SAIDI FELLA ALA KIAPO CHA UDIWANI KATA YA KILUNGULE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-IXsPCPCSXOo/VmlNqb8ODvI/AAAAAAAILZE/z5C8u3HKoWc/s72-c/IMG_2327.jpg)
Mkurugenzi wa Kituo cha Mkubwa na Wanawe Said Hassan maarufu kwa jina la Mkubwa Fella leo amekula kiapo cha kuwatumikia wakazi wa Kata y Kilungule kwa ngazi ya Udiwani. Baada ya kula kiapo hicho Fella alikua na haya ya kuzungumza "Kwanza nashukuru Mungu pili Wadau wangu wotekwa Kata yetu ya Kilungule, na Tasnia yetu ya sanaa nawashukuru wasanii wote walio nisapot pia namshukuru sana rafiki wetu wa wasanii Mh Jakaya Kikwete na Rafiki yangu January Makamba".
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6BGO8v24BGw/VaY03Q-uz2I/AAAAAAAAva4/-V-t7ZcmL-4/s72-c/1.jpg)
Saidi Fella Achukua Fomu ya kugombea Udiwani Kilungule.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6BGO8v24BGw/VaY03Q-uz2I/AAAAAAAAva4/-V-t7ZcmL-4/s640/1.jpg)
Saidi Fella ameamua kuchukua fomu hiyo na kugomea nafasi hiyo ili aweze kutatua kero za wakazi wa kata ya Kilungule na kuleta maendeleo katika Kata hiyo.
"Nimeamua kuchukua nafasi hii ili kutatua kero...
9 years ago
Bongo501 Dec
Hapa Kazi Tu: Said Fella achimba visima vilivyokwama kwa miaka mitatu kwenye kata ya Kilungule (Picha)
![20151130234938](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151130234938-300x194.jpg)
Kasi ya Rais Dkt John Magufuli ya kupiga kazi tu imewaambukiza viongozi wengi.
Muasisi wa Mkubwa na Wanawe, Said Fella ambaye pia ni diwani wa kata ya Kilungule ya wilayani Temeke, Dar es Salaam ameanza kutekeleza ahadi zake.
Fella ameiambia Bongo5 kuwa ameanza kwa kuvirejesha visima vilivyokuwa vimeshindwa kutoa maji kwa miaka mitano iliyopita. Chini ni picha za kazi hiyo.
Amesema wakati wa kampeni aliahidi kuwa angeanza kushughulikia kero ya maji kwenye kata yake ndani ya siku 30....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6BGO8v24BGw/VaY03Q-uz2I/AAAAAAAAva4/-V-t7ZcmL-4/s72-c/1.jpg)
Kiongozi wa Kundi la TMK wanaume kugombea udiwani kata yake ya Kilungule, wilayani Temeke
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JAy17KGuIcw/U38jRCDg7xI/AAAAAAAAFe0/tK5KCLdX9f0/s72-c/IMG_1626.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA ALA KIAPO RASMI CHA UHANDISI
![](http://3.bp.blogspot.com/-JAy17KGuIcw/U38jRCDg7xI/AAAAAAAAFe0/tK5KCLdX9f0/s1600/IMG_1626.jpg)
Kiapo hicho kimeafanyika leo katika ukumbi wa "video comference" uliopo katika jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo leo tarehe...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YcoK8_vUeIQ/VnS5d26Iq5I/AAAAAAAINUk/XvBp4VzaOL4/s72-c/7389837a-7f4e-427d-9748-21651ba272b2.jpg)
WAZIRI KITWANGA ALA KIAPO CHA KUWA MWENYEKITI WA TUME YA UTUMISHI YA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YcoK8_vUeIQ/VnS5d26Iq5I/AAAAAAAINUk/XvBp4VzaOL4/s640/7389837a-7f4e-427d-9748-21651ba272b2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2rxhJM9YFao/VnS5d_vIJfI/AAAAAAAINUg/9y4RUXGZckI/s640/bddc4380-75c8-41ed-a62b-7ca7989b5fd9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t2hPVQK3jZU/VDBGzS7hzkI/AAAAAAAGn5Y/UqtQr2U-zB8/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
mdau saidi mkwawa atetea utafiti wake, ala nondozzzz...kiulainiiiii....
![](http://2.bp.blogspot.com/-t2hPVQK3jZU/VDBGzS7hzkI/AAAAAAAGn5Y/UqtQr2U-zB8/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9ZXPSqMCpMo/VDBLedalgbI/AAAAAAAGn6M/ComjXI-hoSs/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Kijana UVCCM atangaza nia ya kuwania Udiwani kata ya Ilunda, lengo ni kurejesha kata CCM, inayongozwa na Chadema
Kijana Mohamed Embele (38) ambaye ametangaza nia ya kurejesha Kata ya Ilunda (CCM), hivi sasa Kata hiyo inaongozwa na Diwani wa CHADEMA Long’ida Ole Looda.
Na Hillary Shoo, Mkalama
KAMANDA wa UVCCM wa Kata ya Ilunda Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama Mkoani Singida, Mohamed Embele (38) ametangaza rasmi nia yake ya kutaka kugombea nafasi ya Udiwani kwenye Kata hiyo katika uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.
Akizungumza katika mahojiano maalumu wakati wa kufunga kambi ya vijana wa Wilaya ya...
9 years ago
VijimamboKALAPINA WA KIKOSI CHA MIZINGA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KINONDONI KWA TIKETI ACT WAZALENDO
9 years ago
CCM Blog05 Nov
VIDEO: DK. MAGUFULI ALA KIAPO LEO JIJINI DAR ES SALAAM