GONJWA LA CORONA LAZIMA UHAI WA MWANAMUZIKI AURLUS MABELE, NCHINI UFARANSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UPFZVxONeJQ/XnTh-F0nJuI/AAAAAAACI-c/m1GOqJCoXxYmebEXyzfn9joC_Rhj00PxwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200320_183018_395.jpg)
Mwanamuziki wa miondoko ya Soukous Aurlus Mabele (Pichani), amefariki Dunia nchini Ufaransa akiwa na miaka 67 baada ya kuugua kiharusi kwa muda mrefu na kisha kupata maambukizi ya virusi vya Corona hivi karibuni.
Rafiki yake wa karibu Nyboma Mwandido amethibitisha Aurlus Mabele kufariki dunia, huku taarifa zikieleza kuwa nguli huyo wa miondoko ya Soukous alifariki usiku wa kuamkia Ijumaa Machi 20, 2020.
Taarifa zaidi zimeeleza kuwa mwanamuziki huyo pia alikuwa akisumbuliwa kwa ugonjwa wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Mwanamziki wa Lingala Aurlus Mabele ameaga dunia
5 years ago
BBC20 Mar
Aurlus Mabele: Congolese music legend dies 'from coronavirus'
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Shughuli za binadamu lazima zizingatie kuendeleza uhai
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Muuguzi wa wagonjwa wa corona ambaye huenda akarejeshwa kwao kwa lazima.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pXfvHhdB2cM/Xr170JqlygI/AAAAAAALqP4/_sDNBrIHHV0EmcI55l3ymRF6xWGBdlmDACLcBGAsYHQ/s72-c/2725f3cd-041e-48b2-883c-5ac3d074d347.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P6PJiMWrs3U/XomGHMmzRXI/AAAAAAALmCo/kDYoZq0RDGIwqC7_lNHxyCoHwuNuDD4jACLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
MANENO MATATU YA KIBABE YA MAGUFULI KATIKATI YA GONJWA LA VIRUSI VYA CORONA...ACHA KABISA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P6PJiMWrs3U/XomGHMmzRXI/AAAAAAALmCo/kDYoZq0RDGIwqC7_lNHxyCoHwuNuDD4jACLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
RAIS Dk. John Magufuli hakika wewe ndio Rais wangu na ndio Rais wa Watanzania wote.Hilo halina ubishi na ukiona kuna mtu anabisha ujue atakuwa na mtindio wa akili.
Kwanza mtu wa aina hiyo unamuangalia kwa kejeli halafu unamcheka kwa dharau.Potelea mbali acha akajifunze. Rais wangu Dk.Magufuli hakika Mwenyezi Mungu ametupa wewe ni zawadi kwetu Watanzania.Tutakulinda kama mboni ya jicho.Tutakutetea panapostahili kukutetea, tutakupigania pale tunapostahili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdbMsFFhLM6YfJhJU76ebI3g3OeZFFe82Eg-f26OySkc5-iU4kHo6dYciDy46lYeSBHNHayoaRtEu36YR-co42Wy/buheti.jpg)
ESHA BUHETI GONJWA GONJWA, TUMUOMBEENI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qDVW2jk6RFo/Xqa6eExLT6I/AAAAAAALoUw/11O8w87eh7oFWEiYmEIwrqNi4HJRsl8rgCLcBGAsYHQ/s72-c/kanyasu2.jpg)
SERIKALI: UHAI WA BINADAMU UNA THAMANI KUBWA KULIKO UHAI WA WANYAMAPORI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qDVW2jk6RFo/Xqa6eExLT6I/AAAAAAALoUw/11O8w87eh7oFWEiYmEIwrqNi4HJRsl8rgCLcBGAsYHQ/s640/kanyasu2.jpg)
Akizungumza na viongozi wa vijiji vitano vinavyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Constantine Kanyasu amesema uhai wa binadamu una thamani kubwa na kamwe hauwezi kufananishwa na uhai wa wanyamapori
Amesema licha ya kuwa binadamu anaaminika kuwa akili kuliko...
5 years ago
MichuziMASENETA SITA KUTOKA NCHINI UFARANSA WAPO NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU NANE
Na Karama Kenyunko-Michuzi Blog.
MASENETA sita kutoka nchini Ufaransa wako nchini Tanzania kwa ziara za kikazi ambapo wanatarajia kutembelea mikoa mbalimbali pamoja na visiwani Zanzibar kujionea shughuli za maendeleo zinazofanywa na wadau wanaonufaika na misaada ya Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD).
Ziara hiyo itafanyika kwenye Mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha na kwamba ni matokeo ya ziara iliyofanywa Septemba mwaka jana na marafiki wa Ufaransa na Tanzania na kuazimia...