HAUSIBOI ALIVYOKULA UBONGO WA MTOTO
![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDrKScBheUD*pzJFEmABqgHEjxsX5DDSCjxk8BVNVXcu8XD-kmfLeFMr6hNd6gPMYJ3JQ0hdiZKgN5kNZl8YPYB3/hausboi.jpg)
Stori: Charles Ndagulla na Gladness Mallya YALE mauaji ya kutisha ya mtoto Francis Fortunatus Urassa (9) aliyeuawa kwa kucharangwa mapanga kichwani hadi ubongo kutawanyika na kuliwa na mfanyakazi wa ndani ‘hausiboi’, Lawrence Flavian (22) ambaye naye alijikata uume pia akaula, akafa, bado yanatikisa nchi. Mfanyakazi wa ndani ‘hausiboi’, Lawrence Flavian (22) aliyemuua mtoto wa bosi wake na kumla...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLKrbTsLCIdL2Av5cPR5*HQMbXYwanimjTvxrekfSRdJwvQllV*PIVNAWWd1KCYqyQ*jmQxsGCcG7bfuln1S4SD/d.jpg?width=650)
MTOTO AZALIWA BILA UBONGO WA NYUMA!
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Aliyemuua mtoto na kula ubongo afariki
11 years ago
CloudsFM18 Jul
Kijana amuua mtoto wa miaka 9 na ‘kutafuna ubongo’
Moshi. Mkazi mmoja wa Moshi amemuua mwanafunzi wa darasa la 3 kule Samanga leo na kisha 'kula ubongo' wa mtoto huyo katika tukio la kutisha lililostua wakazi wa mji huu.
Kijana huyu aliyefahamika kwa jina la Lawrence Mramba, 20, alimshambulia mtoto huyo mwenye umri wa miaka 9 kwa panga wakati akienda shule mnamo saa 1 asubuhi Ijumaa, akampasua kichwa na kisha akaanza kutafuna ‘vipande vya ubongo wake.’
Mara baada ya kitendo hicho cha kushtusha, Mramba, aliyeonekana kuwa na matatizo ya...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
YATISHA: Kijana afyatuka, amuua mtoto wa miaka 9 na ‘kutafuna ubongo’
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Matumaini ya tiba ya ubongo!
11 years ago
Michuzi03 Feb
introducing JJ Ubongo Kids Cartoon
11 years ago
Michuzi22 Jun
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXRoql34z*fHJLwb0-yyMU3C06CGcBhqeWTscSG4GSf2UWdxj2U26AeQmRaPwYIw*n3F37ajtZyzZuNBznAMRIm4/770.jpg?width=650)
UBONGO WA KAJALA WAPATA TATIZO