Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gerrad ''tunakibarua kigumu kuinua viwango vyetu''

Nahodha wa Liverpool amekiri kuwa timu hiyo inakazi ya ziada kufanya ilikuinua uwezo wao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA

Mwenyekiti wa kamati ya pamoja ya mashirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na la Zanzibar (ZBS) Bwa. Suleiman Masoud Makame akiitambulisha kamati ya watalamu yenye wajumbe nane wanne kutoka Bara na wane Zanzibar kwa Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi katika Mkutano uliofanyika Amani Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akimkabidhi ripoti ya Kamati ya pamoja ya mashirikiano Mhe. Naibu Waziri...

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania tuthamini viwanda vyetu

Katika ukurasa huu wa gazeti la jana, kwenye safu maarufu ya Kipanya ambayo inafuatilia masuala mbalimbali ya kijamii, kisiasa na kiuchumi na kufikisha ujumbe kwa michoro, ulibeba maudhui ya mfumuko wa bei.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sabasaba ichochee viwanda vyetu

MAONYESHO ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yaliyoanza Juni 28 mwaka huu katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam yanatarajia...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tusiue wakulima, viwanda vyetu

OFISI Ofisi ya Taifa ya Takwimu ( NBS), imetangaza kupungua kupungua kwa baadhi ya bidhaa za vyakula kuanzia Oktoba mwaka jana hadi Oktoba mwaka huu kwa mazao ya chakula katika...

 

10 years ago

GPL

KUNA TATIZO KUBWA KWENYE VYAKULA VYETU

Miongo mitatu iliyopita (miaka 30), vyakula vingi vilivyopatikana kwa chakula cha binadamu vilikuwa vibichi na vitokanavyo na mazao yaliyovunwa kutokana na kilimo cha asili. Lakini hivi sasa hali imebadilika, idadi kubwa ya vyakula tunavyokula, iwe nyumbani, migahawani au shuleni, siyo vyakula vibichi na asilia, bali vingi ni vya kutengeneza na kuhifadhiwa kwa muda mrefu, huku vikiwekwa sukari ama chumvi nyingi. Kutokana na...

 

10 years ago

Mtanzania

Jokate Mwegelo: Wasanii wa nje wameendeleza vipaji vyetu

JOKATENA JENNIFER ULLEMBO
MWANAMITINDO Jokate Mwegelo ‘Jojo’, ameweka wazi kwamba tabia ya kuwashirikisha wasanii maarufu kutoka nje ya nchi katika baadhi ya nyimbo za wasanii wa ndani kumeinua na kuendeleza vipaji vya wanamuziki wa Tanzania.
Jokate alisema hali hiyo ndiyo iliyomsukuma aendelee kuwashirikisha wasanii wa nje katika muziki anaofanya ili akuze kipaji na kutanua soko la muziki wake.
“Jina langu limepiga hatua kubwa katika masuala ya mitindo na ubunifu, hivyo nataka nijulikane zaidi na...

 

10 years ago

Mwananchi

SAIDI KANDA, MTANZANIA ANAYETHIBITISHA NIDHAMU NA VIPAJI VYETU WAAFRIKA ULAYA

Ilikuwa enzi zile za Ujamaa; enzi bendi za Kizaire zikiwika, enzi za mabasi ‘konokono’ ya UDA (Shirika la Usafiri Dar es Salaam), enzi Mwalimu Nyerere akiogopewa na kuheshimika, enzi bendi nyingi za Watanzania zikitegemea kudra ya mashirika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Familia ya Mandela:'Ni kipindi kigumu'

Familia ya Hayati Nelson Mandela imezungumza kwa mara ya kwanza tangu Mandela Kufariki Alhamisi na kuelezea kuwa katika kipindi kigumu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani