Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Guinea ya Ikweta wenyeji wa Afcon 2015

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeitangaza Guinea ya Ikweta kuwa mwenyeji wa Fainali za Afrika 2015 baada ya Morocco iliyokuwa imepewa nafasi hiyo kujitoa kwa kuhofia ugonjwa wa Ebola

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Guinea ya Ikweta kuandaa AFCON 2015

Guinea ya Ikweta yaitoa kimasomaso michuano ya AFCON mwaka 2015

 

10 years ago

Mwananchi

Maajabu ya Marhaba Guinea ya Ikweta

Mpira utakaotumika katika Fainali za Afrika 2015 tayari umezinduliwa na unaitwa Adidas Marhaba. Neno Marhaba linamaanisha karibu kwa lugha ya kiarabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Guinea ya ikweta,Burkina Faso kivumbi

Guinea ya Ikweta na Burkina Faso,Congo na Gabon kukipiga Uwanja wa Bata

 

10 years ago

BBCSwahili

Guinea ya Ikweta yatozwa Faini na CAF

Guinea ya Ikweta imetozwa Faini baada ya vurugu zilizotokea katika mechi kati ya Timu ya nchi hiyo na Ghana

 

11 years ago

Michuzi

Ijue Guinea ya Ikweta na mji mkuu wake, malabo

Jamhuri ya Guinea ya Ikweta ni nchi iliyopo magharibi Afrika ya Kati. Ni nchi mojawapo ndogo kwa bara la Afrika.Imepakana na Kamerun upande wa kaskazini, Gabon kusini na mashariki, na Guba la Guinea magharibi, ambapo kisiwa cha São Tomé na Príncipe chapatikana kusini-magharibi mwa Guinea ya ikweta. Ilikuwa koloni ya Uhispania ambapo iliitwa Guinea ya Uhispania, na eneo zake ambazo zajulikana (kwa bara kama Río Muni) za husu eneo kadhaa visiwa, na pia kisiwa kama Bioko ambapo mji mkuu humo,...

 

10 years ago

Vijimambo

GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.

 wachezaji wa Ghana  wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0  kwaiyo sasa  Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki...

 

10 years ago

BBC

Eq Guinea president in Afcon giveaway

Equatorial Guinea president Teodoro Obiang Nguema pays for 40,000 tickets for fans to attend the Nations Cup.

 

10 years ago

GPL

EQUATORIAL GUINEA MWENYEJI AFCON 2015‬

SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limeitangaza Equatorial Guinea kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2015 baada ya Morocco kukataa kuandaa michuano hiyo kwa hofu ya kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola. CAF imeiondoa kabisa Morocco katika timu zitakazoshiriki na sasa nafasi yake inachukuliwa na Equatorial Guinea ambayo mwaka 2012 iliandaa mashindano hayo kwa kushirikiana na Gabon. ...

 

10 years ago

BBC

Sarr turns down Afcon chance with Guinea

Metz midfielder Bouna Sarr turns down the chance to play for Guinea at the 2015 Africa Cup of Nations in Equatorial Guinea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani