Fonabo: Kura hazikutosha kuwa mshindi
Fonabo ni jina ambalo limeibuka katika Shindano Bongo Star Search (BSS) mwaka huu na baada ya mashindano hayo kumalizika msanii huyu chipukizi alijikuta akishika nafasi ya pili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBinti yetu Zahara kura hazikutosha dhidi ya Irene Uwoya Tabora
Na Mkala Fundikira wa TBN kanda ya MagharibiLeo hii mchana binti ya mpiga picha na blogger maarufu nchini Muhidin Issa Michuzi Bi Zahara Michuzi alishindwa kupata kura za kutosha kumwezesha kushinda nafasi ya ubunge wa vijana kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Tabora baada ya msanii wa filamu Bi Irene Uwoya kupata kura 34 kati ya 39 zilizopigwa.
Zahara ambaye ni mhitimu wa shahada ya uchumi toka chuo kikuu cha UDOM aliyakubali...
10 years ago
VijimamboZAHARA MUHIDIN MICHUZI KURA HAZIKUTOSHA DHIDI YA IRENE UWOYA TABORA
Leo hii mchana binti ya mpiga picha wa rais Kikwete katika na blogger maarufu hapa nchini, Muhidin Issa Michuzi Bi Zahara Michuzi alishindwa kupata kura za kutosha kumwezesha kushinda nafasi ya ubunge wa vijana kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Tabora baada ya msanii wa filamu Bi Irene Uwoya kupata kura 34 kati ya 39 zilizopigwa.
Zahara ambaye ni mhitimu wa...
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Shytown waombwa kumpigia kura kwa wingi NASSIB FONABO BSS 2015
Mshiriki wa Shindano la BSS 2015, Nassib Fonabo pichani
Na Andrew Chale-modewjiblog
Wadau wa Mkoa wa Shinyanga wameombwa kujitokeza kwa wingi kumpigia kura Nassib Fonabo ambaye ni mwakilishi pekee anayeiwakilisha Mkoa katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) kwa mwaka huu wa 2015.
Fonabo ambaye anatumia namba BSS 103, Ambapo unaweza kumpigia kura kwa wingi kwa kuandika BSS103 kwenda namba 15522. Kumpigia kura kwa wingi Fonabo zitamwezesha kijana huyo kuwa na nafasi...
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)
![miss universe1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/miss-universe1-300x194.jpg)
Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.
Miss Universe 2015 Pia Alonzo
Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.
Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.
Miss...
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Lowassa aitaka tume imtangaze kuwa mshindi Tanzania
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Mgombea CCM atangazwa mshindi kabla ya kura, Chadema wagoma, vurugu zazuka
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s72-c/tamko.jpg)
Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais
![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s640/tamko.jpg)
Watanzania wenzangu!Leo tarehe 29 October 2015, kwa kupitia Mgombea Mwenza wangu, Mh. Juma Duni Haji nimewasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Tumeainisha kwenye malalamiko yetu, kutokuridhishwa kwetu na mwenendo na matukio mbalimbali, hususani, utangazaji wa matokeo batili, yasiyo akisi matokeo halisi yaliyopatikana kwenye vituo vya kupiga kura, kama ifuatavyo.
• Upunguzwaji wa kura zangu• Kuongeza kura kwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wWHTy5RnRQM/Vi3a7yZLDMI/AAAAAAAAnqA/HtrEPUeuTAU/s72-c/1.jpg)
ESTER MATIKO (CHADEMA) ATANGAZWA RASMI KUWA MSHINDI WA KITI CHA UBUNGE TARIME MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-wWHTy5RnRQM/Vi3a7yZLDMI/AAAAAAAAnqA/HtrEPUeuTAU/s1600/1.jpg)
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Nassib Fonabo: Michel Teló wa ‘nosa nosa’ amenionyesha njia
Nassib Fonabo: Michel Telo wa ‘nosa nosa’ amenionyesha njia
NA FESTO POLEA
NAJUA unajua kwamba mshindi wa kwanza wa shindano la vipaji la Bongo Star Search ni Kayumba Juma aliyekuwa akiwakilisha Mkoa wa Dar es Salaam na amenyakua kitita cha Sh milioni 50, lakini sidhani kama unajua wa pili na watatu wamepata nini?
Walichopata ni hiki, aliyeshika nafasi ya pili, Nassib Fonabo anayetokea Mkoa wa Shinyanga lakini katika shindano hilo aliwakilisha Mkoa wa Arusha alipata Sh milioni 10 huku...