Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maryam Hamdani: Mwanaharakati aliyeanzisha Tausi Women’s Taarab

>Ikiwa imebaki siku moja kabla ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, mwanaharakati ambaye ameanzisha kikundi cha muziki wa taarab cha Tausi Women’s Taarab, amesema uamuzi wake una lengo la kuonyesha vipaji walivyonavyo wanawake na kuongeza chachu ya mabadiliko kijinsia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyeanzisha shirika la kuwafaa watoto

Esther Kalenzi alianzisha shirika la kuwasaidia watoto Uganda la 40 days over 40 miles na ni mmoja wa mashujaa waliosahaulika Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

HAMDANI SARAHANI ‘MIDO’: Yoso anayeamini akili, kipaji vitambeba Azam

UKIHUDHURIA majaribio yanayoendeshwa na klabu ya Azam FC kuwapata vijana wadogo kwa ajili ya kuwasajili, utagundua namna vijana wengi nchini walivyo na kiu, hamu na hamasa ya kujiunga na matajiri...

 

11 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa CCM shina la Essex Uingereza Bibi Maryam Seif agawa misaada kwa yatima kurasini

 Mwenyekiti wa CCM shina la Essex Uingereza, Bibi Maryam Seif akigawa misaada hiyo kwa  watoto hao yatima wa  kituo cha Kurasin jijini  Dar es salaam  Bibi Maryam Seif, akiendelea kugawa misaada kwa watoto hao yatima wa Kurasini.   Mwenyekiti wa CCM shina la Essex Uingereza, Bibi Maryam Seif,  akimkabidhi misaada hiyo mlezi wa  watoto hao yatima wa  kituo cha Kurasin jijini Dar es salaam Bibi Maryam Seif, akiwa na baadhi ya watoto hao yatima wa...

 

10 years ago

GPL

TAUSI AMPAGAWISHA MWARABU

Brighton Masalu
MSANII wa filamu za vichekesho, Tausi Mdegela amempagawisha kwa mauno mwanaume mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja, mwenye asili ya Kiarabu na kuzua mishangao na miguno kutoka kwa wadau na mashabiki wa burudani. Mwarabu akimkumbatia msanii wa filamu za vichekesho, Tausi Mdegela. Kioja hicho kilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa New Maisha Club, Oysterbay jijini Dar kulikokuwa na...

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Africana — Tausi

Tazama video ya vijana wawili wanaojiita Africana ya wimbo wa ‘Tausi’.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mandela: Mwanaharakati wa Ukimwi

Mwaka 2005, Mandela alitangaza kuwa mtoto wake kijana alifariki kutokana na ugonjwa wa ukimwi na kuwataka watu kujizuia na ngono nzembe

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati wa kwanza DRC

Mapema miaka ya elfu moja na mia tisa, mmishionari Alice Seeley-Harris kutoka Uingereza alifanya kampeni ya kwanza kabisa kwa kutumia picha, ili kupambana na ukiukwaji wa haki za binaadam DRC

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati afikisha mahakamani Uchina

Kiongozi wa maandamano ya mwaka jana ya kuunga mkono demokrasia nchini Hong Kong ameshtakiwa kwa makosa ya kukusanyika kiharamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani