Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


First Eleven Yanga hii hapa

Charles Mkwasa(katikati). Na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya Charles Mkwasa kujiunga na Yanga akitokea Ruvu Shooting, amekianika kikosi chake cha kwanza ambacho inaonyesha ndicho atakachokitumia.
Kikosi cha kwanza, maarufu kama First Eleven chini ya Mkwasa, kinaonekana kuwa na mabadiliko kidogo sana.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

First Eleven ya Pluijm Yanga SC hii hapa

Dunny Mrwanda. Na Wilbert Molandi
AKIWA na siku nne za kuifundisha timu hiyo, Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm tayari amepata kikosi cha kwanza atakachoanza nacho kuivaa Azam FC.Timu hizo, zinatarajiwa kuvaana katika mechi ya Ligi Kuu Bara, itakayopigwa Desemba 28, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini, Dar es Salaam. Pluijm alianza kibarua cha kukinoa kikosi hicho Jumamosi ya wikiendi iliyopita mara baada...

 

5 years ago

MillardAyo

Hii ndio first eleven ya Brazil Kombe la Dunia 2018, Firmino na Silva Out !!!

Bado miezi kadhaa tuweze kushuhudia fainali za michuano ya Kombe la dunia itakayofanyika nchini Urusi kuanzia mwezi June 2018, kocha wa timu ya taifa ya Brazil Tite kuelekea fainali hizo ametangaza kikosi chake cha kwanza yaani first eleven. Kocha Tite mwenye umri wa miaka 56 ameweka wazi kuwa staa wa Liverpool Roberto Firmino hana nafasi […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya mapinduzi Cup 2016 hii hapa, vigogo vya soka Azam Fc, Yanga watia timu Visiwani!!

IMG_6010

Uwanja wa Amaan Zanzibar ambao utakuwa moja ya viwanja vitakavyotimua vumbi katika Michuano ya Mapinduzi Cup 2016 yanayotarajia kuanza jioni ya leo na kesho..

Ratiba-ya-mapinduzi-cup-bongosoka

 

9 years ago

MillardAyo

TRA ya Rais Magufuli imevunja rekodi hii makusanyo ya Kodi, yale makontena je? Hii hapa yote..

Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali pamoja na zile jitihada za kuhakikisha Tanzania inakuwa na makusanyo mazuri ya mapato ya Serikali imekuja na good news leo January 06 2016. Waziri mpya wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango aliwahi kunukuliwa akisema ni aibu kwa kiongozi wa nchi kwenda nje ya […]

The post TRA ya Rais Magufuli imevunja rekodi hii makusanyo ya Kodi, yale makontena je? Hii hapa yote.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO

Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia. Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia.Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano iliyopita baada ya kuona anaishi kwa dhiki na anatengwa na baadhi ya watu.“Nilijitengenezea jeneza langu...

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa

SIMBA-YANGA-3.jpg
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA HII NI TAMU ZAIDI YA MCHARO COASTAL WAGEUZWA CHIPS FUNGA WAPOKEA 8 SAWA NA TAREHE YA MCHEZO WAO NA YANGA.


Yanga hii ni ya kimataifa na kitaifa ndiyo habari ya mjini Coastal Union hawatasahau milele kipigo cha leo tarehe 8 mwezi wa 4 wapigwa bao sawa na tarehe ya siku ya mchezo wao na Yanga taifa. Amis Tambwe apiga nne, Mliberia  nae afunga bao lake la kwanza toka ajiunge Yanga na baada ya kufunga bao hilo alitoa machozi kwa furaha pia mliberia huyo alitoa pasi tatu zilizo zaa mabao matatu katika mchezo huo. Yanga sasa inazidi kujikita kileleni kwa kuwa na point 43 wakishuka dimbani mara 20, Azam...

 

11 years ago

GPL

DAWA YA WANASIASA HII HAPA!

Duniani kuna binadamu halafu kuna wanasiasa. Binadamu wengi huwa wanajitahidi kuwa wanasiasa na siku hizi kila kona wamejaa na wanaboa kweli. Kazi kubwa ya wanasiasa ni kuongea, wakitumia midomo yao, wanaweza kukufanya uamini kuwa wao ndiyo wanajua kila kitu. Tena wanasiasa wengine huwa wanafikia kuamini wanajua kila kitu. Ukimuuliza kuhusu kilimo anajua, uvuvi anajua, teknolojia yoyote anajua, we anzisha mada mwanasiasa anajua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani