GARI LILILOBEBA NG’OMBE LAPATA AJALI UBUNGO DAR
![](http://api.ning.com:80/files/6q4t4dNL56ktF8CWacLJeVaUAOo5CjKNY-kbC85ziPWNWPLcJsET70y0b0Dsu*dVZogWoZimPVB8RboLomEosSwA72O-bNGs/2.jpg)
Mfanyabiashara wa mifugo hiyo, Abdalah Juma, akionyesha eneo la bega aliloumia katika ajali.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Dec
LORI LILILOBEBA MAITI LAPATA AJALI, LAUA WATU 5 NA KUJERUHI WENGINE 36
Taarifa zilizothibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Bw. Ahmed Msangi zilieleza kuwa ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa nane mchana katika mteremko wa Kanyegele, Kata ya Ntokela wilayani Rungwe.
Kamanda Msangi alisema lori hilo aina ya Mitsubishi Fuso yenye namba za usajili T143 ACR lilikuwa likitokea Ilemi...
10 years ago
VijimamboGARI LA KUBEBEA PESA LAPATA AJALI MAENEO YA NEW JERSEY
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aFPJwxwIGQk/U4nbdJC3EmI/AAAAAAAFmuI/w4uL-DwXyYI/s72-c/unnamed+(94).jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE TISA MAJERUHI KATIKA AJALI MBILI TOFAUTI MOJA IKIHUSISHA GARI LILILOBEBA WANAHABARI WA MBONI SHOW MKOANI DODOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-aFPJwxwIGQk/U4nbdJC3EmI/AAAAAAAFmuI/w4uL-DwXyYI/s1600/unnamed+(94).jpg)
Watu wawili wamepoteza maisha kutokana na ajali mbili zilizotokea katika maeneo mawili tofauti na nyakati tofauti Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani) ameeleza kuwa, ajali ya kwanza ilitokea tarehe 30/05/2014 majira ya saa 18:30hrs katika kijiji cha Ipala Wilaya ya Dodoma ambapo gari lenye namba za usajili DFP 614 Toyota Land Cruiser mali ya chuo cha Serikali...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMPezhUlGiKG7uH-CpTdtaBJwA8TPtmDWzfQNjR0tlQo5gqMUApDC9s0QBuRUgheoYYcjnh5VxUVo3kOQfsLvmmg/TRENI.jpg?width=650)
TRENI LA MIZIGO LAPATA AJALI DAR
Treni la mizigo baada ya kupata ajali. TRENI la mizigo limepata ajali eneo la Vingunguti jijini Dar es Salaam muda mfupi uliopita na kuangusha mabehewa yaliyokuwa na makontena ya Azam na Mohamed Enterprises. Makontena yaliyokuwa yamebebwa na treni hilo la mizigo. Kikosi cha Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) tayari kimefika eneo la tukio kuimarisha ulinzi wa mali zilizokuwemo katika mabehewa hayo.… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yjd9KAk173sw4MGf1*bdTF3opo*1UcMoSQrzdENAM-u8SeOpl-LVc9WwWnIJ4OTcDWTrPsK8Fl*G3xE752Q2CP8/attachment.jpg)
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI WAMI
Zaidi ya abiria 60 wamenusurika kifo, baada ya basi la Dar express lililokuwa linatoka Dar Es Salaam kwenda Nairobi kupinduka eneo la Msata karibu na daraja la Wami. Chanzo ni kupasuka kwa tairi la mbele la kushoto la basi hilo.
Chanzo: Radio One Stereo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5NP8qF9Iiqts*gWYwjS1D4UDgg1L9lu9C6tJscSo0ZVXSk-1kk4ppvtCyrA8zLiGYFxwrLZ-BgcBeifyFohZvXg/DAREXPRESS.jpg)
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MSATA
ZAIDI ya abiria 60 wamenusurika kifo, baada ya basi la Dar Express lililokuwa linatoka Dar kwenda Nairobi kupasuka tairi la mbele kushoto kisha kupinduka katika eneo la Msata karibu na daraja la Wami mkoani Pwani leo.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fD0bOT2nd0c/U2ybM-EkBeI/AAAAAAAANV8/7NsHFEgvZOk/s72-c/ajali1.jpg)
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI ENEO LA WAMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-fD0bOT2nd0c/U2ybM-EkBeI/AAAAAAAANV8/7NsHFEgvZOk/s1600/ajali1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xCfBawifN78/U2ybTrU-sBI/AAAAAAAANWE/JIKeM1sNts4/s1600/ajaliiii.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu130WcHQvjqrWzNntNhYBcnL0-mAckNyVQ752Lg9ZlMBRoEvA0BDrLxBR47bvrAlINtboc0atdQWCZvP4FcpQ3L/IMG20141008WA0010.jpg?width=650)
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO SIKU YA JANA
Muonekano wa basi la Dar Express lenye namba za usajili T640 AXL linalofanya safari zake Kati ya Dar na Rombo baada ya kupata ajali jana jioni eneo la Marangu, Mamba mkoani Kilimanjaro .…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania