Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nassib Fonabo: Michel Teló wa ‘nosa nosa’ amenionyesha njia

FONABONassib Fonabo: Michel Telo wa ‘nosa nosa’ amenionyesha njia

NA FESTO POLEA

NAJUA unajua kwamba mshindi wa kwanza wa shindano la vipaji la Bongo Star Search ni Kayumba Juma aliyekuwa akiwakilisha Mkoa wa Dar es Salaam na amenyakua kitita cha Sh milioni 50, lakini sidhani kama unajua wa pili na watatu wamepata nini?

Walichopata ni hiki, aliyeshika nafasi ya pili, Nassib Fonabo anayetokea Mkoa wa Shinyanga lakini katika shindano hilo aliwakilisha Mkoa wa Arusha alipata Sh milioni 10 huku...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Shytown waombwa kumpigia kura kwa wingi NASSIB FONABO BSS 2015

NabooMshiriki wa Shindano la BSS 2015, Nassib Fonabo pichani

Na Andrew Chale-modewjiblog

Wadau  wa Mkoa wa Shinyanga  wameombwa kujitokeza kwa wingi kumpigia kura  Nassib Fonabo ambaye ni mwakilishi pekee anayeiwakilisha Mkoa  katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) kwa mwaka huu wa 2015.

Fonabo ambaye anatumia namba  BSS 103, Ambapo unaweza kumpigia kura kwa wingi kwa kuandika BSS103 kwenda namba 15522.  Kumpigia kura kwa wingi Fonabo zitamwezesha kijana huyo kuwa na nafasi...

 

10 years ago

Vijimambo

TELA LA MAFUTA LAPINDUKA MATAA YA VETA JIONI HII

Lori la mafuta limekata tela lenye namba za usajili T 172ABT na kupibnduka jioni hii katika makutano ya barabara za Nyerere na Mandela jijini Dar es Saam kwa kile kilichoelezwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni mwendo kasi aliyokuwa nao dereva wa lori hilo aliyekuwa akikata kona akitokea mjini Barabara ya Nyerere kwenda barabara ya Kawawa.Mafuta aina ya petroli yakimwagikaPolisi Usalama barabarani wakilinda eneo hiloTela hilo T 172ABT likiwa chini Picha kwa hisani ya Father Kidevu

 

9 years ago

Mwananchi

Fonabo: Kura hazikutosha kuwa mshindi

Fonabo ni jina ambalo limeibuka katika Shindano Bongo Star Search (BSS) mwaka huu na baada ya mashindano hayo kumalizika msanii huyu chipukizi alijikuta akishika nafasi ya pili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Michel Platini aitupia lawama UEFA

Michel Platini ameitupia lawama UEFA,na kusema walikuwa wanalala usingizi kwa miaka 4 kabla ya kumzuia kujishughulisha na soka.

 

11 years ago

BBCSwahili

Michel Djotodia aenda kuishi uhamishoni.

Aliyekuwa rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya kati, Michel Djotodia ameenda kuishi uhamishoni nchini Benin.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michel Platini kuwania urais wa FIFA

Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini ametangaza azma yake ya kuwania urais wa shirikisho la soka duniani FIFA.

 

9 years ago

TheCitizen

Burkina Faso's Michel Kafando 'back in charge'

Burkina Faso's interim President Michel Kafando has said he is back in charge and civilian rule restored after last week's military takeover.

 

10 years ago

Michuzi

BASATA YAMPONGEZA MSANII NASSIB ABDUL AKA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO TATU ZA CHOAMVA14

 Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kama msimamizi na mratibu wa sekta ya Sanaa nchini linapenda kutoa pongezi za dhati kwa Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nassib Abdul maarufu kama Diamond kwa kushinda tuzo tatu kwa mkupuo za CHOAMVA zinazoendeshwa na kituo maarufu cha luninga cha Channel 0 chenye makao makuu yake Afrika Kusini.
Tuzo alizoshinda Diamond ni pamoja na Most Gifted East African Artist, Most Gifted Afro Pop video na ile ya Most Gifted New Comer. 
Kushinda kwa Diamond katika tuzo...

 

5 years ago

BBC News

Michel Roux: French restaurateur and chef dies aged 78

Michel Roux: French restaurateur and chef dies aged 78  BBC NewsTV chef James Martin leads tributes to restaurateur Michel Roux, 79, who has died at home  Daily MailPierre Koffmann: Michel Roux 'made British food what it is today'  The GuardianMichel Roux dead: James Martin Ken Hom lead chef tributes  Metro.co.ukMichel Roux dead: How did Michel Roux die? Cause of death revealed  ExpressView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani