Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HALMASHAURI MKOANI TANGA ZAAHIDI KUSAIDIA WATOTO WALEMAVU

Mmoja wa watoto wenye ulemavu aliyehudhuria. Bi. Asha Salota akizungumza. Mtoto mlemavu, Mohamed Nasoro akisoma risala mbele ya mgeni rasmi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MHE.RAIS AWATAKA VIONGOZI MKOANI TANGA KUSIMAMIA WATOTO KWENDA SHULE

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail:  ikulumawasiliano@yahoo.com               press@ikulu.go.tz              Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,       THE STATE HOUSE,               P.O. BOX 9120,   DAR ES SALAAM. Tanzania.   MHE.RAIS AWATAKA VIONGOZI MKOANI TANGA KUSIMAMIA WATOTO KWENDA SHULE
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewataka viongozi kuhakikisha watoto wote wenye umri wa...

 

10 years ago

GPL

WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU

MOROGORO,
Kampuni ya Kibaran Resources inayojihusisha na utafiti wa uchimbaji wa madini ya Uno kwenye Kijiji cha Epanko, imetoa msaada wa baiskeli 30 za walemavu kwa watoto wenye ulemavu katika kata ya Mahenge Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro. Baiskeli hizo zimeundwa maalumu kwa watoto wanaoishi vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi baiskeli hizo, Grant Pierce, ambaye ni mkurugenzi wa Kampuni ya...

 

9 years ago

Habarileo

TEA watumia bil 2/- kusaidia shule za walemavu

MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imetumia zaidi ya sh bilioni 1.83 kwa ajili ya kusaidia shule na vyuo vyenye watu wenye ulemavu katika kipindi cha miaka mitatu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yatakiwa kutenga fedha kusaidia walemavu

WAKAZI wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha na maeneo jirani wameombwa kutenga sh 1,500 katika matumizi yao ya siku kwa ajili ya kuchangia gharama za uendeshaji wa kituo cha kulelea...

 

11 years ago

Habarileo

Gharama za serikali tatu zitumike kusaidia walemavu

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ali Omar Makame ametaka gharama zitakazotumika kuanzisha serikali ya tatu zikatumike kuwasaidia watu wenye ulemavu wanaoishi katika dimbwi la umasikini miongoni mwa Watanzania walio wengi nchini.

 

11 years ago

GPL

FARIDA AZINDUA FARIDAS FOUNDATION KUSAIDIA WALEMAVU

Farida A. Sekimonyo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Faridas Foundation. Keki maalum kwa tukio hilo. Sehemu…

 

5 years ago

Michuzi

TANGA UWASA YATOA VIFAA 85 VITAKAVYOTUMIKA KWA AJILI YA USAFI MKOANI TANGA


Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akimkabidhi vifaa vya 85 vitakavyotumika kwa ajili ya usafi kwenye wilaya tatu zilizopo mkoani Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto ili viweze kusambazwa maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni,hospitalini na stendi sambamba na kujenga masinki ya kunawia mikono kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari na Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Upendo Lugongo na wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Walemavu wa ukoma Tanga waomba msaada

KAMBI ya wazee wenye ulemavu wa ukoma iliyopo Msufini Kata ya Ngomeni wilayani hapa, Mkoa wa Tanga inakabiliwa na changamoto ya uchakavu wa vitanda hali inayosababisha kulala chini. Wakizungumza na...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL KUENDELEA KUSAIDIA WALEMAVU HAPA NCHINI KWA KUWAONGEZEA VITENDEA KAZI

Afisa masoko wa Airtel Haruna Ndyanabo (wa pili Kulia) akimkabidhi Rukia Salum (wapili Kushoto) mmoja kati ya walemavu waliowezeshwa na Airtel kwa kupatiwa vibanda vya kisasa vya Airtel Money ili kuweza kijipatia kipato na kuendeleza Maisha yao ya kila siku. Wakishuhudia ni baadhi ya walemavu wengine waliowezeshwa na Airtel katika mtaji huo.
Afisa masoko wa Airtel Haruna Ndyanabo (kushoto) akimkabidhi Peter Gwikama mmoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani