Hatari ya nyongea na kwashakoo kwa watoto
Watoto wanaopata lishe duni wanaweza kupata ugonjwa wa nyongea au kama wengi wanavyofahamu maradhi haya kama marasmus au kwashakoo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Aug
Unga wa lishe hatari kwa watoto
MCHANGANYIKO usiozingatia makundi matano ya vyakula, unaotengenezwa na wajasiriamali au nyumbani kwa ajili ya unga wa watoto maarufu ‘Lishe’, una athari za kiafya kwa watoto wachanga na walio chini ya miaka mitano.
10 years ago
GPLHII NI HATARI KWA WATOTO HAWA
Watoto hao wakicheza kwenye mvua. KAMERA ya GPL leo imewanasa watoto walio mazingira magumu, wakiwa wanacheza barabarani huku mvua kubwa ikiwanyeshea maeneo ya Morocco, jijini Dar es Salaam, hali ambayo ni hatari kwa afya na maisha yao. (Picha/Stori na Gabriel…
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Picha zisofaa hatari kwa watoto-Cameroon
Nchini Uingereza vifaa vyote vyenye uwezo wa kuunganishwa kwenye mtandao wa internet vitawekewa vizuizi vya picha za ngono.
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Hatari Kwa Watoto Wenye unene kupita kiasi
Kutokana na hali ya maisha kubadilika na watu kubadili mienendo ya maisha kwa kula vyakula vya kisasa vingi vikiwa ni vile vinavyozalishwa viwandani, magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameanza kubisha hodi hata kwa watoto na vijana.
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Utafiti: Mtindi kinga dhidi ya kemikali hatari kwa wajawazito na watoto
Unaposikia au kuona maziwa ya mtindi, hisia zinazokufikia haraka ni zile za uchachu na ladha nzuri ya kinywaji hicho.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Viwanda hatari vinavyotumia watoto kuzalisha nguo Bangladesh
Mazingira ya uzalishaji katika viwanda vingi kwenye nchi maskini si mazuri sana. Uzalishaji katika sehemu nyingi hufanyika katika mazingira yanayohatarisha usalama wa maisha ya wafanyakazi.
5 years ago
MichuziWAZAZI WANAPASWA KUFUATILIA MIENENDO YA WATOTO WAO WALIO CHINI YA MIAKA MITANO KUEPUSHA HATARI INAYOWEZA KUWAKABILI.
PATRICIA KIMELEMETA
Daktari wa watoto katika Hospitali ya Taifa ya Mloganzila, Lucy Mpayo amesema kuwa, ulinzi wa watoto walio chini ya miaka mitano unaanzia kwa mzazi/ mlezi na jamii kwa ujumla.
Dk. Lucy amesema kuwa, watoto hao wanapaswa kuangaliwa kwa ukaribu kwa sababu uwezo wao wa kujilinda bado ni mdogo na kwamba hawawezi kupambana na hatari yoyote inayojitokeza dhidi yao.
Amesema kuwa, kutokana na hali hiyo, wazazi,walezi na jamii kwa ujumla wanapaswa kuwalinda watoto hao hali ambayo...
Daktari wa watoto katika Hospitali ya Taifa ya Mloganzila, Lucy Mpayo amesema kuwa, ulinzi wa watoto walio chini ya miaka mitano unaanzia kwa mzazi/ mlezi na jamii kwa ujumla.
Dk. Lucy amesema kuwa, watoto hao wanapaswa kuangaliwa kwa ukaribu kwa sababu uwezo wao wa kujilinda bado ni mdogo na kwamba hawawezi kupambana na hatari yoyote inayojitokeza dhidi yao.
Amesema kuwa, kutokana na hali hiyo, wazazi,walezi na jamii kwa ujumla wanapaswa kuwalinda watoto hao hali ambayo...
11 years ago
MichuziBARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Taitizo la Android: Kwa nini picha hii ni hatari kwa simu yako?
Picha ya ardhi yenye mandhari ya kuvutia , ilio na ziwa huku jua likitua nyuma ya milima inaonekana nzuri kwa mtu kutumia katika simu yake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania