Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maajabu ya Marhaba Guinea ya Ikweta

Mpira utakaotumika katika Fainali za Afrika 2015 tayari umezinduliwa na unaitwa Adidas Marhaba. Neno Marhaba linamaanisha karibu kwa lugha ya kiarabu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Guinea ya ikweta,Burkina Faso kivumbi

Guinea ya Ikweta na Burkina Faso,Congo na Gabon kukipiga Uwanja wa Bata

 

10 years ago

Mwananchi

Guinea ya Ikweta wenyeji wa Afcon 2015

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeitangaza Guinea ya Ikweta kuwa mwenyeji wa Fainali za Afrika 2015 baada ya Morocco iliyokuwa imepewa nafasi hiyo kujitoa kwa kuhofia ugonjwa wa Ebola

 

10 years ago

BBCSwahili

Guinea ya Ikweta kuandaa AFCON 2015

Guinea ya Ikweta yaitoa kimasomaso michuano ya AFCON mwaka 2015

 

10 years ago

BBCSwahili

Guinea ya Ikweta yatozwa Faini na CAF

Guinea ya Ikweta imetozwa Faini baada ya vurugu zilizotokea katika mechi kati ya Timu ya nchi hiyo na Ghana

 

11 years ago

Michuzi

Ijue Guinea ya Ikweta na mji mkuu wake, malabo

Jamhuri ya Guinea ya Ikweta ni nchi iliyopo magharibi Afrika ya Kati. Ni nchi mojawapo ndogo kwa bara la Afrika.Imepakana na Kamerun upande wa kaskazini, Gabon kusini na mashariki, na Guba la Guinea magharibi, ambapo kisiwa cha São Tomé na Príncipe chapatikana kusini-magharibi mwa Guinea ya ikweta. Ilikuwa koloni ya Uhispania ambapo iliitwa Guinea ya Uhispania, na eneo zake ambazo zajulikana (kwa bara kama Río Muni) za husu eneo kadhaa visiwa, na pia kisiwa kama Bioko ambapo mji mkuu humo,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania yang’ara Kimataifa,Asasi yake yatwaa tuzo ya Ikweta 2015 zinazotolewa na Umoja wa Mataifa-UN

UNMBi. Helen Clark, Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo  wa Umoja wa Mataifa ( UNDP)  akiwatangaza washindi wa Tuzo ya Ikweta ambayo hutolewa na Umoja Mataifa kwa  NGO ambazo zinajihusisha na utunzaji wa  mazingira, ulinzi na uhifadhi wa misitu, matumizi bora na endelevu ya ardhi na mali asili na  kupiga vita umaskini.Tuzo ya mwaka huu wa 2015 ambayo ni  dola  za kimarekani 10, 000 kwa kila mshindi inakwenda kwa NGO 21 ambapo  NGO ya Tanzania ijulikanayo kama Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu...

 

11 years ago

GPL

MAAJABU YA MUNGU!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro KATIKA hali ya kushangaza, wagonjwa wa mtindio wa ubongo, Paul Ngido na Asha Yahya wanaolelewa kwenye kituo cha watoto wenye matatizo mbalimbali wakiwemo yatima cha Ngido kilichopo Mazimbu FK mkoani hapa wamejikuta wakizaa watoto wawili, Keisha na Glory ndani ya kituo hicho. Paul Ngido na Asha Yahya  wanaolelewa kwenye kituo cha watoto wenye matatizo mbalimbali waliowazaa watoto Keisha na...

 

11 years ago

Habarileo

Maajabu ya Madiba

KATIKA uhai wake mpambanaji dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani, Nelson Mandela, aliishangaza dunia alipotangaza msamaha kwa waliomtesa na akiwa marehemu, amekutanisha viongozi mahasimu wa kisiasa duniani katika uwanja mmoja wakimuaga. Hicho ndicho kilichomsukuma mshindi mwenzake wa Tuzo ya Nobel, Askofu Desmond Tutu, kusema Mandela alikuwa wa maajabu na alionesha maajabu akiwa hivi sasa ni marehemu.

 

10 years ago

GPL

MAAJABU YA MTOTO WA MIUJIZA

Stori: Richard Bukos
MTOTO Happiness (10) (pichani) ambaye mwishoni mwa wiki iliyopita  alizua kizazaa mjini Zanzibar baada ya kuonekana akizungumza na viumbe wa ajabu na wanyama, ametua jijini Dar kufuatia kufika kisiwani humo kimaajabu. Mtoto Happiness (10) anayedaiwa kuzua kizazaa mjini Zanzibar. Kwa mujibu wa mama mzazi wa mtoto huyo, Sarah Zefania, mwanaye Happiness alianza kuonesha maajabu Zenji tangu alipoonekana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani