GWAJIMA ANALO SASA SERIKALI KUTAKA KUJUA NINI TOFAUTI YA YELLOW NA ORANGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-7QkqKsrwVn4/VSd63JsB_BI/AAAAAAADhVI/nomwDZlyeSo/s72-c/gwajima.jpg)
Dola ni Habari Nyingine,Gwajima DOLA imemfikia,hawana papara,wanakwenda naye taratibu.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog25 May
Orange launches the 2015 Orange African Social Venture Prize
This initiative aims to encourage innovative start-up projects which help to accelerate development on the African continent
Orange (http://www.orange.com) is launching the call for applications for the 5th edition of the Orange African Social Venture Prize. This initiative aims to encourage innovative start-up projects which help to accelerate development on the African continent.
The prize will recognize three projects with grants of 10,000, 15,000 and 25,000 euros, along with six months...
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
Yote Uliyowahi Kutaka Kujua Kuhusu Mkito.com: Mahojiano Na Mwanzilishi Mwenza,Sune Mushendwa
![Sune Mushendwa-Mkito.com](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2014/12/Sune.jpg)
Sune Mushendwa
Kwa miaka nenda rudi, wasanii wa kitanzania walikuwa na kilio kinachofanana. Ungekaa pembeni bila kuwaona, ungedhani kutokana na mwangwi wa kilio chao, anayelia ni mmoja. Hapana. Wote walikuwa [na pengine bado wanaendelea kulia] kutokana na kunyonywa “jasho lao”.
Kimsingi “jasho” wanalolilia limekuwa ni soko na usambazaji. Kipaji unacho na watu wanakubali kazi zako. Tatizo utaifikishaje kazi yako kwa mashabiki zako? Ni wazi kwamba unahitaji msaada wa kimasoko na usambazaji....
10 years ago
Michuzi05 Jan
Yote Uliyowahi Kutaka Kujua Kuhusu Mkito.com: Mahojiano ya Bongo Celebrity na Mwanzilishi Mwenza,Sune Mushendwa
![Sune Mushendwa-Mkito.com](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2014/12/Sune.jpg)
Kwa miaka nenda rudi, wasanii wa kitanzania walikuwa na kilio kinachofanana. Ungekaa pembeni bila kuwaona, ungedhani kutokana na mwangwi wa kilio chao, anayelia ni mmoja. Hapana. Wote walikuwa [na pengine bado wanaendelea kulia] kutokana na kunyonywa “jasho lao”. Kimsingi “jasho” wanalolilia limekuwa ni soko na usambazaji. Kipaji unacho na watu wanakubali kazi zako. Tatizo utaifikishaje kazi yako kwa mashabiki zako? Ni wazi kwamba unahitaji msaada wa kimasoko na usambazaji....
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Sakata la Gwajima: Wafuasi wake 15 mbaroni kwa madai ya kutaka kumtorosha
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji watu 15 ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya kula njama pamoja na kujaribu kumtorosha Askofu Josephat Mathias Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ kwa matibabu.
Mnamo tarehe 29/03/2015 majira ya saa tisa na dakika thelathini usiku watu hao 15 katika hali isiyo ya kawaida walifika hospitalini hapo wakidai kwamba walikuwa wanataka kwenda kumuona...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Kutangaza nia ya kutaka urais sasa ni ‘fasheni’
HIVI sasa Tanzania inakabiliwa na changamoto mbalimbali za kimaendeleo, ambazo zinawagusa moja kwa moja Watanzania zaidi ya milioni 40. Baadhi ya changamoto hizo ambazo muda mrefu Watanzania wamekuwa wakizipigia kelele...
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TPDC iseme kwa nini makubaliano ni tofauti na mkataba elekezi?
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Ukaribu uliopitiliza kwa mashemeji wa jinsi tofauti unaashiria nini?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8ZIuM9-XlrtJlq70ngYHQb3I1vvgfv05SoiZKLwWaT6TqTRiHSLgPbLSijVkHc7LnbesQl-Jl43GWDIdV*EOLLk/Gwajima.gif?width=650)
GWAJIMA SASA ATIKISA NCHI
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Askofu Gwajima sasa aja kivingine