Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAMDANI SARAHANI ‘MIDO’: Yoso anayeamini akili, kipaji vitambeba Azam

UKIHUDHURIA majaribio yanayoendeshwa na klabu ya Azam FC kuwapata vijana wadogo kwa ajili ya kuwasajili, utagundua namna vijana wengi nchini walivyo na kiu, hamu na hamasa ya kujiunga na matajiri...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia

“...Zamani tulifundishwa mbinu za kudhibiti malaria kuwa ni kuua mazalia ya mbu ili mbu wasiwepo; leo watoto wetu wanapotoshwa kuwa mbinu ya kudhibiti malaria ni kutumia chandarua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DOMINICA HAULE: Mwanaharakati anayeamini mafanikio huja kwa mpangilio

LEO namzungumzia Dominica Haule, mwanahabari mkongwe, mwanaharakati wa haki za binadamu anayepambana bila kelele, makeke, majigambo au mashindano. Anaamini utetezi wa haki za binadamu na suala zima la jinsia linahitaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Maryam Hamdani: Mwanaharakati aliyeanzisha Tausi Women’s Taarab

>Ikiwa imebaki siku moja kabla ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, mwanaharakati ambaye ameanzisha kikundi cha muziki wa taarab cha Tausi Women’s Taarab, amesema uamuzi wake una lengo la kuonyesha vipaji walivyonavyo wanawake na kuongeza chachu ya mabadiliko kijinsia.

 

9 years ago

BBC

Discipline key for Mido at Zamalek

Mido says 'maintaining discipline' will be key as he returns for a second stint as coach of Egyptian champions Zamalek.

 

11 years ago

BBC

Mido named as new Zamalek coach

Former Tottenham Hotspur and Egypt striker Mido is appointed as the new coach of Zamalek.

 

11 years ago

BBC

Zamalek end the reign of coach Mido

Former Egypt international striker Ahmed 'Mido' Hossam is "relieved of his duties" as coach of Egyptian side Zamalek.

 

11 years ago

Mwananchi

Mido amjia juu Waziri Misri

Kocha wa Zamalek, Ahmed Mido Hossam amesema amefurahishwa na ushindi wa bao 1-0 walioupata dhidi ya Kabuscorp of Angola ingawa hajafurahishwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo kwa sababu imezuia mashabiki wa soka nchini Misri kuhudhuria kwenye mechi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani