GWAJIMA SASA ATIKISA NCHI
![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8ZIuM9-XlrtJlq70ngYHQb3I1vvgfv05SoiZKLwWaT6TqTRiHSLgPbLSijVkHc7LnbesQl-Jl43GWDIdV*EOLLk/Gwajima.gif?width=650)
Mwandishi wetu KIONGOZI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima sasa anaitingisha nchi baada ya sakata lake lililotokana na kauli yake ya kejeli dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Policarb Kardinali Pengo kuwa gumzo karibu kila sehemu hapa nchini. Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima. Katika mitandao mbalimbali ya kijamii, redio, magazeti na televisheni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Jun
MWIGULU NCHEMBA ATIKISA DODOMA,ACHUKUA FOMU YA URAIS,SASA SAFARI YA TANZANIA KUELEKEA KIPATO CHA KATI IMEANZA
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xft1/v/t1.0-9/11393090_926219677440104_5695763631757818465_n.jpg?oh=7fd819e6800a3744029ecfad29345e8c&oe=55F987BD)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11401205_926219247440147_5650376604804357062_n.jpg?oh=fe73c38f5cf77f9cfa8b3dcd4b1c8d41&oe=55F9F5AE)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11412392_926219480773457_7369949939952748801_n.jpg?oh=0ab5c1fe2ec3ec69affdea08a214c050&oe=55FB9114)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11391338_926219294106809_7877542968087699757_n.jpg?oh=72f0617c1ba260d04a68c01148874763&oe=55F35359)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/1385666_926219254106813_6950767452361598558_n.jpg?oh=bb11648883050e6c6ed6f7a1e8c62569&oe=55FFAAD4)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xta1/v/t1.0-9/11108346_926219570773448_8371047429066648275_n.jpg?oh=6616e06cfb80e622096ddb545c8102b1&oe=55FB7699)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11250916_926219607440111_5279696594538376340_n.jpg?oh=bc665282d142433f65c8d80f152d5db2&oe=55FCB705)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/10426534_926217427440329_5483314158574981236_n.jpg?oh=fddf992035f12d3fc03e9f9f60996c9f&oe=5600E89C)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xta1/v/t1.0-9/11109530_926217460773659_3270575558195069554_n.jpg?oh=97a3ebc218d51e021385024b12ed2cb7&oe=56093484)
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Askofu Gwajima sasa aja kivingine
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7QkqKsrwVn4/VSd63JsB_BI/AAAAAAADhVI/nomwDZlyeSo/s72-c/gwajima.jpg)
GWAJIMA ANALO SASA SERIKALI KUTAKA KUJUA NINI TOFAUTI YA YELLOW NA ORANGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-7QkqKsrwVn4/VSd63JsB_BI/AAAAAAADhVI/nomwDZlyeSo/s1600/gwajima.jpg)
![](https://scontent-1.2914.fna.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/p480x480/10155792_897611453634260_6077973241946198561_n.jpg?oh=442e6f8b8e95e95339391dcf35faf87c&oe=55DFDC44)
10 years ago
Mtanzania20 May
‘Nchi hivi sasa inayumba’
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
VIONGOZI wastaafu na wasomi nchini wamesema hivi sasa taifa linakabiliwa na viashiria vya uvunjivu wa amani hali inayosababisha nchi kuyumba.
Kutokana na hali hiyo wamesema ni muhimu kudhibiti amani hasa katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Walikuwa wakizungumza Dar es Salaam jana katika mkutano uliandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere unaojadili amani na umoja wa nchi.
Jaji Warioba
Akizungumzia hali ya amani,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s72-c/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s1600/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Sep
Nchi sasa gizani siku saba.
NA RESTUTA JAMES 7th September 2015 Shirika la umeme nchini (Tanesco), limetangaza nchi kuingia ‘gizani’ kwa wiki nzima kuanzia leo kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi inayozalisha umeme kutoka Songosongo na kuanza majaribio ya gesi […]
The post Nchi sasa gizani siku saba. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo29 May
Mawaziri wa sasa,wa Nyerere ,mbingu na nchi
![](http://jamboleo.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/Julius-Nyerere-640x853.jpg)
Peter AmbilikileBARAZA la Mawaziri la sasa ambalo lina asilimia 95 ya wasomi na wenye umri zaidi ya miaka 50, limekuwa likikumbwa mara kwa mara na kashfa za ufisadi na kukosa uwajibikaji, ukilinganisha na baraza la Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Amani Abeid Karume.Uchambuzi uliofanywa na gazeti hili unaonesha kwamba kati ya mawaziri 31 kamili, ni mawaziri sita tu ndiyo wenye umri wa miaka chini ya 50.Mawaziri hao ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (40), Waziri wa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Nchi inataka mabadiliko makubwa sasa!
RAIS wangu, sauti zinasikia kutoka kila kona ya nchi yetu, wananchi wanataka Tanzania waitakayo! Ni Tanzania ipi hiyo? Tuliyomo siyo Tanzania waitakayo. Wanadai mabadiliko sisi tungali uongozini. Je, tumewakinai na...
10 years ago
Mwananchi12 Apr
Hii sasa imekuwa nchi ya dharura