA FILIKUNJOMBE, WENGI WAZIMIA LUDEWA
9 years ago
Bongo506 Nov
Masanja Mkandamizaji ajitosa kumrithi Filikunjombe Ludewa
![11950556_494360970724890_593438941_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11950556_494360970724890_593438941_n-300x194.jpg)
Mchekesha wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji amekuwa miongoni mwa wagombea sita waliojitokeza kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo la Ludewa, Njombe kwa tiketi ya CCM.
Uchaguzi katika jimbo la Ludewa uliahirishwa baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge na mgombea wa jimbo hilo, Deogratius Filikunjombe.
Mwingine aliyejitokeza kwenye kinyang’anyiro hicho ndani ya CCM ni mdogo wa marehemu, Philipo Filikunjombe.
Akizungumza na Mwananchi Digital, Katibu wa CCM wilaya ya Ludewa, Luciano...
9 years ago
TheCitizen19 Oct
Tears flow freely at Filikunjombe burial in Ludewa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10