Geita wamkumbuka Kamanda Paulo
BAADHI ya Wananchi wilayani Geita mkoani hapa, wamemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu kumrudisha aliyekuwa Kamanda wa Mkoa, Leonard Paulo aliyehamishiwa Marogoro hivi karibuni. Wakizungumza kwa nyakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
BBCSwahili06 Dec
Wanamichezo wamkumbuka Mandela
Wanamichezo mashuhuri, duniani wametoa rambi rambi zao kwa hayati Nelson Mandela, aliyefariki akiwa na umri wa miaka
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P0TeoGRmjwY/XtjJd0GzPuI/AAAAAAALslM/5YW-P0zUZLw_roIlAKojzIDwIS9Oo7gZQCLcBGAsYHQ/s72-c/Makamu%2BRais%2Bwa%2BGGML%252C%2BSimon%2BShayo.jpg)
GEITA GOLD MINING LTD YATOA MILIONI 100/- KUSAIDIA UJENZI CHUO KIKUU HURIA-GEITA
KATIKA kukuza sekta ya elimu ya juu nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML) kupitia sera yake ya uwajibikaji kwa jamii imetoa kiasi cha Sh milioni 100 kusaidia ujenzi wa Kituo cha Chuo Kikuu Huria(Open University) cha mkoani wa Geita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-P0TeoGRmjwY/XtjJd0GzPuI/AAAAAAALslM/5YW-P0zUZLw_roIlAKojzIDwIS9Oo7gZQCLcBGAsYHQ/s400/Makamu%2BRais%2Bwa%2BGGML%252C%2BSimon%2BShayo.jpg)
Awamu ya kwanza ya mradi huo inajumuisha ujenzi wa jengo la utawala linalojumuisha chumba mikutano cha viongozi, maktaba, chumba cha maabara ya kompyuta na ofisi nyingine tano.
Pia kiasi hicho cha pesa kilichotolewa na GGML ni kwa ajili ya ununuzi wa...
![](https://1.bp.blogspot.com/-P0TeoGRmjwY/XtjJd0GzPuI/AAAAAAALslM/5YW-P0zUZLw_roIlAKojzIDwIS9Oo7gZQCLcBGAsYHQ/s400/Makamu%2BRais%2Bwa%2BGGML%252C%2BSimon%2BShayo.jpg)
Awamu ya kwanza ya mradi huo inajumuisha ujenzi wa jengo la utawala linalojumuisha chumba mikutano cha viongozi, maktaba, chumba cha maabara ya kompyuta na ofisi nyingine tano.
Pia kiasi hicho cha pesa kilichotolewa na GGML ni kwa ajili ya ununuzi wa...
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Paulo Wanchope abwaga manyanga
Meneja wa timu ya taifa ya Costa Rica amebwaga manyanga siku moja baada ya kuhusika na tukio la kupigana huko Panama
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmYJFRC2aQZFw5KLjZV13DGLVU4hI-fslY3ihG6Ntvsstk*QP9wD8Jn3E2C*enlMscOBL7M5GjSqh-47BUPMQ7PS/kanumbaday.jpg)
WASANII WAMKUMBUKA STEVEN KANUMBA
Baadhi ya wasanii wa Filamu za Kibongo wakiongozwa na Mzee Chilo (kushoto), Mwenyekiti wa Bongo Muvi Steve Nyerere na Sandra wakiwa katika kaburi la marehemu Kanumba ikiwa ni kumbukumbu ya miaka miwili tangu kifo chake.
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Watanzania wamkumbuka Nyerere mtandaoni
Watanzania kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa wakitumia #DearNyerere kumkumbuka mwanzilishi wa taifa hilo Mwalimu Julius Nyerere.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Watoto walia, wamkumbuka Nasra
 Jina la mtoto Nasra Mvungi jana lilitawala maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika nchini. Watoto walielezea kilio chao juu ya ukatili unaofanywa na wazazi na walezi wao wakirejea mateso aliyoyapata marehemu Nasra aliyeishi kwenye boksi kwa miaka takriban mitatu huko Morogoro.
5 years ago
Black &Amp; White &Amp; Read All Over22 Mar
Paulo Dybala tests positive for coronavirus
Paulo Dybala tests positive for coronavirus Black & White & Read All OverPaulo Dybala reveals he has tested positive for coronavirus GIVEMESPORTDybala becomes third Juventus star to catch coronavirus RFIBREAKING: Dybala 3rd Juventus player with coronavirus BeSoccer ENJuventus to renew Dybala deal JuveFCView Full coverage on Google News
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania