Hatima ya Bunge Maalum Sept. 15
HATIMA ya Bunge Maalum la Katiba, inatarajiwa kujulikana Septemba 15, wakati Mahakama Kuu, itakapotoa uamuzi wa ombi la zuio la muda lililowasilishwa na Saed Kubenea. Kubenea alifungua kesi hiyo akiiomba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Michuzi05 Aug
9 years ago
Bongo515 Sep
Alikiba aungana na wasanii wengine wa Afrika kurekodi wimbo maalum wa siku ya Amani Duniani —Sept. 21
10 years ago
Habarileo06 Sep
Uamuzi kupinga Bunge la Katiba Sept 15
MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Dar es Salaam, imepanga Septemba 15, mwaka huu, kutoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mkoani Dodoma.
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Hatima ya Bunge la Katiba mikononi mwa JK
10 years ago
Mtanzania17 Nov
Hatima madeni ya Serikali kutikisa Bunge
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
MJADALA kuhusu azimio la kuliomba liidhinishe kufutwa au kusamehe hasara na madeni yaliyotokana na upotevu wa mali na fedha, yenye thamani ya Sh bilioni 10.8, unatarajiwa kulitikisa Bunge leo.
Hatua hiyo inatokana na mvutano ulioibuka mwishoni mwa wiki iliyopita miongoni mwa wabunge, kundi moja likitaka azimio hilo lipite na wengine wakipinga hatua hiyo wakisema ni sawa na ufisadi.
Hasara hiyo imetokana na sababu mbalimbali ikiwamo wizi na udokozi uliofanywa...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Kikwete: Hatima Bunge la Katiba Jumatatu
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Hoja kuamua hatima Bunge la katiba leo