HAWA ASEMA ANAUCHUKIA WIMBO WA NITAREJEA ALIOUFANYA NA DIAMOND.
![](http://img.youtube.com/vi/VWnF7CsJNcg/default.jpg)
Avumi lakini yumo msikilize Hawa alietamba kwenye wimbo wa nitarejea wa Diamond.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2a-cRSmOgwA/VfNEqWHNnnI/AAAAAAAAkT0/y35ol-Urfdw/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AFUNGUKA MAZITO..ASEMA LIST HII YA VIONGOZI HAWA SITOWAACHA!!
![](http://3.bp.blogspot.com/-2a-cRSmOgwA/VfNEqWHNnnI/AAAAAAAAkT0/y35ol-Urfdw/s640/1.jpg)
KIAMA kwa Viongozi hawa na hakika neema inakuja!Mgombea urais wa UKAWA Mh Edward Lowassa amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataunda serikali itakayokuwa na viongozi wenye uwezo wa kuchukua hatua na kutatua matatizo ya wananchi na atahakikisha utaratibu wa wananchi kulalamika na viongozi pia kulalamikakama ilivyo sasa unabaki kuwa historia.Mh Lowassa ambaye amefanya mikutano minne katika majimbo ya Mtera, Bahi Chilonwa na Dodoma mjini pia amewaomba watanzania kumpa nafasi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kGmfW1X2Mi4/VJEvOOKhwfI/AAAAAAAAOVE/VgMrIksITGs/s72-c/IMG_8597.jpg)
MHE. HAWA GHASIA ASEMA HAJIUZULU NG'O KUFUATIA KASHFA YA KUVURUGIKA KWA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kGmfW1X2Mi4/VJEvOOKhwfI/AAAAAAAAOVE/VgMrIksITGs/s640/IMG_8597.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RU3LumAILXA/VJEv_lPtkAI/AAAAAAAAOVU/N3cCXNeS1KQ/s640/ghasia.jpg)
10 years ago
Bongo513 Jan
Alikiba asema ‘soon’ ataachia wimbo na video mpya
9 years ago
Bongo526 Sep
Ni heshima kubwa kwangu kuwa kwenye wimbo wa Wizkid — Asema Drake
9 years ago
Bongo530 Sep
Roma asema hajapewa barua rasmi ya kufungiwa wimbo wake na BASATA
10 years ago
Bongo510 Mar
Kala Jeremiah asema ‘Nchi ya Ahadi’ ni wimbo unaotakiwa kusikilizwa na kila Mtanzania
9 years ago
Bongo525 Nov
Wimbo ambao natamani kuandikia script ya video ni ‘Zigo’ ya AY – Asema Mike Tee
![mike-tee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/01/mike-tee-200x200.jpg)
Mike Francis Mwakatundu maarufu kama Mike Tee, ni rapper mkongwe kutoka Iringa ambaye pia ana uwezo mwingine wa kuandaa ‘script’ za video za muziki.
Mike Tee ndiye aliandika script ya video ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ iliyoongozwa na director Mkenya, Kevin Bosco.
Kupitia 255 ya XXL Mike amesema wimbo anaotamani kuandikia script ya video kwa sasa ni ‘Zigo’ ya AY.
“Nyimbo moja ambayo napenda sana yaani nikiiskiliza inaninivutia sasa hivi na ningepedna sana kuichorea script ni ‘Zigo’...