Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghasia zazuka gerezani Ghana

Ghasia zazuka baada ya ajali ya Moto kutokea Gereza la Kumasi nchini Ghana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ghasia zaidi zazuka al-Aqsa Jerusalem

Kumetokea ghasia zaidi kati ya vikosi vya usalama vya Israel na raia wa Palestina kandokando ya msikiti mkubwa wa Al Aqsa mjini Jerusalem.

 

10 years ago

Vijimambo

VURUGU KUBWA ZAZUKA TUNDUMA


Wakazi wa Mji wa Tunduma, Wilaya ya Momba, Mbeya wakiangalia moto uliowashwa katikati ya Barabara ya Tunduma-Sumbawanga jjana baada ya kutokea vurugu baina ya wananchi na askari wa kikosi cha Kutuliza Ghasia.
Tumepata habari za kusikitisha kutoka Tunduma mkoani Mbeya kwamba, kwa siku tatu mfululizo, mji huo, ambao ni lango la biashara kusini mwa Tanzania, uligeuka uwanja wa mapambano kati ya Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) na makundi ya vijana.Taarifa ya Jeshi la Polisi ilisema kwamba vurugu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vurugu zazuka mji wa Baltmore Marekani

Vurugu kubwa za mapigano baina ya polisi na waandamanaji zimetokea nchini Marekani katika mji wa Boltimore, baada ya maziko ya kijana Freddie Gray ambaye alikufa kutokana kujeruhiwa alipokuwa mikononi mwa polisi.

 

9 years ago

StarTV

Vurugu zazuka ofisi ya Chadema morogoro mjini 

 

Kumezuka vurugu katika ofisi za chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA  wilaya ya Morogoro mjini  baada ya wagombea ngazi ya udiwani katika kata 7 za Wilayani humo kudaiwa kukatwa  majina yao kutokanana na vitendo vya rushwa kutawala katika mchakato huo .

Vurugu hizo zimetokea majira ya saa 7 mchana baada ya wagombea na wanachama wa chama hicho kwenda  katika ofisi  za wilaya   ili kupata  sababu za viongozi wa juu wa chama hicho  kuwakata wagombea walioshinda katika kinyang’anyiro...

 

10 years ago

Michuzi

vurugu zazuka kariakoo leo,wengi wapoteza fahamu

Msamaria mwema akimbeba Mamalishe alifahamika kawa jina la Khadija Rashidi aliezirai baada ya milipuko ya mabomu katika ghasia za wamachinga na Askari Polisi leo mchana katika eneo la kariakoo. Mama lishe huyo alikuwa katika shughuli zake za kutayarisha chakula ghafla wamachinga waliokuwa wanakimbia kutaka kujificha katika sehemu za wafanyabiashara hao. baadhi ya wasamaria wakimsaidia Mama lishe aliefahamika kwa jina Mwanahamisi ambaye alizimia baada ya mabomu kurindima katika vurugu kati ya...

 

10 years ago

Vijimambo

GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.

 wachezaji wa Ghana  wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0  kwaiyo sasa  Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgombea CCM atangazwa mshindi kabla ya kura, Chadema wagoma, vurugu zazuka

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, wakazi wa Mtaa wa Ibungilo B, Kata ya Ibungilo, Wilaya ya Ilemela mkoani hapa, wamekumbwa na hali ya sintofahamu wakati wakijianda kupiga kura ya kumchagua Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo, baada mgombea wa nafasi hiyo kupitia CCM kutangazwa mshindi kabla ya wao kupiga kura.

 

10 years ago

GPL

VURUGU ZAZUKA NCHINI BURUNDI BAADA YA RAIS NKURUNZIZA KUTEULIWA KUGOMBEA TENA URAIS

Waandamanaji wakiwa Mjini Bujumbura. Kumezuka ghasia katika Mji wa Bujumbura nchini Burundi kati ya maofisa wa polisi na waandamanaji wanaoishutumu serikali kwa kufanya mapinduzi ya kikatiba. Waandamanaji walirusha mawe na kuchoma matairi huku maofisa wa polisi wakilazimika kurusha mabomu ya machozi hewani. Ghasia hizo zinafuatia tangazo la jana kwamba Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameteuliwa na chama chake kuwania muhula wa...

 

5 years ago

CCM Blog

VURUGU ZAZUKA MAREKANI BAADA YA MTU MWEUSI GEORGE FLOYD KUFARIKI MIKONONI MWA POLISI


Waanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kaziHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionWaanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kaziKumekuwa na vurugu na mapambano kati ya polisi na waandamanaji katika mji wa Minneapolis nchini Marekani baada ya kifo cha mwanaume mmoja mweusi akiwa mikononi mwa polisiPolisi walifyatua gesi ya kutoa machozi na waandamanaji walirusha mawe na kupulizia mapambo ya graffiti kwenye magari ya polisi.Kilichotokea kwenye maandamanoWalianza siku ya Jumanne...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani