George Weah achaguliwa kuwa seneta nchini Liberia
Mchezaji soka wa zamani wa nchini Liberia, George Weah amepata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa senate nchini humo. Weah – ambaye mwaka 1995 alikuwa mchezaji wa kwanza wa Afrika na wa mwisho kushinda tuzo ya Ballon d’Or kama mcheza soka wa Ulaya na aliyechezea timu za AC Milan, Paris Saint Germain na Monaco alimshinda […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79954000/jpg/_79954818_79954743.jpg)
George Weah wins Liberia senate seat
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83512000/jpg/_83512523_469818028.jpg)
Weah junior gets Liberia call-up
9 years ago
Michuzi30 Aug
Amina Karuma achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake nchini
![](http://tff.or.tz/images/Canada.png)
9 years ago
Habarileo25 Sep
MO achaguliwa kuwa mfanyabiashara bora wa Afrika
MFANYABIASHARA kijana wa Tanzania, Mohammed Dewji ‘Mo’ wa Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Ltd (MeTL), ametwaa tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika kwa mwaka huu akiwapiku washindani wenzake wanne akiwemo tajiri wa Afrika, Aliko Dangote.
10 years ago
Bongo528 Aug
Rooney achaguliwa kuwa nahodha mpya wa England
10 years ago
VijimamboSamia Suluhu achaguliwa kuwa mgombea mwenza
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--YEBoxR6qBI/VfF1b5SYo9I/AAAAAAAH3z8/SoxdcM_YDnI/s72-c/IMG-20150910-WA0030.jpg)
SHEIKH ABUBAKARY ZUBER ACHAGULIWA KUWA MUFTI WA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/--YEBoxR6qBI/VfF1b5SYo9I/AAAAAAAH3z8/SoxdcM_YDnI/s640/IMG-20150910-WA0030.jpg)
9 years ago
StarTV18 Nov
Job Ndugai achaguliwa kuwa spika, wabunge waapishwa
Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza vikao vyake mjini Dodoma kwa kumchagua Job Ndugai wa Chama cha Mapinduzi CCM kuwa spika wa bunge hilo kati ya wagombea wenzake nane kutoka vyama vya upinzani waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.
Ndugai amepata kura 254 akifuatiwa na Dokta Ole Medeye wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA aliyepata kura 109 na wagombea wengine wakikosa kura yoyote.
Bunge la 11 limeanza vikao vyakao vyake majira ya 3 asubuhi kwa katibu wa bunge Dk...