Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Hakuna mahali pa kukanyaga’ msibani kwa Mandela

Makazi ya Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika Kusini yaliyopo katika Mtaa wa Laa namba 12, Houghton ambako ndiko alikokuwa hadi alipokutwa na mauti, ni kama hapaingiliki kutokana na wingi wa watu, magari na vyombo vya habari kutoka sehemu mbalimbali duniani ambavyo vimeweka kambi katika eneo hilo, usiku na mchana kufuatilia safari ya mwisho ya kiongozi huyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

200 washikwa kwa kukanyaga nyasi Nairobi

Karibu watu 200 wamekamatwa kwenye mjii mkuu wa kenya Nairobi kwa kukanyaga katika kile kinachotajwa kuwa nyasi ya Kidero

 

10 years ago

Michuzi

Chuo IRDP Dodoma chaadhimisha mahali ya 28 kwa mafanikio

Mkuu wa kwanza wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vjijini (IRDP) Askofu Dkt. Saimon Chiwanga akitoa neno baada ya Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene kumaliza shudhuli ya kutunuku vyeti kwa wahitimu wakati wa mahafali ya 28 ya Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vjijini (IRDP) iliyofanyika jana mjini Dodoma.Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akimtukuku Shahada ya Uzamili katika Uchumi wa Maendeleo Amina Salum Mwanja wakati wa mahafali ya 28 ya Chuo cha Mipango ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Siku mbili hutumika kutafuta mahali pa kujisadia kwa mwaka

>Kuna mambo unaweza kudhani ni ya kawaida na kwamba hayana tatizo lolote, lakini yanapokukuta ndipo utabaini kilichokuwa kimejificha nyuma ya pazia.

 

11 years ago

GPL

MATUKIO 4 MSIBANI KWA TYSON

Stori: Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata
MWILI wa marehemu George Otieno ‘Tyson’ usiku wa Jumanne iliyopita ulifikishwa nyumbani kwake Mbezi Makonde jijini Dar kwa ajili ya ndugu zake ambao kesho yake (Jumatano) wasingeweza kufika Viwanja vya Leaders Club kuuaga, wafanye hivyo. Aliyekuwa mke wa marehemu, George Otieno ‘Tyson’, Yvone Cherryl ‘Monalisa’akilia kwa uchungu. Ijumaa...

 

11 years ago

GPL

JK MSIBANI KWA MZEE SMALL

Rais Jakaya Kikwete akiwasili nyumbani kwa marehemu Mzee Small eneo la Tabata, Mawenzi Dar kuwapa pole wafiwa. Kulia ni Rais wa TAFF, Simon Mwakifwamba. Msanii mkongwe wa maigizo, Mashaka akiwa msibani na Zamaradi Mketema.…

 

11 years ago

Habarileo

Mkurugenzi atuhumiwa kukanyaga mboga

BAADHI ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wamelaani kitendo cha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime mkoani Mara, Venance Mwamengo cha kukanyanga kwa gari bidhaa walizokuwa wakiuza nje ya Soko Kuu la Tarime.

 

10 years ago

GPL

MAJONZI MSIBANI NYUMBANI KWA KOMBA

Makazi ya marehemu John Komba, Mbezi Tangi Bovu jijini Dar ...waombolezaji wakilia kwa uchungu nyumbani kwa marehemu…

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBANI NYUMBANI KWA BWANA NA BI KIBODYA SPRINGFIELD.MA


Mke wa Bwana Kibodya akiwa mwenye udhuni baada ya kuondoewa na baba yake mpendwa huko Tanzania, Hapa ni nyumbani kwa Bwana na Bi Kibodya  Vail St, Springfield jana jioni ndugu, jamaa na marafiki walifika kutoa mkono wa pole kwa wafiwa huko.

 

11 years ago

GPL

TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA MZEE SMALL

Waombolezaji wakiwa na simanzi nyumbani kwa marehemu Said Ngamba 'Mzee Small' aliyefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa jijini Dar es Salaam. Dada ya marehemu Mzee Small, Sauda Ngamba akiwa na majonzi baada ya kuondokewa na kaka yake.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani