Hapa Kazi Tu: Said Fella achimba visima vilivyokwama kwa miaka mitatu kwenye kata ya Kilungule (Picha)
Kasi ya Rais Dkt John Magufuli ya kupiga kazi tu imewaambukiza viongozi wengi.
Muasisi wa Mkubwa na Wanawe, Said Fella ambaye pia ni diwani wa kata ya Kilungule ya wilayani Temeke, Dar es Salaam ameanza kutekeleza ahadi zake.
Fella ameiambia Bongo5 kuwa ameanza kwa kuvirejesha visima vilivyokuwa vimeshindwa kutoa maji kwa miaka mitano iliyopita. Chini ni picha za kazi hiyo.
Amesema wakati wa kampeni aliahidi kuwa angeanza kushughulikia kero ya maji kwenye kata yake ndani ya siku 30....
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IXsPCPCSXOo/VmlNqb8ODvI/AAAAAAAILZE/z5C8u3HKoWc/s72-c/IMG_2327.jpg)
SAIDI FELLA ALA KIAPO CHA UDIWANI KATA YA KILUNGULE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-IXsPCPCSXOo/VmlNqb8ODvI/AAAAAAAILZE/z5C8u3HKoWc/s640/IMG_2327.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-160mHPFF2Bo/VmlOInZPl0I/AAAAAAAILZM/dF7PdDbV3Ls/s640/IMG_2309.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6BGO8v24BGw/VaY03Q-uz2I/AAAAAAAAva4/-V-t7ZcmL-4/s72-c/1.jpg)
Saidi Fella Achukua Fomu ya kugombea Udiwani Kilungule.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6BGO8v24BGw/VaY03Q-uz2I/AAAAAAAAva4/-V-t7ZcmL-4/s640/1.jpg)
Saidi Fella ameamua kuchukua fomu hiyo na kugomea nafasi hiyo ili aweze kutatua kero za wakazi wa kata ya Kilungule na kuleta maendeleo katika Kata hiyo.
"Nimeamua kuchukua nafasi hii ili kutatua kero...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E13a4vfj-mM/XsD0VJlshmI/AAAAAAALqiI/3PJIu0xV5NUyPMEEX1evQ0DqRVbpO8eswCLcBGAsYHQ/s72-c/e342cfad-ff15-455d-ad5a-294d1afe3faa.jpg)
FIHIR NVUBGI; HUYU NDIYE DIWANI ALIYEANZA KUONGOZA KATA YA MSANGENI MIAKA MITATU BAADA YA NCHI TANZANIA KUPATA UHURU HADI LEO
Charles James, Michuzi TV
JINA lake ni Fihir Mvungi, umri wake ni miaka 80. Ameongoza kwa miaka 55 kama Diwani wa Kata ya Msangeni iliyopo wilayani Mwanga, Kilimanjaro.
Ndio. Unaweza kusema Mvungi ndiye kiongozi wa kuchaguliwa ambaye amehudumu kwenye nafasi yake kwa muda mrefu bila kung'atuka wala kuondolewa na wananchi.
Katika mahojiano maalum ambayo amefanya na Michuzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6BGO8v24BGw/VaY03Q-uz2I/AAAAAAAAva4/-V-t7ZcmL-4/s72-c/1.jpg)
Kiongozi wa Kundi la TMK wanaume kugombea udiwani kata yake ya Kilungule, wilayani Temeke
9 years ago
Bongo517 Dec
Young Killer ataja mafanikio aliyopata kwenye muziki ndani ya miaka mitatu
![YounG KILLER](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/YounG-KILLER-300x194.jpg)
Young Killer Msodoki ni msanii kutoka Rock City, Mwanza aliyeibuliwa kwenye shindano la Fiesta Super Nyota la mwaka 2012, na hadi mwaka huu anafikisha miaka mitatu kwenye muziki.
Rapper huyo ameshare na Bongo5 mafanikio aliyoyapata toka alivyoingia rasmi kwenye muziki miaka mitatu iliyopita.
“Mafanikio ambayo nimeyapata kwanza ni kujuana na watu ambao nilikuwa naamini wanaweza wakaja kuwa watu muhimu katika maisha yangu na nilikuwa nikipenda nije kukutana nao,” alisema Young Killer.
“Kitu...
10 years ago
CloudsFM16 Jan
MBUNGE MACHEMLI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUTOMLIPA MSHAHARA MFANYAKAZI WAKE KWA MIAKA MITATU.
Machemuli amefunguliwa shauri la madai katika mahakama hiyo na kupewa nakala ya kuitwa yenye Na MCA/MZ/UK/524/2014 katika mahakama hiyo baada ya kufunguliwa kesi na Rehema Hamis (Mhudumu) kwa madai ya kutomlipa mshahara wake kwa miezi 35 ikiwa ni kiasi cha Sh milioni 3,680,000 alizotakiwa...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Miaka mitatu ya kuchomwa kwa pasi na kung’atwa
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Wazazi wamfunga mnyororo kijana kwa miaka mitatu