JK, Basata, Mnyika wamlilia Gurumo
WAKATI mwili wa mwanamuziki nguli, Muhidin Maalim Gurumo, ukitatajiwa kusafirishwa leo kwenda Kijiji cha Masaki, Kisarawe, Pwani kwa mazishi, Rais Jakaya Kikwete, amemtumia salamu za rambirambi waziri mwenye dhamana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9YD28cV0ItU/U0uhy__e2bI/AAAAAAAFakI/BBwqLCxMeJk/s72-c/basata_logo.jpg)
basata yaomboleza kifo cha muhidin maalim gurumo
![](http://3.bp.blogspot.com/-9YD28cV0ItU/U0uhy__e2bI/AAAAAAAFakI/BBwqLCxMeJk/s1600/basata_logo.jpg)
“ Baraza limestushwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa ya kifo hiki cha Muhidini Maalimu Ngurumo ambaye mchango wake katika muziki wa dansi ni mkubwa mno na unahitajika sana, pengo aliloliacha ni kubwa kwani ubunifu wake bado unahitajika katika tasnia hii.” Baraza linatoa pole kwa familia ya marehemu na wasanii wote...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
JK, CHADEMA wamlilia Max
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Dk Fenella Mukangara kutokana na kifo cha Mpigapicha wa kituo cha television cha Mlimani, Maximilian John kilichotokea juzi. Taarifa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Wasanii Moro wamlilia JK
WASANII mkoani Morogoro wamemsihi Rais Jakaya Kikwete awasaidie kupata kituo cha redio na televisheni itakayokuwa na kazi ya kuibua na kukuza vipaji kabla hajamaliza muda wake. Ombi hilo lilitolewa mwishoni...
11 years ago
Mwananchi16 May
Waongoza watalii wamlilia RC Gama
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Tava wamlilia Meja Mabula
CHAMA cha Mpira wa Wavu Tanzania (Tava), kimeelezea kusikitishwa na kifo cha mdau mkubwa wa mchezo huo, Meja Marco Mabula kilichotokea jijini Dar es Salaam, jana. Kwa mujibu wa Mwenyekiti...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
JK, CHADEMA wamlilia Jaji Makame
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kufuatia kifo cha mwenyekiti mstaafu wa tume hiyo, Jaji Lewis Makame. Taarifa iliyotolewa jana...
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Viongozi, wanasiasa wamlilia Filikunjombe
Na Agatha Charles
VIONGOZI, wanasiasa na watu wa kada mbalimbali wameeleza kushtushwa na kifo cha aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Ludewa mkoani Njombe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe.
Mgombea urais anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari alisema pamoja na taarifa hizo kumshtua sana, lakini Taifa limepata pigo kubwa ndani ya kipindi kifupi baada ya kuondokewa na wanasiasa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
CHADEMA wamlilia Mama Zitto
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza kupokea kwa majonzi makubwa msiba wa mjumbe wao wa Kamati Kuu ya Taifa, Shida Salum ambaye aliaga dunia jana jijini Dar es Salaam....