Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hanspoppe, Magori waula Baraza la Michezo

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hanspoppe na Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF)

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Baraza la Michezo Tanzania lafanya uchaguzi

Waziri wa habari Vijana Utamaduni na Michezo Dr. Fennella Mukangara ameteua baraza jipya la michezo Tanzania (BMT)

 

9 years ago

Mwananchi

MTAZAMO: Baraza la Michezo la Taifa liondolewe haraka

Kusimamia michezo ni gharama kubwa hata Serikali za nchi zilizoendelea hazisimamii michezo moja kwa moja kwa sababu ya kuelewa suala la gharama.

 

10 years ago

Michuzi

Baraza la michezo ya Majeshi Tanzania ladhamiria kutatua changamoto ya michenzo nchini

Wajumbe wa Kamati Tendaji ya BAMMATA katika picha ya pamoja mara baada ya kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika jijini Mbeya katika Bwalo la Magereza la Chuo Ruanda.Wa tatu kutoka kushoto mstari wa mbele ni mwenyekiti wa Baraza hilo Brigedia Jenerali CIRIL MHAIKI.
Tanzania imekuwa haifanyi vizuri sana katika michezo mingi ya Kimataifa inayoshiriki kwa hivi sasa.Hii inatokana na changamoto nyingi zinanazoikabili Taifa  miongoni mwake ikiwa ni kutokuwapo kwa   michezo ya majeshi kama...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa watakiwa kujenga utamaduni wa kutekeleza wajibu wao kw kujitolea zaidi

PIX1aa

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB) akitoa nasaha kwa wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) wakati akizindua Balaza la 13 la Michezo leo jijini Dar es Salaam.Katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Profesa Elisante Ole Gabriel na wa mwisho kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo. Wajumbe waliohudhuria hafla hizo ni pamoja na ,Mkurugenzi wa PSPF Adam Mayingu, Zacharia Hans Pope, Jamal Rwambow, Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa watakiwa kujenga utamaduni wa kutekeleza wajibu wao kwa kujitolea zaidi

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB) akitoa nasaha kwa wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) wakati akizindua Balaza la 13 la Michezo leo jijini Dar es Salaam.Katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Profesa Elisante Ole Gabriel na wa mwisho kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo. Wajumbe waliohudhuria hafla hizo ni pamoja na ,Mkurugenzi wa PSPF Adam Mayingu, Zacharia Hans Pope, Jamal Rwambow, Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania yashiriki Mkutano wa Baraza la Michezo la Kimataifa (General Assembly and Congress of the International Military Sports Council - CISM)

Na Luteni Kanali Juma Sipe  (PA, Marekani).   Tanzania imeshiriki Mkutano wa Baraza la Michezo la Kimataifa (General Assembly and Congress of the International Military Sports Council -CISM) uliofanyika Mjini Quito, Equado America ya Kusini kuanzia tarehe 05-09 Mei, 2014.  Mkutano huo ulijadili na kuendelea kusikilizana ushiriki wa majeshi katika Michezo ya Kimataifa chini ya Kaulimbiu ya Baraza hilo isemayo Urafiki kupitia Michezo (Friendship through sports), msisitizo ukiwa katika kutumia...

 

10 years ago

Vijimambo

GRACE MAGORI MTOTO WA KITANZANIA MWENYE KIPAJI CHA KUIMBA AZIDI KUPAA DMV

Mtoto Grace Magori mwenye umri wa miaka 12 ambaye yupo 6 grade (darasa la 6) Columbia, Maryland mchini Marekani anazidi kupaa baada ya siku ya Jumamosi Novemba 15, 20`14 kuimba kwenye onyesho lililobeba jina la "Studio Recital" katika uimbaji huo ambo Grace Magori ndio mtoto pekee aliyeimba nyimbo alizoandika na kuzitengeneza yeye mwenyewe. Watoto wengine waliokuwepo kwenye onesho hilo ni  Jack Zhao aliyeimba wimbo wa mahadhi ya Kihindi, Cindy Zhao aliyeimba wimbo wa Willie and Tillie- Swan...

 

11 years ago

Mwananchi

Waula promosheni ya ‘Mimi ni Bingwa’

Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imeshazawadia wateja wake zaidi ya sh 40milioni katika promosheni yake ya ‘Mimi ni Bingwa’ yenye lengo la kuwazawadia wateja wake na kuongeza chachu ya soka nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Watatu waula ngumi za kulipwa

Watanzania watatu wameteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali kwenye Shirikisho la Ngumi za Kulipwa la Afrika Mashariki na Kati (ECAPBA) uteuzi uliofanyika kwenye kikao cha mabadiliko cha ECAPBA kilichofanyika hivi karibuni jijini Kigali nchini Rwanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani