Hawa ni wasanii wa Tanzania watakaotumbuiza kwenye tamasha la Africa On The Square jijini London
Tamasha la mara pili la kila mwaka, Africa On The Square linatarajiwa kufanyika October 10 na kukutanisha wasanii kutoka Tanzania, Ghana na Senegal. Tamasha hilo lililoanzishwa mwaka jana na kuvutia watazamaji zaidi ya 20,000, litafanyika Trafalgar Square jijini London, Uingereza. Pamoja na muziki wa Kiafrika utakaochezwa live, kutakuwepo pia na Madj, dancers, chakula na mambo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-fvGv8TU8E_0/U_hv9Oss-iI/AAAAAAAGBxc/yGrjdBhgez4/s1600/8.jpg)
WASANII WATAKAOTUMBUIZA TAMASHA LA FIESTA JIJINI TANGA WAMJULIA HALI MZEE NJENJE NYUMBANI KWAKE SAHARE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fvGv8TU8E_0/U_hv9Oss-iI/AAAAAAAGBxc/yGrjdBhgez4/s72-c/8.jpg)
WASANII WATAKAOTUMBUIZA TAMASHA LA FIESTA 2014 JIONI YA LEO JIJINI TANGA WAMJULIA HALI MZEE NJENJE NYUMBANI KWAKE SAHARE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fvGv8TU8E_0/U_hv9Oss-iI/AAAAAAAGBxc/yGrjdBhgez4/s1600/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gQeoSXPxMOg/U_hv87VCiTI/AAAAAAAGBxY/_LLgMeTXUUM/s1600/7.jpg)
Mzee Njenje amewaasa wasanii hao ambao amekiri wazi kuwa wanafanya vizuri katika anga ya muziki wao,kupata muda mwingi wa kupumzika ikiwemo na suala la kutoendekeza masualaua ya anasa kama vile ulevi,ngono na mengineyo ambayo huchangia...
10 years ago
Bongo530 Aug
Picha: Wasanii watakaotumbuiza kwenye Serengeti Fiesta Moshi waahidi makamuzi ya nguvu
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-Yaq1IkHnq1I/VCAGyB8eUbI/AAAAAAAABJ4/_BPKhVRDt48/s72-c/BIG-BROTHER-AFRICA.jpg)
HAWA NDO WATAKAOIWAKILISHA TANZANIA KWENYE BIG BROTHER AFRICA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yaq1IkHnq1I/VCAGyB8eUbI/AAAAAAAABJ4/_BPKhVRDt48/s1600/BIG-BROTHER-AFRICA.jpg)
M-Net na wameendelea na utaratibu wa kutangaza washiriki wa shindano hilo kutoka nchi mbalimbali Africa, na katika majina matatu yaliyotajwa yamemjumuisha Mtanzania wa pili atakayewakilisha katika shindano hilo, mrembo Irene Laveda.
Irene ataungana na Idrisa kuiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo yatakayochukua siku 63 badala ya siku takribani 90 zilizozoeleka.
Ingia kutazama picha zao...
![](http://1.bp.blogspot.com/-cm7VznTzRbk/VCAGScYZIlI/AAAAAAAABJo/y7eBU-R-nz0/s1600/Idris.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WU1fzc2ZKU0/VCAGWOsqR2I/AAAAAAAABJw/ghLq5nVfsCc/s1600/laveda.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Oct
BAADHI YA WASANII NA VIKUNDI VITAKAVYOSHIRIKI KWENYE TAMASHA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL, BAGAMOYO TANZANIA.
PANDA 1/2 (JAPAN)MARIA KATE (FRANCE)IFE PIANKHI (UGANDA)MASAYO (JAPAN)FANTUZZI (USA)SHIWE MUSIQUE (COMORO)DEMBEDE (KENYA)MBIYE EBRIMA (GUINEA)JHIKOMAN & Afrikabisa Band(TANZANIA)WAHAPAHAPA BAND(TANZANIA)SEGERE ORIGINAL (TANZANIA)BARNABA (TANZANIA)VITALIS MAEMBE (TANZANIA)THE SPIRIT BAND (TANZANIA)MAMA AFRICA (TANZANIA)CHIBITE ZAWOSE FAMILY (TANZANIA)AFRIKWETU (TANZANIA)TONGWA ENSEMBLE (TANZANIA)LEO MKANYIA (TANZANIA)COCODO BAND(TANZANIA)HOKORORO BAND (TANZANIA)LUMUMBA THEATER(TANZANIA)MSWANU...
9 years ago
Bongo Movies30 Aug
Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA
Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA
Credit:MillardAyo.Com
10 years ago
GPLMWALIKO WA WA WASANII KWENDA CAIRO, MISRI KWENYE TAMASHA
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Tigo, Original Komedi na Wasanii kibao kutikisa jiji la Mwanza kwenye tamasha la Welcome Pack jumamosi hii
Meneja wa Bidhaa wa Tigo Bw. Edwin Mgoa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza tamasha kubwa la Tigo welcome pack litakalofanyika uwanja wa ccm Kirumba jijini Mwanza Jumamosi ya wiki hii, tamasha hili litaweza kuwapa wananchi fursa ya kupata maelezo ya kina kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.
Msanii wa kundi la Original Komedi Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja akitoa vionjo kwenye mkutano wa waandishi wa habari(hawapo pichani) kwa ajili...
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
YAMOTO Band Live kwa mara ya kwanza kwenye jiji la London { Made in East Africa }