Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamichezo wamkumbuka Mandela

Wanamichezo mashuhuri, duniani wametoa rambi rambi zao kwa hayati Nelson Mandela, aliyefariki akiwa na umri wa miaka

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanamichezo Tanzania wamlilia Mandela

Wanamichezo mbalimbali nchini wameeleza kusikitishwa na kifo cha Rais wa kwanza wa Afrika Kusini, mzee Nelson Mandela na kumwelezea namna alivyokuwa mstari wa mbele kwenye michezo hasa ngumi ambapo mzee Mandela aliwahi kuwa bondia

 

11 years ago

Mwananchi

Wanamichezo wamlilia Mzee Mandela

, Mandela alimaliza kifungo chake cha miaka 27 gerezani na miaka minne baadaye alikuwa Rais wa kwanza Mwafrika, Afrika Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wamkumbuka Nyerere mtandaoni

Watanzania kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa wakitumia #DearNyerere kumkumbuka mwanzilishi wa taifa hilo Mwalimu Julius Nyerere.

 

11 years ago

GPL

WASANII WAMKUMBUKA STEVEN KANUMBA

Baadhi ya wasanii wa Filamu za Kibongo wakiongozwa na Mzee Chilo (kushoto), Mwenyekiti wa Bongo Muvi Steve Nyerere na Sandra wakiwa katika kaburi la marehemu Kanumba ikiwa ni kumbukumbu ya miaka miwili tangu kifo chake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Geita wamkumbuka Kamanda Paulo

BAADHI ya Wananchi wilayani Geita mkoani hapa, wamemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu kumrudisha aliyekuwa Kamanda wa Mkoa, Leonard Paulo aliyehamishiwa Marogoro hivi karibuni. Wakizungumza kwa nyakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto walia, wamkumbuka Nasra

 Jina la mtoto Nasra Mvungi jana lilitawala maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika nchini. Watoto walielezea kilio chao juu ya ukatili unaofanywa na wazazi na walezi wao wakirejea mateso aliyoyapata marehemu Nasra aliyeishi kwenye boksi kwa miaka takriban mitatu huko Morogoro.

 

10 years ago

Michuzi

Wabunge wamkumbuka Marehemu Hashim Mbita

Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI na Madawa ya Kulevya iliyopo ziarani nchini Zimbabwe hivi karibuni ilipata fursa ya kutembelea Ubalozi wa Tanzania jijini Harare na kusaini kitabu cha maombolezo ya aliekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Marehemu Brig. Jenerali Hashim Mbita aliefariki Dunia mwananzoni mwa wiki hii.  Pichani ni Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI na Masuala ya Madawa ya Kulevya Mhe. Dkt Faustine Ndugulile (juu) na Mhe. Neema Mgaya Himid (picha ya chini)...

 

11 years ago

GPL

WAISLAMU DAR WAMKUMBUKA MJUKUU WA MTUME MUHAMMAD (SAW)

Baadhi ya waumini wa Kiislamu wakati wa matembezi hayo. WAISLAMU jijini Dar es Salaam leo wamefanya matembezi ya amani ya kumkumbuka mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW) aliyekuwa akijulikana kwa jina la Imamu Hussein Bin Ali Bin Abutwalib  aliyeuawa katika nchi ya Iraq kwenye Mji wa Karbala kwa kutetea haki. Matembezi hayo yameanzia Ilala Boma kuelekea Uwanja wa Pipo Kigogo jijini Dar es Salaam. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753...

 

11 years ago

Vijimambo

VIJANA WA VYUO VIKUU WAMKUMBUKA MWALIMU NYERERE


 Katibu Mwenezi wa CCM Tawi la Chuo Kikuu Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Rehema Akikweti akisoma salaam za ufunguzi wa mkutano wa Vijana wa Vyuo Vikuu wa CCM kuadhimisha Kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa.


 Sehemu ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wakisikiliza mada mbali mbali
 Mwenyekiti wa UVCCM tawi la chuo Kikuu cha Dar es Salaam Theodora Malata akisoma risala ya Umoja wa Vijana wa Elimu ya Juu.

 Katibu Mtendaji wa Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania Ndugu Christopher...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani