GLOBAL PUBLISHERS WAMFANYIA ‘SAPRAIZ YA BETHIDEI’ SHIGONGO
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo akikata keki.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAD ICE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS, ALONGA NA GLOBAL TV ONLINE
Mad Ice akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo. Mad Ice akibadilishana mawazo na Mwandishi wa Global, Andrew  Carlos kabla ya mawasiliano.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2Iw-2yM*1SmjfE30BCM6x035utUkP0eltJ0Im5chgz9eS79JD9tN09msTKJ2imJh2yS*OS3P9aAf0dRUG4TXP*Q/gpl.jpg?width=650)
GLOBAL PUBLISHERS...
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, imeanza mbio za kuutokomeza ugonjwa wa homa ya ini ambao kitaalamu unafahamika kama Hepatitis B. Mbio hizo, zitaambatana na uzinduzi wake kitaifa utakaofanyika Machi 7, mwaka huu, Hospitali ya Mkoa wa Kitabu Ilala, Amana, Dar es Salaam, mgeni rasmi akiwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric...
10 years ago
GPLSHIGONGO AHIMIZA UPENDO NA BIDII KWA WAFANYAKAZI GLOBAL
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Championi, Risasi, Ijumaa Wikienda, Amani na Ijumaa, Eric Shigongo Bukumbi, akiongea na wafanyakazi leo.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqwuiLynzLaAxgBZb7E3ai*4qX4o1ENtkA24DhI9V*8qrduiD2KcKnshhbLWCH6gxRNUy9cnK9iR07WiWGPXSJkq/SHIGONGONAWAFANYAKAZI1.jpg?width=650)
ERIC SHIGONGO AONGEA NA WAFANYAKAZI WA GLOBAL, AWAPA MBINU ZA UJASIRIAMALI
Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho (kushoto) akimkaribisha Mkurugenzi wa Global, Marsha Bukumbi (wa kwanza kulia) ili amkaribishe Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati) kuongea na wafanyakazi. Mkurugenzi wa Global Publishers, Marsha Bukumbi akiwashukuru wafanyakazi kwa utendaji wao kazi kabla ya kumkaribisha Eric Shigongo kuongea.… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA-AvSUWVVcv2dAWJMu1st2rC7AIhirnwS0lq0RB2c2i3K*TUBc-8acSaVKSsMyUe9iJHqzu0l4FyYFmjYf*gvyz/mwakifaaa.jpg?width=650)
MWAKIFWAMBA AIANGUKIA GLOBAL PUBLISHERS
Stori: Joseph Shaluwa
RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba ameiomba radhi Kampuni ya Global Publishers Ltd inayochapisha magazeti ya Uwazi, Amani, Ijumaa, Risasi, Ijumaa Wikienda na Championi kwa maneno aliyowahi kuyatoa siku za nyuma kuhusu wasanii kuandamwa na magazeti hayo. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba akiongea na wanahabari wa Global...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZcjIar5u5lmOPxUQOAd9Lbv*stORr4QZLp5ptDG0ybc78*UTlsqi8AWtAFOLraZ*bjao5GAqAWWtmgjCI19bTP1/GLOBAL.jpg?width=650)
9 years ago
GPL07 Sep
10 years ago
Vijimambo11 May
SHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VITATU VIPYA KATIKA OFISI ZA GLOBAL
10 years ago
GPLSHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VIWILI VIPYA KATIKA OFISI ZA GLOBAL
Mkurugenzi wa Global Publishers LTD, Shigongo Eric James (kulia), akishikilia vitabu vyake baada ya kumpatia jukumu la uzinduzi huo Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Kampuni hiyo, Oscar Ndauka. Tukio hilo limefanyika mapema leo ndani ya jengo la ofisi za GlobalPublishers zilizoko Mwenge-Bamaga jijini Dar es Salaam. Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho (kulia), akiwa amenyanyua moja ya vitabu hivyo baada ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania