Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamichezo wamlilia Mzee Mandela

, Mandela alimaliza kifungo chake cha miaka 27 gerezani na miaka minne baadaye alikuwa Rais wa kwanza Mwafrika, Afrika Kusini

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanamichezo Tanzania wamlilia Mandela

Wanamichezo mbalimbali nchini wameeleza kusikitishwa na kifo cha Rais wa kwanza wa Afrika Kusini, mzee Nelson Mandela na kumwelezea namna alivyokuwa mstari wa mbele kwenye michezo hasa ngumi ambapo mzee Mandela aliwahi kuwa bondia

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamichezo wamkumbuka Mandela

Wanamichezo mashuhuri, duniani wametoa rambi rambi zao kwa hayati Nelson Mandela, aliyefariki akiwa na umri wa miaka

 

10 years ago

BBCSwahili

Mjukuu wa hayati mzee Mandela ahukumiwa

Mjukuu wa hayati Mzee Nelson Mandela amepatikana na hatia ya kusababisha majeraha

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba

MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA KIJIJI CHA QUNU ALIKOZIKWA MZEE NELSO MANDELA JUMAPILI DESEMBA 15, 201‏3

 Daraja la waendao kwa miguu likipita juu ya barabara mpya ya lami inayojengwa kuelekea kijijini Qunu.
Siku ya mazishi barabara ya kuelekea Qunu ilifungwa na ni magari yaliyokuwa na kibali tu ndiyo yaliyoruhusiwa kupita…

 

10 years ago

CloudsFM

Wananchi wameedhimisha mwaka mmoja toka waondokewe na kiongozi wao Mzee Nelson Mandela ambaye aliiongoza nchi hiyo kutoka mikononi mwa Makaburu baada ya kufungwa miaka 27 jela.

Maadhimisho hayo yametanguliwa na ibada ya maombi ambapo wamekaa kimya kwa dakika tatu, na kisha kuweka mashada za maua wakiongozwa na wazee waliopigana na makaburu wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, kumekuwa na upulizaji wa vuvuzela nchini kote, kugonga kengele, ngoma, na kutakuwa na mechi ya mchezo wa kirafiki wa kriketi.


Mandela alikuwa Rais wa kwanza mzalendo kuiongoza Afrika Kusini kwa kipindi cha muhula mmoja wa miaka mitano kuanzia mwaka 1994 hadi 1999 alipoachia madaraka kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK, CHADEMA wamlilia Max

RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Dk Fenella Mukangara kutokana na kifo cha Mpigapicha wa kituo cha television cha Mlimani, Maximilian John kilichotokea juzi. Taarifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii Moro wamlilia JK

WASANII mkoani Morogoro wamemsihi Rais Jakaya Kikwete awasaidie kupata kituo cha redio na televisheni itakayokuwa na kazi ya kuibua na kukuza vipaji kabla hajamaliza muda wake. Ombi hilo lilitolewa mwishoni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani