Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gavana aomba msaada wa rais kupitia Facebook

Gavana wa jimbo la Helmand Afghanistan amewashangaza wengi kwa kumuandikia rais barua kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rais Goodluck Jonathan aomba msaada

Serikali ya Nigeria inahitaji msaada wa dola billioni moja ili kukabilina na wanamgambo wa Boko Haram ambao wanazusha vurugu

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongozi wa Uamsho aomba msaada wa Rais

>Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Sheikh Farid Hadi Ahmed amemuomba Rais kuunda tume itakayowahusisha watu kutoka Tanzania Bara, Zanzibar, wanasheria na madaktari ili waweze kuchunguza afya zao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Apewa Talaka kupitia facebook

Mwanaume mmoja amepewa talaka na mkewe kupitia mtandao wa Facebook.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyetongoza kupitia Facebook afungwa jela

Mwanaume aliyetongoza mwanafunzi mwenza kupitia Facebook kwa nia ya kushiriki ngono naye amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk. John Magufuli aomba kura kupitia simu

CHAMA cha Mapinduzi CCM kimezidi kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka unaotarajiwa kufanyika Jumapili, Oktoba 25 baada ya kubuni mkakati mpya wa ushindi ambapo mgombea wa nafasi ya urais Dk. John Magufuli (pichani) kuwapigia simu wananchi akiomba wampigie kura.

Ujumbe huo unaokwenda kwa watumiaji wa simu za mitandao mbalimbali humfikia mmiliki wa simu kupitia namba +255622333333 na mara baada ya simu hiyo kupokelewa husikika sauti ya Dk. Magufuli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aomba msaada wa matibabu

GERALD Mwambungu (35) mkazi wa Ubungo Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam, anaomba msaada wa kwenda India kwa ajili ya matibabu ya mguu wake wa kulia. Akizungumza jana katika ofisi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al-Sisi,aomba msaada dhidi ya IS

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi ameomba jumuiya ya kiarabu Pan-Arab kutoa majeshi ili kukabiliana na Islamic State.

 

10 years ago

Habarileo

Jaji aomba msaada ACHPR

Rais wa ACHPR, Jaji Augustino Ramadhani RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), Jaji Augustino Ramadhani amemwomba Rais Joachim Gauck wa Ujerumani kutumia uwezo wake kuzishawishi nchi zingine za Afrika kuridhia mkataba wa Malabo, unaotaka mahakama hiyo kushughulikia pia mashauri ya kijinai na masuala mengine ya kisheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani