Hamad asisitiza ujenzi wa viwanda
Mgombea urais kwa tiketi ya ADC Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed amesema akichaguliwa, kipaumbe chake ni ujenzi wa viwanda vitano eneo la Unguja na Pemba ili kuondoa tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE ASISITIZA UMUHIMU WA VIWANDA
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE ASISITIZA UMUHIMU WA VIWANDA NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe, amesema upatikanaji wa gesi ni nyenzo muhimu ya uendelezaji wa viwanda vya kati ili kutengeneza ajira na kuharakisha maendeleo ya nchi.
Mhe. Membe alipongeza uamuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kuichagua Tanzania kuwa miongoni mwa nchi tatu za Afrika itakapohamishia baadhi ya viwanda vyake, akazitaka taasisi za uwekezaji na uendelezaji wa viwanda kuweka mikakati madhubuti ya kutumia fursa hiyo...
Mhe. Membe alipongeza uamuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kuichagua Tanzania kuwa miongoni mwa nchi tatu za Afrika itakapohamishia baadhi ya viwanda vyake, akazitaka taasisi za uwekezaji na uendelezaji wa viwanda kuweka mikakati madhubuti ya kutumia fursa hiyo...
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Jafo ahimiza ujenzi wa viwanda vidogo
Tanzania haiwezi kubadilika ikiwa mawazo ya watu hayatabadilika kuhusu ujenzi wa viwanda vidogo nchini na kuondoa dhana ya kujenga viwanda vikubwa vinavyohitaji mtaji mkubwa wakati ajira zake ni chache.
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Ujenzi wa bandari, viwanda kuathiri mazingira Bagamoyo
Serikali imetakiwa ianze kujipanga kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kabla ya kukamilika kwa ujenzi wa bandari mpya wilayani hapa Mkoa wa Pwani.
10 years ago
MichuziSerikali yatenga hekta 1,363 kwaaajili ya ujenzi wa viwanda Tanga
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Maeneo ya EPZ pamoja na Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) imeweka matayarisho na utaratibu wa kuvutia wawekezaji eneo la Tanga.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janet Mbene alipokuwa akijibu swali la msingi la Mhe. Omari Nundu, Mbunge wa Tanga Mjini.
“tayari Mamlaka ya EPZ imetenga hekta 1,363 katika eneo la Neema mkoani Tanga kwaajili ya ujenzi wa viwanda na uthamini wa mali umekamilika” alisema Mhe....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G2HiKbs4EEM/XvMKr9QGCBI/AAAAAAALvMU/jkbKtH5GrakycSZ8UXayooaeluNijey_ACLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252822%2529.jpeg)
TARI- NALIENDELE MTWARA KUFANIKISHA MPANGO WA UJENZI WA UCHUMI WA VIWANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-G2HiKbs4EEM/XvMKr9QGCBI/AAAAAAALvMU/jkbKtH5GrakycSZ8UXayooaeluNijey_ACLcBGAsYHQ/s640/images%2B%252822%2529.jpeg)
Dhamira hiyo inatokana na ukweli kuwa sekta ya kilimo kuwa mhimili muhimu katika maendeleo ya uchumi wa taifa letu ambapo Pato la Taifa linalotokana na kilimo, kwa kutumia bei za mwaka 2015 limeongezeka kwa ...
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Serikali yatenga hekta 1,363 kwa aajili ya ujenzi wa viwanda Tanga
![370](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/370.jpg)
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI ULEGA AHAMASISHA UNYWAJI MAZIWA KUCHOCHEA UJENZI WA VIWANDA NCHINI
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amewataka wananchi kunywa maziwa kwa wingi ili kuvutia wawekezaji kuwekeza kwenye sekta ya maziwa nchini
Naibu Waziri Ulega amesema hayo leo (23.02.2020) wakati wa mbio za kuhamasisha unywaji wa maziwa zilizofanyika viwanja vya The Greens Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Mhe. Ulega amesema kwa sasa kiwango cha unywaji maziwa kwa mtu kwa mwaka nchi Tanzania ni wastani wa lita 47 pekee.Kiwango hiki ni kidogo kwani Shirika la Afya Duniani (WHO)...
Naibu Waziri Ulega amesema hayo leo (23.02.2020) wakati wa mbio za kuhamasisha unywaji wa maziwa zilizofanyika viwanja vya The Greens Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Mhe. Ulega amesema kwa sasa kiwango cha unywaji maziwa kwa mtu kwa mwaka nchi Tanzania ni wastani wa lita 47 pekee.Kiwango hiki ni kidogo kwani Shirika la Afya Duniani (WHO)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Lho4Ub2nUgY/XsIS-3qgqiI/AAAAAAALql4/bKDPpsjwcBwhHC-MqwLy1wtNckdEs4q5wCLcBGAsYHQ/s72-c/91cf4083-463c-4238-94e6-019e38016956.jpg)
PROF. SHEMDOE ATOA WITO KWA HALMASHAURI KUTENGA MAENEO YA UJENZI WA VIWANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Lho4Ub2nUgY/XsIS-3qgqiI/AAAAAAALql4/bKDPpsjwcBwhHC-MqwLy1wtNckdEs4q5wCLcBGAsYHQ/s640/91cf4083-463c-4238-94e6-019e38016956.jpg)
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Bw. Ludovick Nduhiye akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi Idara ya Utawala na Rasilimali watu Wizara ya Viwanda na Biashara Bi. Veronica Nchango ramani ya eneo kwa ajili ya utekelezaji.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/712cf630-8d96-47ee-a743-dd7ca20f2dbe.jpg)
Sehemu ya eneo ambalo Wizara imekabidhiwa kwa ajili ya kufanya utekelezaji.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1f51caa2-5ed3-4b08-8cb9-8823ad6b8c16.jpg)
Kiwanda cha kutengeneza vinywaji cha “KOM Food products “ kinachomilikiwa na mzawa kikiwa katika hatua ya ujenzi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1f66270a-b2d1-4f96-9003-b89bb785cfe1.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika moja...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania