Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLOBAL KUIVAA MWANZA ALL STARS LEO

Kikosi cha timu ya Global Fc. Na Mwandishi Wetu TIMU ya Global FC, leo itaingia uwanjani kuvaana na Mwanza All Stars kwenye mchezo mkali wa kirafiki utakaopigwa kwenye Uwanja wa Posta, Kijitonyama jijini Dar. Huu utakuwa mchezo wa pili kwa Global ndani ya wiki moja baada ya wiki iliyopita kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Kigoma All Stars.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MATOKEO: GLOBAL FC 2, MWANZA ALL STARS 4

Kikosi cha timu ya Global Fc, kilichocheza na Mwanza All Stars kwenye mchezo mkali wa kirafiki uliopigwa kwenye Uwanja wa Posta, Kijitonyama jijini Dar. ...Kikosi cha Mwanza All Stars.…

 

10 years ago

Michuzi

TAIFA STARS YATOSHANA NGUVU NA MALAWI, JIJINI MWANZA LEO

Viongozi mbali mbali pamoja na Timu zote mbili wakiwa wamesimama kwa dakika chache kumkmbuka Kiongozi wa mpira wa Miguu, Aliyetangulia mbele ya haki, Kocha wa zamani wa Timu ya Taifa Star, Marehemu Sylvester Marsh aliyefariki dunia hivi karibuni katika Hospitali ya Muhimbili na kuzikwa Mjini Mwanza.Wachezaji wa Malawi wakipongezana baada ya kupata bao la mapema dakika ya tatu kupitia kwa Esau Kanyenda kwa kufanya 1-0.Mshambuliaji wa Timu ya Taifa "Taifa Stars", Thomas Ulimwengu akitafuna...

 

11 years ago

Mwananchi

Twiga Stars kuivaa Zambia

>Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) leo ina kazi moja tu kusaka ushindi ili kuwapa raha Watanzania itakapokabiliana na Zambia (Shepolopolo)  katika pambano la kusaka tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Afrika litakalopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Stars maboresho kuivaa Rwanda

Stars maboresho itapambana na Rwanda katika mechi ya kirafiki itakayofanyika Mwanza kaskazini magharibi mwa Tanzania

 

9 years ago

BBCSwahili

Stars kuivaa Algeria Novemba 14

Timu ya Taifa ya Tanzania itajitupa uwanja Novemba 14 kukipiga na timu ya taifa ya Algeria

 

9 years ago

Habarileo

Stars ya kuivaa Malawi yatajwa

KIKOSI cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoikabili Malawi, The Flames katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018, kimetangazwa kikiwa hakina mabadiliko na kilichoikabili Nigeria katika kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017.

 

11 years ago

Mwananchi

Stars kuivaa tena Malawi

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars itacheza mechi ya kirafiki na timu ya Malawi ‘The Flames’ Jumanne jioni kwenye Uwanja wa Taifa jijini.

 

10 years ago

Michuzi

Kocha wa Zamani wa Taifa Stars,marehemu Sylvester Marsh azikwa leo jijini Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliekuwa Kocha wa timu ya Taifa (Taifa Stars), marehemu Sylvester Balunzi Mashishigulu ‘Marsh’, leo kwenye uwanja wa Shule ya msingi Mirongo,Jijini Mwanza.Marehemu Marsh amezikwa kwenye makaburi ya Igoma nje kidogo ya Jiji la Mwanza.Picha zote na G Sengo Blog.Familia ya Marehemu Sylvester Balunzi Mashishigulu ‘Marsh’, ikiwa kwenye huzuni kubwa baada ya kuondokewa na mpendwa wao,wakati wa ibada maalum ya kumuada...

 

9 years ago

Vijimambo

STARS YAKAMILIKA KUIVAA MALAWI KESHO


Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Malawi kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018. 
Mkwasa amesema kikosi chake kipo kaika hali nzuri baada ya kufanya mazoezi ya mwisho leo asubuhi ambapo wachezaji wote wapo katika hali nzuri wakiwemo wachezaji wawili Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kutoka klabu ya TP Mazembe ya Congo DR. 
“Tunatambua umuhimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani