Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GWAJIMA ANALO SASA SERIKALI KUTAKA KUJUA NINI TOFAUTI YA YELLOW NA ORANGE

Dola ni Habari Nyingine,Gwajima DOLA imemfikia,hawana papara,wanakwenda naye taratibu.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Orange launches the 2015 Orange African Social Venture Prize

orange-logo

This initiative aims to encourage innovative start-up projects which help to accelerate development on the African continent

 Orange (http://www.orange.com) is launching the call for applications for the 5th edition of the Orange African Social Venture Prize. This initiative aims to encourage innovative start-up projects which help to accelerate development on the African continent.

The prize will recognize three projects with grants of 10,000, 15,000 and 25,000 euros, along with six months...

 

10 years ago

Dewji Blog

Yote Uliyowahi Kutaka Kujua Kuhusu Mkito.com: Mahojiano Na Mwanzilishi Mwenza,Sune Mushendwa

Sune Mushendwa-Mkito.com

Sune Mushendwa

Kwa miaka nenda rudi, wasanii wa kitanzania walikuwa na kilio kinachofanana. Ungekaa pembeni bila kuwaona, ungedhani kutokana na mwangwi wa kilio chao, anayelia ni mmoja. Hapana. Wote walikuwa [na pengine bado wanaendelea kulia] kutokana na kunyonywa “jasho lao”.

Kimsingi “jasho” wanalolilia limekuwa ni soko na usambazaji. Kipaji unacho na watu wanakubali kazi zako. Tatizo utaifikishaje kazi yako kwa mashabiki zako? Ni wazi kwamba unahitaji msaada wa kimasoko na usambazaji....

 

10 years ago

Michuzi

Yote Uliyowahi Kutaka Kujua Kuhusu Mkito.com: Mahojiano ya Bongo Celebrity na Mwanzilishi Mwenza,Sune Mushendwa

Sune Mushendwa-Mkito.com  Sune Mushendwa
Kwa miaka nenda rudi, wasanii wa kitanzania walikuwa na kilio kinachofanana. Ungekaa pembeni bila kuwaona, ungedhani kutokana na mwangwi wa kilio chao, anayelia ni mmoja. Hapana. Wote walikuwa [na pengine bado wanaendelea kulia] kutokana na kunyonywa “jasho lao”. Kimsingi “jasho” wanalolilia limekuwa ni soko na usambazaji. Kipaji unacho na watu wanakubali kazi zako. Tatizo utaifikishaje kazi yako kwa mashabiki zako? Ni wazi kwamba unahitaji msaada wa kimasoko na usambazaji....

 

10 years ago

Dewji Blog

Sakata la Gwajima: Wafuasi wake 15 mbaroni kwa madai ya kutaka kumtorosha

kova1

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji watu 15 ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya kula njama pamoja na kujaribu kumtorosha Askofu Josephat Mathias Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ kwa matibabu.

Mnamo tarehe 29/03/2015 majira ya saa tisa na dakika thelathini usiku watu hao 15 katika hali isiyo ya kawaida walifika hospitalini hapo wakidai kwamba walikuwa wanataka kwenda kumuona...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kutangaza nia ya kutaka urais sasa ni ‘fasheni’

HIVI sasa Tanzania inakabiliwa na changamoto mbalimbali za kimaendeleo, ambazo zinawagusa moja kwa moja Watanzania zaidi ya milioni 40. Baadhi ya changamoto hizo ambazo muda mrefu Watanzania wamekuwa wakizipigia kelele...

 

11 years ago

Mwananchi

TPDC iseme kwa nini makubaliano ni tofauti na mkataba elekezi?

Baada ya kuvuja kwa mkataba wa kutafuta na kuzalisha gesi asilia kati ya TPDC na kampuni ya Norway ya StatOil na baada ya baadhi ya wachambuzi kuhoji kuhusu mkataba huo, TPDC imetoa maelezo yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukaribu uliopitiliza kwa mashemeji wa jinsi tofauti unaashiria nini?

Moja ya mambo yanayosumbua vichwa watu wengi walio kwenye uhusiano wa kimapenzi ni ukaribu uliopitiliza wanaouonyesha kwa mashemeji zao. Hali hii huwa pia chanzo cha kuvunjika kwa uhusiano. 

 

10 years ago

GPL

GWAJIMA SASA ATIKISA NCHI

Mwandishi wetu
KIONGOZI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima sasa anaitingisha nchi baada ya sakata lake lililotokana na kauli yake ya kejeli dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Policarb Kardinali Pengo kuwa gumzo karibu kila sehemu hapa nchini. Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima. Katika mitandao mbalimbali ya kijamii, redio, magazeti na televisheni...

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu Gwajima sasa aja kivingine

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ameliombea Taifa ili liepukane na ajali za barabarani, akisema nyingi zinasababishwa na kafara zinazofanywa na baadhi ya watu aliowaita wabaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani