Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK, CHADEMA wamlilia Max

RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Dk Fenella Mukangara kutokana na kifo cha Mpigapicha wa kituo cha television cha Mlimani, Maximilian John kilichotokea juzi. Taarifa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wamlilia Mama Zitto

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza kupokea kwa majonzi makubwa msiba wa mjumbe wao wa Kamati Kuu ya Taifa, Shida Salum ambaye aliaga dunia jana jijini Dar es Salaam....

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK, CHADEMA wamlilia Jaji Makame

RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kufuatia kifo cha mwenyekiti mstaafu wa tume hiyo, Jaji Lewis Makame. Taarifa iliyotolewa jana...

 

10 years ago

Michuzi

CHADEMA WAMLILIA Mufti Mkuu wa Tanzania Tanzania, Sheikh Issa Shaaban bin Simba

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa taarifa za msiba wa Mufti Mkuu wa Tanzania Tanzania, Sheikh Issa Shaaban bin Simba, Kiongozi Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kilichotokea asubuhi ya leo kwa maradhi ya sukari na shinikizo la moyo.Akitoa salaam za pole na rambirambi kwa waumini wa madhehebu ya Kiislamu na Watanzania wote kwa ujumla baada ya kupata taarifa za msiba huo, Mwenyekiti wa CHADEMA (T), Freeman Mbowe amesema kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii Moro wamlilia JK

WASANII mkoani Morogoro wamemsihi Rais Jakaya Kikwete awasaidie kupata kituo cha redio na televisheni itakayokuwa na kazi ya kuibua na kukuza vipaji kabla hajamaliza muda wake. Ombi hilo lilitolewa mwishoni...

 

10 years ago

GPL

MASTAA WAMLILIA BOBBI KRISTINA

Marehemu Bobbi Kristina enzi za uhai wake.
New York, Marekani
INASIKITISHA SANA! Baada ya kifo cha mtoto wa staa wa R&B, Hayati Whitney Houston, Bobbi Kristina aliyefariki dunia mwishoni mwa wiki iliyopita, mastaa wengi nchini Marekani wameonesha hisia zao za kuguswa na kifo hicho kwa kutuma salamu za pole kuifariji familia ya marehemu. Keri Hilson. Baadhi ya mastaa waliotuma salamu za rambirambi kwa familia ya Bobbi… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK, Basata, Mnyika wamlilia Gurumo

WAKATI mwili wa mwanamuziki nguli, Muhidin Maalim Gurumo, ukitatajiwa kusafirishwa leo kwenda Kijiji cha Masaki, Kisarawe, Pwani kwa mazishi, Rais Jakaya Kikwete, amemtumia salamu za rambirambi waziri mwenye dhamana na...

 

10 years ago

Mwananchi

JK, mabalozi wamlilia Brigedia Mbita

Rais Jakaya Kikwete, mabalozi na wawakilishi wa nchi zilizokuwa mstari wa mbele katika Ukombozi Kusini mwa Afrika jana walifika nyumbani kwa hayati Brigedia Jenerali Hashim Mbita (82) kutoa pole.

 

11 years ago

Mwananchi

Waongoza watalii wamlilia RC Gama

 Chama cha Waongoza Watalii Mlima Kilimanjaro na Meru (Kili-Meru) kimemuomba mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama kuwatafutia maeneo ya kilimo katika mikoa mingine ili waweze kujikita zaidi kwenye kilimo badala ya kutegemea kazi ya kuongoza watalii pekee.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tava wamlilia Meja Mabula

CHAMA cha Mpira wa Wavu Tanzania (Tava), kimeelezea kusikitishwa na kifo cha mdau mkubwa wa mchezo huo, Meja Marco Mabula kilichotokea jijini Dar es Salaam, jana. Kwa mujibu wa Mwenyekiti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani