Heartbleed hatari kwa mtandao
Tovuti ya Heartbleed inaendelea kuleta matatizo katika mfumo mzima wa tovuti. Kunani?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Heartbleed bug: Tishio jipya la uhalifu kwa watumiaji mitandao
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-IzqztVBnvSQ/U0nbKS73FeI/AAAAAAAAAU4/-k4y8LULBVw/s72-c/HRT.jpg)
TAHADHARI: “HEARTBLEED" BUG TISHIO JIPYA KWA WATUMIAJI MITANDAO
Wana mitandao kote duniani hivi sasa bado wako katika hali ya taharuki kufuatia wataalam wa ulinzi mtandao kuweka hadharani tishio jipya la mapungufu yaliyo bainika yanayo ruhusu wahalifu mtandao kuweza kuiba maneno ya siri “passwords” na hata taarifa za kadi za ma benki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IzqztVBnvSQ/U0nbKS73FeI/AAAAAAAAAU4/-k4y8LULBVw/s1600/HRT.jpg)
“SSL” ambayo nimeifafanua zaidi kwenye chapisho langu linalosomeka WEB SECURITY ni moja ya program/ kiunganishi cha programu inayo aminika kuweza kuficha taarifa mitandaoni ili kutoonekana kirahisi, ila baada ya...
11 years ago
Mtanzania01 Aug
Mtandao hatari wa mabomu wanaswa
![Mtanzania](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/mtanzania-010814.jpg)
Mtanzania
Eliya Mbonea na Janeth Mushi, Arusha
WATU 19 wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha, wakidaiwa kuhusika na uingizaji, ulipuaji na usafirishaji wa mabomu pamoja na kumwagia watu tindikali.
Watuhumiwa hao wanadaiwa kununua mabomu hayo Jamhuri na Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Burundi.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, kililiambia MTANZANIA kuwa watuhumiwa hao akiwamo Sheikh wa Msikiti wa Bondeni jijini hapa na mfanyakazi wa Benki ya Stanbic,...
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-d-evqmfxIik/U5MEWTRrQXI/AAAAAAAAAps/lfesbpFVj40/s72-c/00.jpg)
KUPERUZI KUPITIA WI-FI NI HATARI ZAIDI KIUSALAMA MTANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-d-evqmfxIik/U5MEWTRrQXI/AAAAAAAAAps/lfesbpFVj40/s1600/00.jpg)
Haya niliyabainisha wakati nazungumzia changamoto mbali mbali tunazokumbana nazo za kiusalama mtandao kupitia matumizi yasiyo salama ya Wi-Fi yanayo endelea kushika kasi kaika maeneo mbali mbali hivi...
11 years ago
CloudsFM31 Jul
MAJAMBAZI 10 WANAOUNDA MTANDAO HATARI WA UHALIFU NCHINI WAMETIWA MBARONI
Silaha hizo ni bunduki tisa zikiwemo SMG tatu, bastola mbili, short gun nne na risasi 15 zilikamatwa.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, aliyasema hayo ofisini kwake kwenye mkutano na waandishi wa habari.
Majambazi hao wamekamatwa katika msako mkali unaoendelea jijini Dar es Salaam katika harakati za kuhakikisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YxpdeOi5a60/VLr6cfJaT4I/AAAAAAAATy8/7fB_MLB1alQ/s72-c/2.jpg)
MAKAMANDA WA MIKOA MITATU YA MWANZA, SIMIYU NA SHINYANGA WAVUNJA NGOME HATARI YA MTANDAO WA UJAMBAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YxpdeOi5a60/VLr6cfJaT4I/AAAAAAAATy8/7fB_MLB1alQ/s640/2.jpg)
Alisema mtiliwa shaka huyo alipohojiwa alisema kuwa jeraha hilo alipigwa risasi na jambazi mwenzake aitwaye Njile Samweli wakati wakifanya tukio la ujambazi katika kijiji cha Idukilo kata ya Mwadui Luhumbo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga...
11 years ago
GPLMAJAMBAZI 10 WANAOUNDA MTANDAO HATARI WA UHALIFU NCHINI WAMETIWA MBARONI, SILAHA MBALIMBALI ZAKAMATWA
11 years ago
Michuzi31 Jul
Majambazi 10 wanaounda mtandao hatari wa uhalifu nchini wametiwa mbaroni, silaha mbalimbali zakamatwa.
Silaha hizo ni bunduki tisa zikiwemo SMG tatu, bastola mbili, short gun nne na risasi 15 zilikamatwa.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, aliyasema hayo...
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-XcJO5pX9Wsw/U1mkmWnGWAI/AAAAAAAAAbo/BFiPwX2plws/s72-c/2..jpg)
MUENDELEZO: “HEARTBLEED”- YATIKISA USALAMA WA MITANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XcJO5pX9Wsw/U1mkmWnGWAI/AAAAAAAAAbo/BFiPwX2plws/s1600/2..jpg)
Aidha, Swala la usalama mtandao nchini tanzania limekuwa likijadiliwa mara kwa mara kupitia vyombo vya habari na nilipata kuweka mmoja wa mjadala wa maswala ya ulinzi mtandao kupitia post...