Guinea ya Ikweta kuandaa AFCON 2015
Guinea ya Ikweta yaitoa kimasomaso michuano ya AFCON mwaka 2015
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Guinea ya Ikweta wenyeji wa Afcon 2015
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeitangaza Guinea ya Ikweta kuwa mwenyeji wa Fainali za Afrika 2015 baada ya Morocco iliyokuwa imepewa nafasi hiyo kujitoa kwa kuhofia ugonjwa wa Ebola
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Tunaweza kuandaa Afcon 2015 bila Ebola
Napenda niwe wazi tu, binafsi nataka fainali za Afrika (Afcon 2015) zifanyike katika tarehe iliyopangwa kuanzia Januari 17 hadi Februari 8, ingawa kuna tatizo kubwa la ugonjwa wa Ebola ambao umezikumba nchi za Afrika Magharibi.
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Maajabu ya Marhaba Guinea ya Ikweta
Mpira utakaotumika katika Fainali za Afrika 2015 tayari umezinduliwa na unaitwa Adidas Marhaba. Neno Marhaba linamaanisha karibu kwa lugha ya kiarabu.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Guinea ya Ikweta yatozwa Faini na CAF
Guinea ya Ikweta imetozwa Faini baada ya vurugu zilizotokea katika mechi kati ya Timu ya nchi hiyo na Ghana
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Guinea ya ikweta,Burkina Faso kivumbi
Guinea ya Ikweta na Burkina Faso,Congo na Gabon kukipiga Uwanja wa Bata
11 years ago
Michuzi
Ijue Guinea ya Ikweta na mji mkuu wake, malabo
Jamhuri ya Guinea ya Ikweta ni nchi iliyopo magharibi Afrika ya Kati. Ni nchi mojawapo ndogo kwa bara la Afrika.Imepakana na Kamerun upande wa kaskazini, Gabon kusini na mashariki, na Guba la Guinea magharibi, ambapo kisiwa cha São Tomé na Príncipe chapatikana kusini-magharibi mwa Guinea ya ikweta. Ilikuwa koloni ya Uhispania ambapo iliitwa Guinea ya Uhispania, na eneo zake ambazo zajulikana (kwa bara kama Río Muni) za husu eneo kadhaa visiwa, na pia kisiwa kama Bioko ambapo mji mkuu humo,...
10 years ago
Vijimambo06 Feb
GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.



10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Nani kuandaa fainali za Afcon 2017?
Mwenyeji wa fainali za Afcon za mwaka 2017 atajulikana leo, Jumatano, kwa kuzipigia kura Algeria, Gabon na Ghana
11 years ago
Mwananchi26 Aug
TFF yaomba kuandaa Afcon 2017
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza nia ya kuandaa Fainali za Mataifa ya Afrika za 2017 baada ya Libya kujitoa kwa kutokana na sababu za kiusalama.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania