Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazoezi Stars yavuta mashabiki Mwanza

Mashuti makali yaliyopigwa na wachezaji wa timu ya Taifa Stars kwenye mazoezi yao kwenye Uwanja wa CCM Kirumba yamewavutia mashabiki wachache waliofika ili kufuatilia mazoezi hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

M4PI yavuta zaidi ya vijana 180 Mwanza

Vijana wazalendo wasiofungamana na upande wowote wa kisiasa wameratibu kampeni  na kuwezesha vijana wenzao na wananchi kwa ujumla kuzingatia maslahi ya umma na uwajibikaji kama kigezo cha kumpigia kura mgombea wa nafasi ya uraisi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba ishirini na tano mwaka huu.

Vijana hao waliofuatilia mikutano ishirini  ya wagombea mbalimbali wa nafasi ya uraisi, baada ya kupima na kutafakari sera za wagombea hao wameamua kuungana na dokta John Pombe...

 

10 years ago

Habarileo

Stars `mpya’ yaanza mazoezi

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeanza mazoezi katika Uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars waendelea kupiga mazoezi Karume

TIMU ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’ inayonolewa na Kocha Mkuu Rogasian Kaijage, imeendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya Wanawake ya Malawi utakaochezwa Novemba 7, mwaka huu jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Azam Chamazi.

 

9 years ago

GPL

TAIFA STARS YAFANYA MAZOEZI YA MWISHO SAUZ

Wachezaji wa Stars wakisikiliza maelekezo kutoka kwa kocha wao, Charles Boniface Mkwasa. Stars wakiendelea kujifua nchini Afrika Kusini leo.…

 

9 years ago

GPL

TAIFA STARS YAENDELEA NA MAZOEZI AFRIKA KUSINI LEO

Kutoka kushoto, Ibrahim Ajib , Jonas Mkude na Said Ndemla (nyuma yao) wakiwa katika mazoezi ya kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars leo kwenye Uwanja wa Edenvale kwenye kitongoji cha Edenvale jijini Johannesburg, Afrika Kusini.. Beki wa kati wa Stars, Hassan Isihaka (kulia) akijiandaa kumpiga chenga kiungo wa  timu hiyo, Mudathir Yahaya. Kocha wa makipa wa Stars, Manyika Peter… ...

 

10 years ago

StarTV

Taifa Stars yaanza mazoezi bila wachezaji wa Yanga, Azamfc.

KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kimeanza mazoezi katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.
Wachezaji wa Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa watakua wakijifua mara mbili kwa siku asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume katika kujiweka fit na maandalizi ya mchezo huo.
Kufuatia baadhi ya wachezaji kuwa na majukumu na timu zao kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Hisani...

 

10 years ago

Michuzi

MALAWI WAFANYA MAZOEZI CCM KIRUMBA LEO, TAYARI KUKUTANA NA TAIFA STARS KESHO JUMAPILI


Na Faustine Ruta, Mwanza.Timu ya Taifa ya Malawi (The Flames) pichani leo jioni imefanya mazoezi ya mwisho tayari kwa kuwakabili Wenyeji wao Tanzania Timu ya (Taifa Stars) mchezo utakaochezwa kesho jumapili saa 10.30 jioni katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Wakibadilishana Mawazo wakati Wachezaji wa Malawi wanajifua mara ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jioni ya leo.
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Kaijage ashukuru mashabiki Twiga Stars

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars, Rogasian Kaijage amewashukuru mashabiki wanaounda kundi la ushangiliaji wa timu za taifa waliokwenda kuwashangilia Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani