Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK, Basata, Mnyika wamlilia Gurumo

WAKATI mwili wa mwanamuziki nguli, Muhidin Maalim Gurumo, ukitatajiwa kusafirishwa leo kwenda Kijiji cha Masaki, Kisarawe, Pwani kwa mazishi, Rais Jakaya Kikwete, amemtumia salamu za rambirambi waziri mwenye dhamana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

basata yaomboleza kifo cha muhidin maalim gurumo

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa msanii nguli wa tasnia ya muziki wa Dansi nchini Muhidini Maalimu Ngurumo


“ Baraza limestushwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa ya kifo hiki cha Muhidini Maalimu Ngurumo ambaye mchango wake katika muziki wa dansi ni mkubwa mno na  unahitajika sana, pengo aliloliacha ni kubwa kwani ubunifu wake bado unahitajika katika tasnia hii.”  Baraza linatoa pole kwa familia ya marehemu na wasanii wote...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK, CHADEMA wamlilia Max

RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Dk Fenella Mukangara kutokana na kifo cha Mpigapicha wa kituo cha television cha Mlimani, Maximilian John kilichotokea juzi. Taarifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii Moro wamlilia JK

WASANII mkoani Morogoro wamemsihi Rais Jakaya Kikwete awasaidie kupata kituo cha redio na televisheni itakayokuwa na kazi ya kuibua na kukuza vipaji kabla hajamaliza muda wake. Ombi hilo lilitolewa mwishoni...

 

11 years ago

Mwananchi

Waongoza watalii wamlilia RC Gama

 Chama cha Waongoza Watalii Mlima Kilimanjaro na Meru (Kili-Meru) kimemuomba mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama kuwatafutia maeneo ya kilimo katika mikoa mingine ili waweze kujikita zaidi kwenye kilimo badala ya kutegemea kazi ya kuongoza watalii pekee.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tava wamlilia Meja Mabula

CHAMA cha Mpira wa Wavu Tanzania (Tava), kimeelezea kusikitishwa na kifo cha mdau mkubwa wa mchezo huo, Meja Marco Mabula kilichotokea jijini Dar es Salaam, jana. Kwa mujibu wa Mwenyekiti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK, CHADEMA wamlilia Jaji Makame

RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kufuatia kifo cha mwenyekiti mstaafu wa tume hiyo, Jaji Lewis Makame. Taarifa iliyotolewa jana...

 

9 years ago

Mtanzania

Viongozi, wanasiasa wamlilia Filikunjombe

IMG_9980Na Agatha Charles

VIONGOZI, wanasiasa na watu wa kada mbalimbali wameeleza kushtushwa na kifo cha aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Ludewa mkoani Njombe kupitia  Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe.

Mgombea urais anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari alisema pamoja na taarifa hizo kumshtua sana, lakini Taifa limepata pigo kubwa ndani ya kipindi kifupi baada ya kuondokewa na wanasiasa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wamlilia Mama Zitto

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza kupokea kwa majonzi makubwa msiba wa mjumbe wao wa Kamati Kuu ya Taifa, Shida Salum ambaye aliaga dunia jana jijini Dar es Salaam....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani