Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATOKEO: GLOBAL FC 2, MWANZA ALL STARS 4

Kikosi cha timu ya Global Fc, kilichocheza na Mwanza All Stars kwenye mchezo mkali wa kirafiki uliopigwa kwenye Uwanja wa Posta, Kijitonyama jijini Dar. ...Kikosi cha Mwanza All Stars.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

GLOBAL KUIVAA MWANZA ALL STARS LEO

Kikosi cha timu ya Global Fc. Na Mwandishi Wetu TIMU ya Global FC, leo itaingia uwanjani kuvaana na Mwanza All Stars kwenye mchezo mkali wa kirafiki utakaopigwa kwenye Uwanja wa Posta, Kijitonyama jijini Dar. Huu utakuwa mchezo wa pili kwa Global ndani ya wiki moja baada ya wiki iliyopita kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Kigoma All Stars.… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Malinzi asikitishwa matokeo Twiga Stars

malinziNA ELLY MHAGAMA, DAR ES SALAAM

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamal Malinzi, amesikitishwa na matokeo mabovu ambayo timu ya Twiga Stars inayapata katika michuano ya All African Games inayoendelea nchini Congo Brazzaville.

Malinzi alitoa kauli hiyo jana, akidai matokeo hayo mabovu yanatokana na kukosa ligi ya Taifa ya soka la wanawake, ambayo ingesaidia kuibua vipaji lukuki.

“Tunafungwa kwa sababu hakuna Ligi ya mchezo huu, tunatarajia kuanzisha Ligi ambayo tutazalisha wachezaji...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL FC YAICHAPA SINZA STARS

Mhariri wa gazeti la uwazi Bwana Elvan Stambuli akiwaelekeza wachezaji wa timu ya Global Publisher baada ya mapumziko ya kipindi cha kwanza. Omary Mdose mmoja wa wachezaji machachari wa GPL akiwa anajipanga kwa mashambulizi.…

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio mipango ya Mwanza japo wameshika namba 3 matokeo ya darasa la saba !! (Audio)

Zikiwa zimebaki wiki mbili kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kufungua shule leo December 28 2015 Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ameamua kukutana na watendaji wake ambao ni wakuu wa Wilaya za Mwanza, Wakurugenzi wa Halmashauri, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, wilaya na makatibu tawala wa wilaya na wakuu […]

The post Hii ndio mipango ya Mwanza japo wameshika namba 3 matokeo ya darasa la saba !! (Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mazoezi Stars yavuta mashabiki Mwanza

Mashuti makali yaliyopigwa na wachezaji wa timu ya Taifa Stars kwenye mazoezi yao kwenye Uwanja wa CCM Kirumba yamewavutia mashabiki wachache waliofika ili kufuatilia mazoezi hayo.

 

9 years ago

TheCitizen

Rising Stars tournament gets underway in Mwanza

Nyamagana District Commissioner Baraka Konisaga has reiterated the significance of youth football programmes and called on aspiring starlets to understand that they have the obligation to help the country snap mediocrity on the international stage.

 

11 years ago

GPL

GLOBAL ILIVYOWAANDALIA SHEREHE WAUZA MAGAZETI MWANZA

Mwakilishi wa Global Publishers Masumbuko Ali, akizungumza na wauza magazeti wa Jiji la Mwanza. Muuza magazeti akisoma gazeti la Risasi.…

 

9 years ago

GPL

DC WA NYAMAGAMA AFUNGUA AIRTEL RISING STARS MWANZA

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga akikagua timu wakati wa uzinduzi wa Airtel Rising Stars mkoa wa Mwanza jana. Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga akiongea wakati wa uzinduzi wa Airtel Rising Stars mkoa wa Mwanza jana. Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga jana Jumapili (Agosti 15) alifungua mashindano ya Airtel Rising Stars mkoa wa Mwanza na kuwambia vijana kuwa wanalo jukumu la kubadilisha matokeo ya...

 

9 years ago

Michuzi

NYAMAGANA DC AFUNGUA AIRTEL RISING STARS MWANZA

 Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga akikagua timu wakati wa uzinduzi wa Airtel Rising Stars mkoa wa Mwanza jana. Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga akiongea wakati wa uzinduzi wa Airtel Rising Stars mkoa wa Mwanza jana.
MKUU wa Wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga jana Jumapili (Agosti 15) alifungua mashindano ya Airtel Rising Stars mkoa wa Mwanza na kuwambia vijana kuwa wanalo jukumu la kubadilisha matokeo ya timu za Tanzania hasa katika mashindano ya kimataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani